KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Nimesikia kwenye habari NFRA wamepewa billions wanunue mahindi ya wakulima
Huko bei zao zipoje?.
Huko bei zao zipoje?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its true, hasa nshu No. 2. Hususan hiz Lab zilizozagaa mitaan,,, Daaah yaan unakuta mtu anapimwa mRdt na unaona kabisa, haf majib unambiwa una Malaria tatu (3mps/200wbc).Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.
1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????
2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.
3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.
4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.
5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....
6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.
Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa
Its soo frustrating.
Mkuu, sijui ni hasira, au kutaka uonekane wewe ni mjuaji kuliko wengine kwa aina ya majibu unayowajibu wachangiaji wengine!Nani wa kujenga? Hiyo ni Kazi ya sekta binafsi..Huyo unaemtaja hapa kajenga viwanda kwenye masoko sio wanakozalisha..
Unadhani sekta ya kilimo ni rahisi kama kuandika andika?
Hao watoto wa watumwa walilima wapi ili kuelewa maswala ya kilimo?Tukiendelea na hiki kilimo cha kufunga mipaka ipo siku nchi itaingia kwenye njaa kubwa sana. Maana mwakani mtu kama wewe hutalima, wezee tu ndiyo watabaki kulima.
Inabidi upelekwe mswada Bungeni ambao itakuwa ni marufuku serikali kumzuia mkulima kuuza mazao yake atakako. Ukienda South Sudan, Congo au Kenya huwezi kuta gunia 30 elfu.
Kiufupi nchi yetu inaendeshwa kwa mazoea, hakuna cha ubunifu wala mipango yenye akili.
Haya ni matatizo madogo sana.Its true, hasa nshu No. 2. Hususan hiz Lab zilizozagaa mitaan,,, Daaah yaan unakuta mtu anapimwa mRdt na unaona kabisa, haf majib unambiwa una Malaria tatu (3mps/200wbc).
Wanawake ndo kupigwa power safe kila kukicha, eeet una UTI sugu,,, duuh yaan wanasahau kuwa wao ndo wanakutengenezea usugu wa dawa kwenye Mwili wako.
Unakuta ki Lab kidogo, unaambiwa tunafanya Culture, Fbp, Uric acid, mara oooh tunaushirika na Hospital kubwa, na ww kwa kuwa hujui unalipa Cash,[emoji23] kumbe maskini ya Mungu Majibu yako yanapikwa,,,,
Yaan ni mwendo wa kuedit taari zako then unapewa majibu.[emoji23] [emoji23]
POLE YETU WA,,, TANZANIA
Simu yng haiwezi kufungua hiyo attachment, nifikishie ujumbe wako kwa namna nyingine.
Hata hicho kifungu cha Bible sijakuelewa, sijui muda Nchu idumupo mala majira.
Na wewe mkuu inakuwaje unalimwa ekari 20 halafu unaishia gunia 200? Maanake ni gunia 10 kwa ekari! Utakuwa ulilima kienyeji!Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.
1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????
Mi nadhani ni 'complicated' zaidi ya hii misemo ya "...wanakuzuia kuuza nje ya nchi..." tunayokimbilia kuitumia kila mara kama ndicho kielelezo cha tatizo ambalo kikiondolewa hali ya mkulima itaneemeka hapo hapo!Watu wapo bize kugawana vyeo,halafu mwisho wa siku wanakuzuia kuuza nje ya nchi kama vile kwenye kulima walikusaidia
Alafu wewe pimbi huwa unakurupuka na kujifanya unajua kila kitu. Endelea kuzani hizo nafasi ni za milele.Wakiandamana ndio watafanya nn labda,Nigeria ,South kote wakiandamana kwani maisha yamebadilika?
Kwa mara ya kwanza nimesoma mchango wa maana toka kwako katika majibu uliyoweka katika mada nzima!Tuanzishe ufugaji wa kisasa,kuwe na idara maalumu za kuratibu ufugaji na utafutaji wa masoko nje ya nchi .
Mkuu 'misasa', tunazunguka tuuu na maneno mengi lakini nadhani sote tunajua tatizo lilipo.Serikali haina ya kukwepa kuhusu hili,unafikiri serikali ikiamua inashindwa?
Kwanini serikali na viongozi wake wanawahimiza vijana kwenda shambani wajiajiri wakati kuwatafutia masoko shida?
Tantrade na sijui taasisi inaitwa MAZAO mchanganyiko zinafanya nini? Serikali ina taasisi nyingi zinazoshughulikia MASOKO lakini wanakula mishahara tu na bi mkubwa anawaangalia
Serikali ina mkono mrefu na ngumu kukwepa hili mkuu.
At the end of the day unamuuzia NANI?Achana na mahindi lima horticulture in small scale
Yameshanikuta.Mkuu haka kauzi ni kazuri sana.
Kuhusu hili la afya asee baada ya muda tutaona hasahasa kwenye phamacy na nursing.
Anamaanisha kwamba hela moja inatoa gunia 10 sio au nakosea???? Wakulima hebu mje tujadili hili na ametumia mbegu gani aisee?Aisee gunia zote hizo lazima umetumia gharama kubwa,
Jamaa mmoja aliniambia hao madaktari wa wanyama na hizo maduka za dawa Kuna uhuni huwa inafanyika, let me explain;Yameshanikuta.
Mimi mfugaji wa kuku. Kila nikipeleka kuku mgonjwa unaambiwa dawa yake hii hapa. Unawapa kuku ndio wanazidi kufa.
Kuku nimewapa kila aina ya chanjo Kama nielekezavyo na Hawa makanjanja, kuku wamekufa Banda Zima.
Kuna maabara nyingi sana ambazo wanapima damu, mavi, mkojo na kutoa ushauri. Huku ndio ambako maskini wa kitanzania wanakopewa ushauri wa kuondoa uhai wao.
Walah kwenye hizi maabara lazima uonekane na tatizo. Especially. UTI, TYPHOID NA NYEGE
Kifupi tutazamie tozo zikiongezeka zaid! Hakuna nafuuKuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.
1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????
2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.
3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.
4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.
5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....
6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.
Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa
Its soo frustrating.