Nchi hii shule za A level ni chache sana. Kuwe na kampeni ya kujenga shule hizo

Nchi hii shule za A level ni chache sana. Kuwe na kampeni ya kujenga shule hizo

Kaangalie kwenye mtaala wenu wa elimu kama kuna objective ya ww kumaliza advance ukapatiwe kazi ndio the major aim ya education sehemu yeyote duniani ,, [emoji28][emoji28][emoji28]
au very simple answer ni "education sio for job opportunities,, ni kumfanya individual awe aware with his or her sorroundings na what is the need of his society,, atumie the knowledge alokuwa nayo ( gained almost 13 years) ili afix loops zilizopo kwenye jamii yake

Oooh by the way getting job au money through education sio certain,, tatizo la wabongo mnaforce matokeo ya education yawe ni mkwanja[emoji28][emoji28][emoji28]

And by the way as long as education iko chini ya philosophy hii ya Earth [emoji28][emoji28][emoji28] education sio pesa mueleweeeee
Tumia kingereza au kiswahili ona unavyoumbuka sasa ujumbe haueleweki hauna kichwa wala miguu
 
Fact nishaeleza,
Wee unaetumia Akili, unatakiwa ujibu hizi hoja [emoji116]na sio kuleta kashfa na vijembe

1.Unaweza kuajiliwa wapi kwa cheti Cha form six?

2. unaweza kujiajili vipi kwa elimu yako uliyoipata baada ya kuhitimu form 6?
Waalimu wengi wa sekondari wamesoma A-Level,sasa utasemaje ALevel Haina ajira?
 
A level ni muhimu sana, tena sana. Ni ngumu sana mtu kutoka Olevel kisha ukampeleka kusoma MD au Bpharm, au Engeneering. Utazalisha wasomi vilaza haijawahi kutokea.
Naona wanazungumza bila exposure kabisa. Mtu mwenye degree lkn kamaliza F.4 na mtu mwenye degree lkn kamaliza F.6 ni watu wawili tofauti kabisa.
 
A level ni marudio ya O level, mtoto anaweza maliza O level na akaingia chuo moja kwa moja na kufanya vizuri sana.

Walio anzisha A level sijui waliwaza ninibut ni kupoteza muda na pesa tu
Ni kweli unaweza kusoma chuo cha veta n.k lakini siyo chuo kikuu kusoma degree,,,, yaani unafananisha hesabu ya form four na advance?? Au physics ya olevel na advance,,,elimu yetu ya olevel ni basics tu ila shule yenye application ipo form six
 
Tumia kingereza au kiswahili ona unavyoumbuka sasa ujumbe haueleweki hauna kichwa wala miguu
Mwingine huyu hapa,, kashindwa kufanya analysis anasingizia lugha ziko mbili tofauti[emoji28][emoji28][emoji28] af anasema alienda shule
 
Nimeangalia matokeo ya form six nimeshangaa kuona idadi ya shule za A level ni 610 tu nchi nzima. Kama nakumbuka vizuri, shule za O level zaidi ya 3,000. Na nyingi ya hizo shule za A level zinawanafunzi wa Olevel pia, hivyo siyo kuwa shule yote inatumika kufundisha A level.

Kwa data hizo, inaonyesha kuwa Shule za A level zinaweza chukua 20% tu ya watu wanaomaliza O level. Nchi haiwezi kuwa ya kisomi kwa takwimu hizo.

Ingefaa tuwe na kampeni nchi nzima ya kujenga shule za A level nchi nzima, hasa zile za michepuo ya sayansi. Kila wilaya ijenge Shule mbili za A level.

Mikoa mitatu yenye shule nyingi za A level za wanafunzi zaidi ya 30 ni

1. Klimanjaro, 53
2. Dar es salaam, 44
3. Mbeya, 40.
Tunahitaji elimu ya ufundi kuliko hio elimu ya kukaririshana theories za ajabu ajabu ambazo eti ndio kipimo cha akili na ufaulu!

We need technical skills ambazo unaweza kuuza ujuzi wako ukapata hela! Hizo soft skills hazimpatii suluhisho mtu mpaka aajiriwe mahali!
 
Kwa wakati tuliopo Sasa,

Elimu ya A-Level Haina tena manufaa kwa mhitimu wala taifa kiujumla.

Cheti Cha form six huwezi kukitumia kuombea KAZI popote Wala ukajiajili kwa chochote.

Hizo pesa za kujenga izo shule,
Ni Bora vijengwe vyuo vya UFUNDI (veta) kila Kona ya nchi.
Hoja imeungwa mkono;
Na sasa nitawauliza, Wangapi wanataka Elimu ya sekondari iishie form 4 na baada ya hapo iwe diploma na kisha digrii?
 
Tunahitaji elimu ya ufundi kuliko hio elimu ya kukaririshana theories za ajabu ajabu ambazo eti ndio kipimo cha akili na ufaulu!

