Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

P
 
Mkuu umeongea hoja ila pia inakosa kujisimamia imekua tegemezi sana hoja yako, tuache bla blaa nyingi upinzani tujirekebisha mambo ya kulialia ni kipuuzi sana , tunajitia huruma nyingi kwa CCM ili iweje, CCM inahitaji upinzani mahiri sio hii ya formality tuliozoea, tubadilike kulialia sijui ndiyo mtapata haki, CCM haitaji huruma au sijui hizo justification unazozitoa bali inahitaji mpinzani wa kweli.
 
Mimi CCM sipendi iendelee kutawala LAKINI wapinzani niliwatoa maanani pale walipotangaza kushiriki uchaguzi mkuu wakati mwaka jana waliwalazimisha viongozi wao wa ngazi za chini kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa. Ninavyojua hakuna kilichobadilika tangu uchaguzi wa serikali za mitaa mpaka uchaguzi mkuu. Wametupotezea viongozi wazuri tu mitaani ambao wangeweza kushinda uchaguzi wa mwaka jana.
 
Acha ufala wewe kwanini hamtaki katiba mpya , kwanini hamtaki tume huru ya uchaguzi,usijitoe ufahamu
 
Katiba ,kAtiba kAtiba. Tunarudi nyuma .tujiandae vikwazo vinakuja
 
Nataka kujidhulu mwenyewe sitaki kuongozwa na wezi majambazi bora tu nitoweke kuliko kuendelea kuzulumiwa na chama flani soon Nita jikataa
 
Hata CCM wakiwa 100% wapinzani ndani yake wenye uzalendo na sio kusema kila kitu ndio watapatikana na 2025 hakutakua na zile sababu za wapinzani wamekwamisha
 
CHADEMA imekufa rasmi..
Mipango ya Mungu hatuijui
 
Wameponzwa na kauli ya kuunga mkono juhudi..wananchi wameona hakuna mpinzani wa kweli Bora wachague ccm tu,.Mana wakipewa upinzani wanarudi Tena ccm
 
Amina.
===
Pole sana, Mkuu. Ninashukuru sana kwa kuwa muwazi na kutoa maelezo yako kinagaubaga bila unafiki. Mkuu umekuwa mkweli na hili jambo ndiyo huwa nalipigania kadiri ninavyo weza yaani watu tusiwe wanafiki. Binafsi nimefaidika sana na ushiriki wako kwa pamoja hapa jukwaani.

Ninasikitika kama binadamu yeyote kwa kuwa sasa umenisusia hutaki kuchangamana nami hapa jukwaani. Hili naliona ni kama changamoto kwangu ya kunifanya niwe na bidii ya kijifunza mengi namna ya kushirikiana na wanajamii. Ukweli Mkuu, umenipa afya ya ubongo.

Nina imani umefanya hivi kwa wema ili shweitwan asije akavuruga uwepo wetu hapa duniani kwa kipindi hiki. Kwa hili Nakushukuru sana. Mkuu, Mwenyezi Mungu atupe heri na inshallah atatupa wakati mwingine wa kurudi meza moja. Amina.
 
Yaani nakosa amani ya nafsi kwa ajili ya kidude kimoja ?
Vilevile nataka kufanya jambo moja ila nafsi inasita. Kipato changu ni cha kawaida ila kuna watu wa CCM huwa wanakuja kunililia shida zao kuhitaji fedha. Nataka kuwapiga pin wakija kuanzia sasa ila nafsi inaniambia nisifanye hivyo.
 
Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Na Mungu alivyokuwa mwema kwa dhulma hii,hii mitano anaweza asiimalize!

Simuombei mabaya ila kujifanya uu mkubwa kuliko wote kwa 100% ni chukizo sana fikiria kwanza ni wangapi wanatirirka damu za uchungu mioyoni mwao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…