Nchi hii shule za A level ni chache sana. Kuwe na kampeni ya kujenga shule hizo

Nchi hii shule za A level ni chache sana. Kuwe na kampeni ya kujenga shule hizo

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Nimeangalia matokeo ya form six nimeshangaa kuona idadi ya shule za A level ni 610 tu nchi nzima. Kama nakumbuka vizuri, shule za O level zaidi ya 3,000. Na nyingi ya hizo shule za A level zinawanafunzi wa Olevel pia, hivyo siyo kuwa shule yote inatumika kufundisha A level.

Kwa data hizo, inaonyesha kuwa Shule za A level zinaweza chukua 20% tu ya watu wanaomaliza O level. Nchi haiwezi kuwa ya kisomi kwa takwimu hizo.

Ingefaa tuwe na kampeni nchi nzima ya kujenga shule za A level nchi nzima, hasa zile za michepuo ya sayansi. Kila wilaya ijenge Shule mbili za A level.

Mikoa mitatu yenye shule nyingi za A level za wanafunzi zaidi ya 30 ni

1. Klimanjaro, 53
2. Dar es salaam, 44
3. Mbeya, 40.
 
Kwa wakati tuliopo Sasa,

Elimu ya A-Level Haina tena manufaa kwa mhitimu wala taifa kiujumla.

Cheti Cha form six huwezi kukitumia kuombea KAZI popote Wala ukajiajili kwa chochote.

Hizo pesa za kujenga izo shule,
Ni Bora vijengwe vyuo vya UFUNDI (veta) kila Kona ya nchi.
 
Mtumie akili kabla ya kuandika,,, msilete feelings zenu za kishamba kwenye fact,,kama haina maana leta facts na sio kubwabwaja
Fact nishaeleza,
Wee unaetumia Akili, unatakiwa ujibu hizi hoja [emoji116]na sio kuleta kashfa na vijembe

1.Unaweza kuajiliwa wapi kwa cheti Cha form six?

2. unaweza kujiajili vipi kwa elimu yako uliyoipata baada ya kuhitimu form 6?
 
Fact nishaeleza,
Wee unaetumia Akili, unatakiwa ujibu hizi hoja [emoji116]na sio kuleta kashfa na vijembe

1.Unaweza kuajiliwa wapi kwa cheti Cha form six?

2. unaweza kujiajili vipi kwa elimu yako uliyoipata baada ya kuhitimu form 6?
Kaangalie kwenye mtaala wenu wa elimu kama kuna objective ya ww kumaliza advance ukapatiwe kazi ndio the major aim ya education sehemu yeyote duniani ,, [emoji28][emoji28][emoji28]
au very simple answer ni "education sio for job opportunities,, ni kumfanya individual awe aware with his or her sorroundings na what is the need of his society,, atumie the knowledge alokuwa nayo ( gained almost 13 years) ili afix loops zilizopo kwenye jamii yake

Oooh by the way getting job au money through education sio certain,, tatizo la wabongo mnaforce matokeo ya education yawe ni mkwanja[emoji28][emoji28][emoji28]

And by the way as long as education iko chini ya philosophy hii ya Earth [emoji28][emoji28][emoji28] education sio pesa mueleweeeee
 
Fact nishaeleza,
Wee unaetumia Akili, unatakiwa ujibu hizi hoja [emoji116]na sio kuleta kashfa na vijembe

1.Unaweza kuajiliwa wapi kwa cheti Cha form six?

2. unaweza kujiajili vipi kwa elimu yako uliyoipata baada ya kuhitimu form 6?
By the way ni nyie tu ndo hamuwezi kutumia education to fix your society,, nchi nyingi zilizoendelea kielimu ( still wana middle school, na high schools) wanatumia chemistry au geography sio kuombea kazi,, ila kufix pH ya udongo wa backyard yao ili kupanda maua,,
 
Kaangalie kwenye mtaala wenu wa elimu kama kuna objective ya ww kumaliza advance ukapatiwe kazi ndio the major aim ya education sehemu yeyote duniani ,, [emoji28][emoji28][emoji28]....
Umeandika blah blah tupu,

Hujajibu hoja Zangu bado
 
Umeandika blah blah tupu,

Hujajibu hoja Zangu bado
Umekaza kichwa eti eeeh,,, "ELIMU SIO KWA AJILI YA KUPATA KAZI,, HIYO HAIPOOOOOO,," KAZI SIO MATOKEO PEKEE YA ELIMU,, KAMA KUPATA KAZI HUJAFANIKIWA [emoji28][emoji28] GEUKIA OBJECTIVES NYINGINE,,

KWA MFANO UMEONYESHA KUWA HUWEZ ANALYSE NILICHOANDIKA HAPO,,, IN OTHER WAYS WEWE NA AMBAYE ALIPATA FOUR FM 6 MKO SAWA
 
By the way ni nyie tu ndo hamuwezi kutumia education to fix your society,, nchi nyingi zilizoendelea kielimu ( still wana middle school, na high schools) wanatumia chemistry au geography sio kuombea kazi,, ila kufix pH ya udongo wa backyard yao ili kupanda maua,,
Huna hoja,

Soil chemistry inafundishwa FORM FOUR

Na inatosha kabisa kutatua icho unachokiongelea,
Sio lazima ufike form six ndo ukajue pH za udongo.

Lete blah blah nyingine.
 
Fact nishaeleza,
Wee unaetumia Akili, unatakiwa ujibu hizi hoja [emoji116]na sio kuleta kashfa na vijembe

1.Unaweza kuajiliwa wapi kwa cheti Cha form six?

2. unaweza kujiajili vipi kwa elimu yako uliyoipata baada ya kuhitimu form 6?
By the way,, hukuwa na haja ya kuandika points 2 hapa,, zote hizo zinahusu kupata source ya income through education
 
Huna hoja,

Soil chemistry inafundishwa FORM FOUR

Na inatosha kabisa kutatua icho unachokiongelea,
Sio lazima ufike form six ndo ukajue pH za udongo.

Lete blah blah nyingine.
Aaaaah bonehead tunazungumzia fm 6,, huko nako inafundishwa,,,
 
Aaaaah bonehead tunazungumzia fm 6,, huko nako inafundishwa,,,
Sasa Kama unajua na huko kinafundishwa, una haja gani ya kukiongelea.

Kama kinafundishwa form 4, Kuna ulazima gani wa mtoto kukifata uko form six.

Ebu,
Fikiri kwa mapana mkuu
 
Kwa wakati tuliopo Sasa,

Elimu ya A-Level Haina tena manufaa kwa mhitimu wala taifa kiujumla.

Cheti Cha form six huwezi kukitumia kuombea KAZI popote Wala ukajiajili kwa chochote.

Hizo pesa za kujenga izo shule,
Ni Bora vijengwe vyuo vya UFUNDI (veta) kila Kona ya nchi.
Mkuu ni kweli kabisa wanatakiwa kuondoa A level ibakia O level pekee,
 
Mtumie akili kabla ya kuandika,,, msilete feelings zenu za kishamba kwenye fact,,kama haina maana leta facts na sio kubwabwaja
A level ni marudio ya O level, mtoto anaweza maliza O level na akaingia chuo moja kwa moja na kufanya vizuri sana.

Walio anzisha A level sijui waliwaza ninibut ni kupoteza muda na pesa tu
 
Back
Top Bottom