Nchi ikiongozwa na mtu kama Rais Samia lazima watu wake wawe na furaha na biashara zitashamiri kama ilivyo sasa

Ubepari sio jambo baya kama taifa litakuwa na idadi kubwa ya wasomi na wataalamu kama nchi kama china na India
Ubepari mzuri mwanzoni. Fursa kibao watu wanasonga maisha. Baadaye utajiri na fursa zote zinaangukia kwenye mikono ya wachache. Hata hao masomi wanaishia kuwa vibarua na manamba. Tena sasa ubepari umejigeuza kuwa kitu kinaitwa Technofeudalism ambacho ni hatari zaidi.
 
Utakuwaje na furaha wakati huna kila kitu halafu wanafaidi wengine kwa wizi? Majizi ndo yana furaha
 
Hamna shukran ndio mana awamu ile mli ipatapata sijui mnatka mtu ashuke mbinguni ndio muone mmepata kiongozi bora

watu km nyny ndio mnosababisha kupata kiongozi km awamu ile sababu ham elweki
Yaani mimi na akili zangu timamu niwe na shukrani na kiongozi wa ccm! Ananisaidia ni katika maisha yangu ya kila siku! Wewe utakuwa na matatizo upstairs bila shaka.
 
Zaidi ya robo tatu ya watanzania ni maskini.Biashara wakianzisha zinakufa kutokana Kodi kubwa za TRA.Andiko lako kundi hili halikuelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…