Nchi iko katika maombolezo, huku soka, harusi, sherehe na burudani zinaendelea, sasa kwanini kumpokea Lissu ndio iwe tatizo?

Nchi iko katika maombolezo, huku soka, harusi, sherehe na burudani zinaendelea, sasa kwanini kumpokea Lissu ndio iwe tatizo?

Nimeelewa umesema kwmba na mkapa nae kapewa sumu aisee......


Ili iweje???

SACCOS ili wafifishe ujio wa ROPOROPO.

Hovyoooo.



Brooo Pascally Mayalla pole ila uzi wako ule hongera zakooo
 
Mkuu huyo roporopo asiye na hekima katika kinywa chake kamweee kamwee nasema kamweeeee hawezi kuoongoza Taifa hili.

Anafaa kuwa mtoa motisha wa viongozi mazwazwa.

ULIMI WAKE HAUNA HARUFU NZURI.
washamba na malimbukeni in zitto voice ndio wametufikisha hapa, acha mwamba atuvushe maana huyu ana monkari na mbinu za kimaendeleo maana ukiwa nje ya uwanja ndio unapousoma mchezo vizuri, relax tu mazuri yanakuja
 
washamba na malimbukeni in zitto voice ndio wametufikisha hapa, acha mwamba atuvushe maana huyu ana monkari na mbinu za kimaendeleo maana ukiwa nje ya uwanja ndio unapousoma mchezo vizuri, relax tu mazuri yanakuja


Bora joti awe raisi ha hah hah hah
 
Na sio hayo tu,hata upigaji wa kura za maoni kweny vyama vya siasa unaendelea.Sasa kwanini watu kwenda kumpokea mgeni/kiongozi wao ndio iwe tatizo?

Ni wapi CHADEMA wamesema wataandamana?

Kukutana airport huko kila mtu akitokea nyumbani Kwake, ndio kuandamana au ndio kufanya mkusanyiko usio halalai?

Kama ni hivyo,wanaokusanyika katika sehemu zingine kama viwanjani, kwenye makongamano au mikutano,nao wanavunja sheria?

Hivi nchi hii imeundwa leo au jana kiasi kwamba bado hatuzijui vizuri sheria za nchi na katiba ya nchi hii mpya?

Kwa maneno mengine,tunaishi katika nchi mpya ikiwa na watu wapya katika uongozi wa taaaisi mbalimbali za nchi na ndio maana tunaonekana kukosea/kujichanganya?

Kwani mmezuiwa sababu ya msiba au mmezuiwa kwakuwa hamjafata taratibu zinazotakiwa?
Bavicha huwa mnajielewa kweli?
 
Hiyo ni hali ya kawaida sana, chama kikizeeka hukosa mvuto, na hutumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kukubalika. Na wanapoona chama chochote kinakubalika hukifanyia mizengwe ili kisiendelee kuvuta wananchi. Haya yanayofanyika dhidi ya cdm kwa kutumia vyombo vya dola sio mageni, bali ni kwakuwa chama kikongwe hakina jinsi zaidi ya kujilinda kwa kutegemea vyombo vya dola.

Unaandika ngonjera!

Hicho chama kinachokubalika kimewafanyia nini Watanzania zaidi ya viongozi wake kuipinga Serikali kwa matusi na kuropoka hovyo.

Viongozi wa hicho chama hawana agenda ya kushawishi wapiga kura zaidi ya kudai Tume Huru wakidhani ndiyo itawaingiza madarakani! Ni Aibu.

Sasa viongozi hao wanadhani ujio wa Lissu ndio mwarobaini wa kutokubalika. Wanaomba dua Serikali ifanye makosa wapate kuungwa mkono na jumuia ya kimataifa kulaani na hatimaye wao wapate ujiko wa kuingia Ikulu kiulaini.

Matarajio ya hicho chama ni ndoto za alinacha na mikakati waliyoweka ni bure.
 
Tundu Lissu ana roho wa Mungu.
CCM CHAMA CHA MASHETANI wanamuogopa


Kikolo huyo DOMO ROPO hawezi kuwa RAISI.

Vinginevyo ajishushe ajue ajue Darasa la saba nae ni sehemu yake.

Unapomponda darasa la saba alafu unataka kura yake hivi unaeleweka.

Kipindi cha nyuma kuna jamaa aliupaisha mkoa wa KILIMANJARO dhidi ya MBEYA kiasi aliona Mbeya ni soksi ndani mguu wa MOSHI.

Samahani kama nimekosea ila wanachadema mnaotoka kilimanjaro ndimi zenu zichungeni.

Kwa sasa chadema sio saccos ya kwenu kama bado mnaifanya saccos basi poleni na kwa herini.

KARIBUNI KYELA WANA JF WOTE.
 
Unaandika ngonjera!

Hicho chama kinachokubalika kimewafanyia nini Watanzania zaidi ya viongozi wake kuipinga Serikali kwa matusi na kuropoka hovyo.