We need technical skills ambazo unaweza kuuza ujuzi wako ukapata hela! Hizo soft skills hazimpatii suluhisho mtu mpaka aajiriwe mahali!
Bro kwani ili elimu iwe effective, kila msomi awe na technical skills kwa ajili ya kupata pesa
 
Tunahitaji wazalishaji bidhaa zaidi ili tuweze kupanua wigo wa kiuchumi mdogo wangu Gregory 2000 we really need that huu uchumi wa uchuuzi utafikia mahali kila mtu ni mmachinga hamna wa kumuuzia mwenzie
 
Kaangalie kwenye mtaala wenu wa elimu kama kuna objective ya ww kumaliza advance ukapatiwe kazi ndio the major aim ya education sehemu yeyote duniani ,, [emoji28][emoji28][emoji28]
au very simple answer ni "education sio for job opportunities,, ni kumfanya individual awe aware with his or her sorroundings na what is the need of his society,, atumie the knowledge alokuwa nayo ( gained almost 13 years) ili afix loops zilizopo kwenye jamii yake

Oooh by the way getting job au money through education sio certain,, tatizo la wabongo mnaforce matokeo ya education yawe ni mkwanja[emoji28][emoji28][emoji28]

And by the way as long as education iko chini ya philosophy hii ya Earth [emoji28][emoji28][emoji28] education sio pesa mueleweeeee
Haya tuambie wewe unayetumia Elimu ya form 6 kumanage mazingira yako, tusaidie tusiojua maana wengi tunaamini form 6 ni njia ya kukupeleka chuo tu na siyo kukupa ABC za maisha za maisha kazi ambayo mtaala wa form 4 ukiwekwa vizuri unatisha kuwapeleka watu vyuoni.
 
Ukielewa umuhimu wa pesa katika maisha tulionayo huwezi kuuliza swali lan namna hii
Pesa ni muhimu sanaaa,,, lakini tumetafsiri vibaya matokeo ya elimu iwe sawa na pesa tu,,, ( na aina ya jamii tunayoishi imechangia)

Ila madhumuni makubwa ya elimu ni kumfanya mwanadamu aweze ku interact na mazingira yake in different ways and moja ya interaction hyo is doing something for someone ili uwe paid using knowledge kuhusu mazingira

Kwa sababu ya umasikini tume ditch purpose zingine za elimu and the major one ikawa pesa because that's what is important to us now

mfano watu ambao wana PhD ya theoretical physics understand how the universe works it's their magical moment kwenye elimu,,

But sie masikini getting money kutokana na elimu yetu its our magical moment so we differ in our perception about what education must do for us,, lakini our perception zisiwe limit in our mind kuwa this is how education must be
 
A level ni muhimu sana, tena sana. Ni ngumu sana mtu kutoka Olevel kisha ukampeleka kusoma MD au Bpharm, au Engeneering. Utazalisha wasomi vilaza haijawahi kutokea.
Siyo kweli mkuu, kuna nchi hazina f6 na zinatoa madaktari na Mainjinia vichwa balaa. Ukiboresha mtaala wa form4 unatosha kuandaa vijana kwa maisha ya chuo.
 
Pesa ni muhimu sanaaa,,, lakini tumetafsiri vibaya matokeo ya elimu iwe sawa na pesa tu,,, ( na aina ya jamii tunayoishi imechangia)

Ila madhumuni makubwa ya elimu ni kumfanya mwanadamu aweze ku interact na mazingira yake in different ways and moja ya interaction hyo is doing something for someone ili uwe paid using knowledge kuhusu mazingira

Kwa sababu ya umasikini tume ditch purpose zingine za elimu and the major one ikawa pesa because that's what is important to us now

mfano watu ambao wana PhD ya theoretical physics understand how the universe works it's their magical moment kwenye elimu,,

But sie masikini getting money kutokana na elimu yetu its our magical moment so we differ in our perception about what education must do for us,, lakini our perception zisiwe limit in our mind kuwa this is how education must be
Ukishayapata maarifa then what next bro? We all need to be educated then ushapata maarifa what comes ni lazima uya exercise! Knowledge on how to interact with environment ni level ya UPE!

Ordinary level ni extension ya UPE! From there unakuwa umeelimika vya kutosha tu hata usiposoma zaidi but unakuwa unajua mambo mengi kama ulitulia na kuwa makini shuleni.

What comes next ni majukumu bro!
 
Haya tuambie wewe unayetumia Elimu ya form 6 kumanage mazingira yako, tusaidie tusiojua maana wengi tunaamini form 6 ni njia ya kukupeleka chuo tu na siyo kukupa ABC za maisha za maisha kazi ambayo mtaala wa form 4 ukiwekwa vizuri unatisha kuwapeleka watu vyuoni.
Any way ni sawa either upite fm 6 au usipite inategemeana na what unataka kwa wale ambao pesa ni zao la kwanza la elimu kwa mawazo yao,, diploma to degree ni pazuri kwao, but kama uko obsessed with kujua vitu then form 6 ni pazuri kwako

Form 6 unajifunza a lot about science, arts, and language na vingine , but most huwezi vitumia kwenye jamii yetu ya kibongo,,.

Cha muhimu umeshajua what sorrounds you, from Tiny molecules to the complicated structure ambayo mtu anaona,, knowing what is what in your environment is the major hit in education,,

Baada ya kujua what is what in your environment,,, fixing them Ni part inayofata ,
 
Ukishayapata maarifa then what next bro? We all need to be educated then ushapata maarifa what comes ni lazima uya exercise! Knowledge on how to interact with environment ni level ya UPE!

Ordinary level ni extension ya UPE! From there unakuwa umeelimika vya kutosha tu hata usiposoma zaidi but unakuwa unajua mambo mengi kama ulitulia na kuwa makini shuleni.

What comes next ni majukumu bro!
Exercising them iko in a very wide scope one of it ni kuyatumia ili upate pesa

I believe ukijua vingi utafix vingi,, ukiona una a very limited range of fixing things then jua hujui vingi
 
Back
Top Bottom