Nchi hii, kiini cha kila tatizo tulilo nalo inaonekana ni katiba mbovu; mlio kwenye system, naomba mtujuze, inabadilishwa lini?

Nchi hii, kiini cha kila tatizo tulilo nalo inaonekana ni katiba mbovu; mlio kwenye system, naomba mtujuze, inabadilishwa lini?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata.

Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na haijalishi utakalofanya, hakuna anaeweza kukushtaki uwapo madarakani au hata ukitoka, sasa hapo mimi nina tofauti gani na ‘Mungu’? Hivi ni nini kitanifanya niogooe kulihujumu taifa? Mfano nikaamua kwenda kukopa dollor bilioni 3 halafu nikaemda kujenga nyimba ya dhahabu shambani kwangu, mtanifanya nini?

Na ukija kuchunguza udhaifu mwingi na madudu mengi yametokana na katiba kushindwa kuwabana na kuwawajibisha ipasavyo wahisika, inabaki kupiga kelele na kulialia hovyo majukwaani kama anavyofanya Ndugai, wakati kiuhalisia muhusika anaruhusiwa kikatiba kufanya hivyo.

Mlio kwenye system, katiba mpya tunaipata lini? Au ndio tusubiri kupigwa mnada kama ng’ombe sokoni?!
 
Au tusiwe na katiba kama uengereza. Iyo katiba hata ikiwepo isipo fatwa ni ujinga tu. Tume ya uchaguzi huru ndio kitu cha msingi ili tuwe na bunve imara
 
Taifa linahitaji Kiongozi imara atakayenyoosha watu na kuwaweka kwenye mstari then kupitia kiongozi huyo huyo Taifa ndio linaweza kufanya setup ya hayo yoote..

Leo hii unahitaki upate Katiba bora na tume huru kutokea CCM na watu wake walewale waliotapakaa kila mahala.....Leo hii CCM inaweza kukupa Katiba mpya lakini ikawa na limitations zilezile zenye ulinzi kwao na maslahi kidogo kwa wananchi....
 
mtu akiwa ccm anakuwa mpumbavu sijui kwanini, mf job, gwajima wote wawili, polepole, mijitu hopless ndio ipo kule, hadi machoko kama nabii Titto, yan chama kimepewa dhamana ya kuongoza nchi alafu hamna kitu yan...bora chama cha hashim rungwe kuliko ccm
 
Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata.

Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na haijalishi utakalofanya, hakuna anaeweza kukushtaki uwapo madarakani au hata ukitoka, sasa hapo mimi nina tofauti gani na ‘Mungu’? Hivi ni nini kitanifanya niogooe kulihujumu taifa? Mfano nikaamua kwenda kukopa dollor bilioni 3 halafu nikaemda kujenga nyimba ya dhahabu shambani kwangu, mtanifanya nini?

Na ukija kuchunguza udhaifu mwingi na madudu mengi yametokana na katiba kushindwa kuwabana na kuwawajibisha ipasavyo wahisika, inabaki kupiga kelele na kulialia hovyo majukwaani kama anavyofanya Ndugai, wakati kiuhalisia muhusika anaruhusiwa kikatiba kufanya hivyo.

Mlio kwenye system, katiba mpya tunaipata lini? Au ndio tusubiri kupigwa mnada kama ng’ombe sokoni?!
UBOVU wa KATIBA ndio FURAHA YAO
 
mtu akiwa ccm anakuwa mpumbavu sijui kwanini, mf job, gwajima wote wawili, polepole, mijitu hopless ndio ipo kule, hadi machoko kama nabii Titto, yan chama kimepewa dhamana ya kuongoza nchi alafu hamna kitu yan...bora chama cha hashim rungwe kuliko ccm

sasa mkuu watu hopeless, wapumbavu, machoko kila siku unashindwa kuwatoa madarakani..na wewe ni mtu bright, genius nk.
 
sasa mkuu watu hopeless, wapumbavu, machoko kila siku unashindwa kuwatoa madarakani..na wewe ni mtu bright, genius nk.
Mkuu ndio mana nasemaga hii nchi ina wapuuz wengi...sheria za hii nchii hazipo sawa na wao hawataki kurekebisha sababu wanajua watang'oka, sisemi kwamba mimi ni genious ila wao ni wapumbavu na upumbavu wao wameudhihirisha hadharani na wote tunajua hilo, mkuu unataka kuwatetea ?
 
