FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata.
Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na haijalishi utakalofanya, hakuna anaeweza kukushtaki uwapo madarakani au hata ukitoka, sasa hapo mimi nina tofauti gani na ‘Mungu’? Hivi ni nini kitanifanya niogooe kulihujumu taifa? Mfano nikaamua kwenda kukopa dollor bilioni 3 halafu nikaemda kujenga nyimba ya dhahabu shambani kwangu, mtanifanya nini?
Na ukija kuchunguza udhaifu mwingi na madudu mengi yametokana na katiba kushindwa kuwabana na kuwawajibisha ipasavyo wahisika, inabaki kupiga kelele na kulialia hovyo majukwaani kama anavyofanya Ndugai, wakati kiuhalisia muhusika anaruhusiwa kikatiba kufanya hivyo.
Mlio kwenye system, katiba mpya tunaipata lini? Au ndio tusubiri kupigwa mnada kama ng’ombe sokoni?!
Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na haijalishi utakalofanya, hakuna anaeweza kukushtaki uwapo madarakani au hata ukitoka, sasa hapo mimi nina tofauti gani na ‘Mungu’? Hivi ni nini kitanifanya niogooe kulihujumu taifa? Mfano nikaamua kwenda kukopa dollor bilioni 3 halafu nikaemda kujenga nyimba ya dhahabu shambani kwangu, mtanifanya nini?
Na ukija kuchunguza udhaifu mwingi na madudu mengi yametokana na katiba kushindwa kuwabana na kuwawajibisha ipasavyo wahisika, inabaki kupiga kelele na kulialia hovyo majukwaani kama anavyofanya Ndugai, wakati kiuhalisia muhusika anaruhusiwa kikatiba kufanya hivyo.
Mlio kwenye system, katiba mpya tunaipata lini? Au ndio tusubiri kupigwa mnada kama ng’ombe sokoni?!