Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitunyima ajira nchi nzima ikawa vilio kila Kona. Nakumbuka Kuna kipindi alitanagaza nafasi za ualimu elfu 13 lakini walioajiriwa hawazidi elfu moja wengine akajazia walioko kwenyea ajira ili kuihadaa jamii kuwa kaajiri. Huyu bwana alikuwa anaongiza nchi kwa fix nyingi sana.Sikiliza, maaskofu waliupenda sana utawala wa JPM na ni chaguo la wengi. Waliokuwa wanamchafua ni hawa wanaodai pesa nyingi, na Musiba aliwapinga. Kosa la Musiba ni kupinga na sio kumchafua mtu. Hukumu ni ya kisiasa haiendani na taaluma ya kisheria.
.Mtanikumbuka
Umeajiriwa wapi siku hizi?Alitunyima ajira nchi nzima ikawa vilio kila Kona. Nakumbuka Kuna kipindi alitanagaza nafasi za ualimu elfu 13 lakini walioajiriwa hawazidi elfu moja wengine akajazia walioko kwenyea ajira ili kuihadaa jamii kuwa kaajiri. Huyu bwana alikuwa anaongiza nchi kwa fix nyingi sana.
Ajira ndo maisha lakini yeye alikuwa anaona mdaraja ndo maisha. Mungu fundi
Chaguo la wengi wapi?. Uchaguzi wenyewe kashinda kwa goli la mkono. Tofautisha ukweli na unafiki, watanzania kuwafahamu inahitaji sionharaka.Sikiliza, maaskofu waliupenda sana utawala wa JPM na ni chaguo la wengi. Waliokuwa wanamchafua ni hawa wanaodai pesa nyingi, na Musiba aliwapinga. Kosa la Musiba ni kupinga na sio kumchafua mtu. Hukumu ni ya kisiasa haiendani na taaluma ya kisheria.
Kwa lipi?. Kwa kupiga watu risasi?. Bora aliondoka.Mtanikumbuka
Na Samia ambapo kwa Sasa ajira zimetapakaa kila Kona. Samia na jk ndo wanajari utu was mtu. Kwa jk ajira zilikuwa kila Kona mpaka jeshi hukutukiwa eti upite jkt kama ilivyoanzishwa na jpm ilimradi tu ukate tamaa.Umeajiriwa wapi siku hizi?
Andaa mahakama yako basiSikiliza, maaskofu waliupenda sana utawala wa JPM na ni chaguo la wengi. Waliokuwa wanamchafua ni hawa wanaodai pesa nyingi, na Musiba aliwapinga. Kosa la Musiba ni kupinga na sio kumchafua mtu. Hukumu ni ya kisiasa haiendani na taaluma ya kisheria.
Aaaa wapi. Kwa lipi.Mtanikumbuka
Acha kuweweseka mwambie musiba alipe pesa za membe mwehu wewe hukumu ya kisiasa ipo wapii paleSikiliza, maaskofu waliupenda sana utawala wa JPM na ni chaguo la wengi. Waliokuwa wanamchafua ni hawa wanaodai pesa nyingi, na Musiba aliwapinga. Kosa la Musiba ni kupinga na sio kumchafua mtu. Hukumu ni ya kisiasa haiendani na taaluma ya kisheria.
Hampendi Mzilankende Tu Hakuna JipyaVipi hapa Nini shida?