Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kalemani sijui amekwama wapi hakuna la maana analofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikudanganya kuwa katika Awamu ya Tano ya Hayati Rais Dkt. Magufuli hiyo Rushwa ilikuwa imeshaenda Kaburini kwa Tanzania na Watanzania?
Hawawezi kukuelewa. Ila tutamkumbuka.Katika mazingira kama haya ndipo tunamkumbuka jemedari wetu JPM
Mifumo hiyo ni kama ipi mkuu?..Nchi inatakiwa kuongozwa na mifumo imara isio tegemea utashi wa mtu mmoja. Mazuri aliyo yafanya mwenda zake tanaweza kua historia kwa kua hayakuingizwa kwenye mifumo inayo ongoza nchi
Nashukuru nawe pia kwa Kulitambua hilo.Rushwa kwenye ofisi za umma haijawai kuisha toka enzi na enzi ,hata kipindi cha jiwe rushwa ilikuwa inatembea ,majambazi kina sabaya walikuwa wanafanya ujambazi wazi wazi....wasituchoshe na legasi hewa zao.
yule waziri wa mwanga c msukuma auNimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.
Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.
Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.
Waziri kimya
Wananchi wanalia