Nchi imeanza kurudi nyuma kwa kasi ya ajabu, bila rushwa TANESCO hawafungi umeme

Nchi imeanza kurudi nyuma kwa kasi ya ajabu, bila rushwa TANESCO hawafungi umeme

Nimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.

Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.

Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.

Waziri kimya
Wananchi wanalia
Ndugu mteja,
Pole sana kwa usumbufu unaopata,
Tunaomba kufuatilia zaidi
Pia tutashukuru kupata taarifa zako pamoja na mawasiliano
 
Nimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.

Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.

Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.

Waziri kimya
Wananchi wanalia
Walivyokuomba rushwa ulichukua hatua gani? Huko kwenu hakuna viongozi? Peleka ujinga wako huko.
 
Nimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.

Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.

Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.

Waziri kimya
Wananchi wanalia
Tulieni hela irudishwe mitaani kama walivyodai bavicha
 
Ukiacha Polisi , TANESCO ndio sehemu rushwa ilipo haswa Yani ni nyumbani, katika top 3 za rushwa tanesco wapo na wametapakaa kila Kona nchini, Mimi juzi nimetoka rushwa ya 150,000 Ili nifungiwe umeme niliolipa 27,000/=
Habari ndugu,
Tutaomba kupata ushirikiano wako kwa ajili ya kuchukua hatua zaidi.
Tunaomba kupata taarifa zaidi Inbox
 
Nchi inatakiwa kuongozwa na mifumo imara isio tegemea utashi wa mtu mmoja. Mazuri aliyo yafanya mwenda zake tanaweza kua historia kwa kua hayakuingizwa kwenye mifumo inayo ongoza nchi
Mifumo imara inategemea watendaji wazalendo ,ni kazi bure kama mifumo inatumikiwa na wahuni ,mifumo haijiendeshi
 
Nimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.

Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.

Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.

Waziri kimya
Wananchi wanalia
Ndiyo tunashangaa wengine. Badala ya kudai magufuli mpya wanadai katiba mya 🤔🤔🤔
 
Kupata Control NUMBER Hapa Morogoro Ni Jambo Gumu
Utakwenda Ofisini Tanesco Jibu Nenda Tutakutumia Kwenye Simu

Haa😂😁😃😄😍
Nawavutia Muda Tu Niende Tena Mara Ya 5 Hapo Sasa Nitakuwa Na Mheshimiwa Waziri Wa Nishati
Mambo Mengi Shida
 
Of course ni vitu kama hivi ndio vinanifanya daima nimuone jpm katika hawamu yake na katika nyakati alikuwa such a greater leader. Kimsingi uongozi si kupendwa, uongozi ni kuona namna gani mambo yanaweza kuwa yanafanikiwa na jpm aliweza. Ndio maana daily alisena ni bora ukosee ktk maamuzi kuliko kutokufanya maamuzi kabisa. Kwa sahivi bibi yenu amekwama kwa mtego wa demokrasia na watamkoroga hadi wamle ugari
 
Nimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.

Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.

Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.

Waziri kimya
Wananchi wanalia
Kama umezoea rushwa ni ngumu kuiepuka!!..30 elfu in 7 days nimeonganishiwa umeme makumbusho Dar es salaam! !!...Tuache uongo
 
Back
Top Bottom