Mkuu ndio mana nasemaga hii nchi ina wapuuz wengi...sheria za hii nchii hazipo sawa na wao hawataki kurekebisha sababu wanajua watang'oka, sisemi kwamba mimi ni genious ila wao ni wapumbavu na upumbavu wao wameudhihirisha hadharani na wote tunajua hilo, mkuu unataka kuwatetea ?
Walioko madarakani ni wajanja sana kwa manufaa yao,Wapumbavu ni wananchi Wenye nchi yao kwa sababu ni mazumbukuku dunia iko huku yenyewe yapo kule hayajitambui.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ndio mana nasemaga hii nchi ina wapuuz wengi...sheria za hii nchii hazipo sawa na wao hawataki kurekebisha sababu wanajua watang'oka, sisemi kwamba mimi ni genious ila wao ni wapumbavu na upumbavu wao wameudhihirisha hadharani na wote tunajua hilo, mkuu unataka kuwatetea ?

hoja zangu tata kidogo unisamehe..

umesema nchi ina wapuuzi wengi sana, sasa watawala wapumbavu na wananchi wapuuzi wanawezaje kutuzidi akili... au wao ni wengi au sisi ni wapuuzi na wapumbavu zaidi yao?
 
Mkuu ndio mana nasemaga hii nchi ina wapuuz wengi...sheria za hii nchii hazipo sawa na wao hawataki kurekebisha sababu wanajua watang'oka, sisemi kwamba mimi ni genious ila wao ni wapumbavu na upumbavu wao wameudhihirisha hadharani na wote tunajua hilo, mkuu unataka kuwatetea ?
Sasa kama tume inawateule wa watala hao hao tunaotaka kuwatoa, itawezekana kweli!?
 
Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata.

Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na haijalishi utakalofanya, hakuna anaeweza kukushtaki uwapo madarakani au hata ukitoka, sasa hapo mimi nina tofauti gani na ‘Mungu’? Hivi ni nini kitanifanya niogooe kulihujumu taifa? Mfano nikaamua kwenda kukopa dollor bilioni 3 halafu nikaemda kujenga nyimba ya dhahabu shambani kwangu, mtanifanya nini?

Na ukija kuchunguza udhaifu mwingi na madudu mengi yametokana na katiba kushindwa kuwabana na kuwawajibisha ipasavyo wahisika, inabaki kupiga kelele na kulialia hovyo majukwaani kama anavyofanya Ndugai, wakati kiuhalisia muhusika anaruhusiwa kikatiba kufanya hivyo.

Mlio kwenye system, katiba mpya tunaipata lini? Au ndio tusubiri kupigwa mnada kama ng’ombe sokoni?!
Katika haiji kwa sababu mnaisingizia.

Tatizo sio katiba hata kidogo,watu sio kwamba tutafute kiini cha tatizo bali tutafute kiini halisi cha tatizo,ishu sio katiba ishu ni watu wanaofuata katiba hiyo.

Katiba sio ishu kabisa.

Katiba ingefuatwa wale wabunge 19 waasingekuwa bungeni kwa maana katika iliweka taratibu nzuri tu ila shida watu wanaosimamia wameamua kuipuuza.

Sasa kwa ishu kama hii hautakiwi kuilalamikia katiba,walalamikiwe watu wanaosimamia hizo katiba
 
hoja zangu tata kidogo unisamehe..

umesema nchi ina wapuuzi wengi sana, sasa watawala wapumbavu na wananchi wapuuzi wanawezaje kutuzidi akili... au wao ni wengi au sisi ni wapuuzi na wapumbavu zaidi yao?
jamaangu wapuuz na wapumbavu ni wengi na wanasupotiana, bora katiba ibadilishwe tuanze upya,
 
Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata.

Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na haijalishi utakalofanya, hakuna anaeweza kukushtaki uwapo madarakani au hata ukitoka, sasa hapo mimi nina tofauti gani na ‘Mungu’? Hivi ni nini kitanifanya niogooe kulihujumu taifa? Mfano nikaamua kwenda kukopa dollor bilioni 3 halafu nikaemda kujenga nyimba ya dhahabu shambani kwangu, mtanifanya nini?

Na ukija kuchunguza udhaifu mwingi na madudu mengi yametokana na katiba kushindwa kuwabana na kuwawajibisha ipasavyo wahisika, inabaki kupiga kelele na kulialia hovyo majukwaani kama anavyofanya Ndugai, wakati kiuhalisia muhusika anaruhusiwa kikatiba kufanya hivyo.

Mlio kwenye system, katiba mpya tunaipata lini? Au ndio tusubiri kupigwa mnada kama ng’ombe sokoni?!
Duh !!
 
Au tusiwe na katiba kama uengereza. Iyo katiba hata ikiwepo isipo fatwa ni ujinga tu. Tume ya uchaguzi huru ndio kitu cha msingi ili tuwe na bunve imara
Ilo bunge imara linapatikanaje?.Unaweza ukawa na bunge imara ila kama huna utaratibu wakuwawajibisha wataishia kuzodoana tu kwasababu shida kubwa inaanzia kwenye ule mhimili uliojichimbia chini zaidi.
 
Back
Top Bottom