Viongozi wa hicho chama hawana agenda ya kushawishi wapiga kura zaidi ya kudai Tume Huru wakidhani ndiyo itawaingiza madarakani! Ni Aibu.

Sasa viongozi hao wanadhani ujio wa Lissu ndio mwarobaini wa kutokubalika. Wanaomba dua Serikali ifanye makosa wapate kuungwa mkono na jumuia ya kimataifa kulaani na hatimaye wao wapate ujiko wa kuingia Ikulu kiulaini.

Matarajio ya hicho chama ni ndoto za alinacha na mikakati waliyoweka ni bure.

Naandika ngonjera kisha unajibu kwa biblia. Kichekesho cha mchana kweupe.

Kuwafanyia kitu watanzania ni mpaka ukamate dola. Hapo ndio kipimo halisi. Tume huru sio kwa ajili ya kuwaingiza madarakani, bali ni ili mshindi halali ndio atangazwe. Hakuna chama kisichokuwa na ajenda, labda unafuata mkumbo ukisikia hakuna ajenda, na ww unaungia hapo nyuma kama tela.

Lisu ni mwanachama halali wa Cdm, hivyo ni furaha kumpokea mwenzao yoyote, hasa aliyeepuka kifo. Kukataliwa na watu sio kuzuiwa kwa amri ya rais kukutana na watu, bali ni kukosa kura kwenye uchaguzi. Na sio box la kura kubakwa kama mlivyofanya uchaguzi wa SM.

Jumuiya ya kimataifa haijalala, ukifanya uhayawani wowote watakemea na hata kuchukua hatua. Ndio maana tunataka tume huru, ili chama kinachokubalika na wananchi kwa ridhaa yao ndio kikae madarakani.
 
😂😂😂😁😬😅😃😄

Mawazo ya upinzani kadi ya CCM.


KURA???????


Watanzania.
hajutalia kabisa man, are you smoking weed!? sorry kiana, maana sio kila post ujibu huo ni ushamba Wa Facebook!
 
Bado wizara ya mambo ya ndani haijapata waziri anayefiti vizuri.Polis kwa hili LA lissu walipaswa kutumia diplomasia zaidi na sio nguvu.wanapaswa kujadiliana na viongozi Wa chadema na kujadiliana wapi mh lissu spite huku akiwa na wafuasi wao.polis wanapaswa kutoa ulinzi ili shughuli ipite salama
 
Bado wizara ya mambo ya ndani haijapata waziri anayefiti vizuri.Polis kwa hili LA lissu walipaswa kutumia diplomasia zaidi na sio nguvu.wanapaswa kujadiliana na viongozi Wa chadema na kujadiliana wapi mh lissu spite huku akiwa na wafuasi wao.polis wanapaswa kutoa ulinzi ili shughuli ipite salama
Hahahaaa...ingekua rahisi hivyo basi tusingekua tunampokea hiyo j3 maana asingekua amepigwa risasi!
 
Bado wizara ya mambo ya ndani haijapata waziri anayefiti vizuri.Polis kwa hili LA lissu walipaswa kutumia diplomasia zaidi na sio nguvu.wanapaswa kujadiliana na viongozi Wa chadema na kujadiliana wapi mh lissu spite huku akiwa na wafuasi wao.polis wanapaswa kutoa ulinzi ili shughuli ipite salama

Polisi hawana tatizo na huu ushauri wako, maana hayo yanakubalika kwenye utendaji wao wa kazi. Ila polisi wanapokea maelezo ya wanasiasa washindani wa Lisu, na wanatakiwa watii bila kuhoji. Hivyo polisi wanatumika na wanasiasa wa ccm, na wanaonyesha utii mkubwa, na polisi inabidi watii, maana wanasiasa wa ccm wamefanikiwa kuwaaminisha kuwa wao ndio wanawalipa mshahara.
 
Mkuu huyo roporopo asiye na hekima katika kinywa chake kamweee kamwee nasema kamweeeee hawezi kuoongoza Taifa hili.

Anafaa kuwa mtoa motisha wa viongozi mazwazwa.

ULIMI WAKE HAUNA HARUFU NZURI.
Vp ule ulimi wa jiwe/kichaa? Au wake umejaa hekima na busara ?
 
Polisi wa Tanzania wanatenga wananchi katika mfumo wa kikaburu. Wana CCM ni sawa na Wazungu hawafanywi lolote hata wakivunja sheria za nchi. Chadema na vyama vya upinzani ni sawa na Waafrika wanaowindwa kama digidigi. Hata wakitenda yasiyovunja sheria watatafutiwa sababu za kuwaharimisha.
Polisi semeni ikiwa mmeamua kuutetea Ukaburu wa serikali ya awamu ya tano!!?
Ila jambo liko wazi. Hatutkubali upuuzi wenu. Kwamba mtetee Ukaburu wenu halafu tuendelee kuwa wanyonge mbele yenu!!? Kamwe haitakuwa.
 
Back
Top Bottom