okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Nimeelewa umesema kwmba na mkapa nae kapewa sumu aisee......
Ili iweje???
SACCOS ili wafifishe ujio wa ROPOROPO.
Hovyoooo.
Brooo Pascally Mayalla pole ila uzi wako ule hongera zakooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa umesema kwmba na mkapa nae kapewa sumu aisee......
washamba na malimbukeni in zitto voice ndio wametufikisha hapa, acha mwamba atuvushe maana huyu ana monkari na mbinu za kimaendeleo maana ukiwa nje ya uwanja ndio unapousoma mchezo vizuri, relax tu mazuri yanakujaMkuu huyo roporopo asiye na hekima katika kinywa chake kamweee kamwee nasema kamweeeee hawezi kuoongoza Taifa hili.
Anafaa kuwa mtoa motisha wa viongozi mazwazwa.
ULIMI WAKE HAUNA HARUFU NZURI.
washamba na malimbukeni in zitto voice ndio wametufikisha hapa, acha mwamba atuvushe maana huyu ana monkari na mbinu za kimaendeleo maana ukiwa nje ya uwanja ndio unapousoma mchezo vizuri, relax tu mazuri yanakuja
Na sio hayo tu,hata upigaji wa kura za maoni kweny vyama vya siasa unaendelea.Sasa kwanini watu kwenda kumpokea mgeni/kiongozi wao ndio iwe tatizo?
Ni wapi CHADEMA wamesema wataandamana?
Kukutana airport huko kila mtu akitokea nyumbani Kwake, ndio kuandamana au ndio kufanya mkusanyiko usio halalai?
Kama ni hivyo,wanaokusanyika katika sehemu zingine kama viwanjani, kwenye makongamano au mikutano,nao wanavunja sheria?
Hivi nchi hii imeundwa leo au jana kiasi kwamba bado hatuzijui vizuri sheria za nchi na katiba ya nchi hii mpya?
Kwa maneno mengine,tunaishi katika nchi mpya ikiwa na watu wapya katika uongozi wa taaaisi mbalimbali za nchi na ndio maana tunaonekana kukosea/kujichanganya?
vidole vinaweza kuuponza mwili visipotumiwa vizuri, Mkuu. Muache anadhani anachoma cha 'Malawi' kumbe yupo JF.Mkuu ....
halafu nikwambie kitu!? uwe una like post kwanza kabla ya Ku quote, mbona unakua kama hujui taratibu zetu banaa..!?Bora joti awe raisi ha hah hah hah
Hiyo ni hali ya kawaida sana, chama kikizeeka hukosa mvuto, na hutumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kukubalika. Na wanapoona chama chochote kinakubalika hukifanyia mizengwe ili kisiendelee kuvuta wananchi. Haya yanayofanyika dhidi ya cdm kwa kutumia vyombo vya dola sio mageni, bali ni kwakuwa chama kikongwe hakina jinsi zaidi ya kujilinda kwa kutegemea vyombo vya dola.
Hivi marrehemu kafa kwa ugonjwa gaini na katika hosipitali gain?Kwani mmezuiwa sababu ya msiba au mmezuiwa kwakuwa hamjafata taratibu zinazotakiwa?
Bavicha huwa mnajielewa kweli?
halafu nikwambie kitu!? uwe una like post kwanza kabla ya Ku quote, mbona unakua kama hujui taratibu zetu banaa..!?
Unaandika ngonjera!
Hicho chama kinachokubalika kimewafanyia nini Watanzania zaidi ya viongozi wake kuipinga Serikali kwa matusi na kuropoka hovyo.
Viongozi wa hicho chama hawana agenda ya kushawishi wapiga kura zaidi ya kudai Tume Huru wakidhani ndiyo itawaingiza madarakani! Ni Aibu.
Sasa viongozi hao wanadhani ujio wa Lissu ndio mwarobaini wa kutokubalika. Wanaomba dua Serikali ifanye makosa wapate kuungwa mkono na jumuia ya kimataifa kulaani na hatimaye wao wapate ujiko wa kuingia Ikulu kiulaini.
Matarajio ya hicho chama ni ndoto za alinacha na mikakati waliyoweka ni bure.
hajutalia kabisa man, are you smoking weed!? sorry kiana, maana sio kila post ujibu huo ni ushamba Wa Facebook!😂😂😂😁😬😅😃😄
Mawazo ya upinzani kadi ya CCM.
KURA???????
Watanzania.
Hahahaaa...ingekua rahisi hivyo basi tusingekua tunampokea hiyo j3 maana asingekua amepigwa risasi!Bado wizara ya mambo ya ndani haijapata waziri anayefiti vizuri.Polis kwa hili LA lissu walipaswa kutumia diplomasia zaidi na sio nguvu.wanapaswa kujadiliana na viongozi Wa chadema na kujadiliana wapi mh lissu spite huku akiwa na wafuasi wao.polis wanapaswa kutoa ulinzi ili shughuli ipite salama
Bado wizara ya mambo ya ndani haijapata waziri anayefiti vizuri.Polis kwa hili LA lissu walipaswa kutumia diplomasia zaidi na sio nguvu.wanapaswa kujadiliana na viongozi Wa chadema na kujadiliana wapi mh lissu spite huku akiwa na wafuasi wao.polis wanapaswa kutoa ulinzi ili shughuli ipite salama
Vp ule ulimi wa jiwe/kichaa? Au wake umejaa hekima na busara ?Mkuu huyo roporopo asiye na hekima katika kinywa chake kamweee kamwee nasema kamweeeee hawezi kuoongoza Taifa hili.
Anafaa kuwa mtoa motisha wa viongozi mazwazwa.
ULIMI WAKE HAUNA HARUFU NZURI.
Vp ule ulimi wa jiwe/kichaa? Au wake umejaa hekima na busara ?
hajutalia kabisa man, are you smoking weed!? sorry kiana, maana sio kila post ujibu huo ni ushamba Wa Facebook!