Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahWamemuona mama ana uelewa mdogo wa mambo ya Tanganyika kila kitu anadhani.
Mfuatilie zaidi kwani kuna msichokijua? Rushwa ya kufungiwa umeme nyie, wizi wa umeme nyie hao hao ndo mnashirikiNdugu mteja,
Pole sana kwa usumbufu unaopata,
Tunaomba kufuatilia zaidi
Pia tutashukuru kupata taarifa zako pamoja na mawasiliano
Duh, nyie TANESCO nishai kweli kweli.Tulijitambulisha kuwazuga tu sahizi hii ID ni pambo tu hatukumbuki hata password yake 😂
mkuu inaonekana una ugomvi na magabacholiMazingira ya Richmond na IPTL 2 yanaandaliwa hapo! Yule Gabacholi si mliona mumuwachilie wazi kasharudi mzigoni
Acheni kumuhujumu Rais, hadi Tanesco pale Mbezi Raffia ni wapuuzi kabisa, mimi nimeomba umeme muda mrefu pia hadi leo kimiyaNdugu mteja,
Pole sana kwa usumbufu unaopata,
Tunaomba kufuatilia zaidi
Pia tutashukuru kupata taarifa zako pamoja na mawasiliano
Mgeni was umeme mkuuNimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.
Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.
Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.
Waziri kimya
Wananchi wanalia
Wewe mchaga tulia dawa ikuingieUkisoma nyuzi za kipuuzi kama hizi unaweza fikiri kuwa Tanzania iliwahi kwenda mbele!
Mama Anaupiga Mwingi Sana Mpaka Unatoka Nje 😂Mama anaupiga mwingi kama TK Master ila matokeo Sasa[emoji23]
Ndiyo Ukweli WenyeweAcheni kumuhujumu Rais, hadi Tanesco pale Mbezi Raffia ni wapuuzi kabisa, mimi nimeomba umeme muda mrefu pia hadi leo kimiya
Swadakta yetu ni kusema tutamkumbukaKatika mazingira kama haya ndipo tunamkumbuka jemedari wetu JPM
Hiyo mifumo itaongozwa na panya ama hawa hawa binadamu!!?Nchi inatakiwa kuongozwa na mifumo imara isio tegemea utashi wa mtu mmoja. Mazuri aliyo yafanya mwenda zake tanaweza kua historia kwa kua hayakuingizwa kwenye mifumo inayo ongoza nchi
Vile mwendakuzimu amefurahia hii comment yako ya ukabila kutokea kuzimu😁😁😁Wewe mchaga tulia dawa ikuingie
Hizi ni theory za vitabuni na kidogo nchi za ulaya.(maana hata raisi Trump alikuwa na uongozi ambao ni tofauti kabisa na raisi wa sasa)Nchi inatakiwa kuongozwa na mifumo imara isio tegemea utashi wa mtu mmoja. Mazuri aliyo yafanya mwenda zake tanaweza kua historia kwa kua hayakuingizwa kwenye mifumo inayo ongoza nchi
Ukweli rushwa ipo juu snNimekuwa nikiripoti Mara nyingi jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sasa tumeanza kurudi nyuma , Huduma zimekuwa mbovu ukiende kwenye ofisi kupata huduma customer care mbaya wahudumu wanakujibu ovyo.
Mfano Mzuri ni shirika letu la Tanesco Maeneo Mengi watu wanalalamika, likiwemo eneo letu, Tumekuwa tukifatilia kufungiwa umeme pale nyakato Tanesco Maeneo yetu ya kisesa lakini cha kushangaza sasa miezi mitatu bila kuona hata surveyor, Juzi kuna jamaa mmoja kafungiwa umeme Mtaa Mzima.
Kufatilia kwa karibu ilibidi jamaa atoe hela kampa surveyor umeme ukafungwa na kuwaka, Form zimewekwa kabatini ukitoa mtonyo umeme unawaka fasta, Kwa hali hii nimeamua kuwa mpolekwa kuwa nchi imerudi kule tulipokuwa basi hakuna namna nasubili na Mimi nijichange nimpe surveyor umeme uwake, nimefatilia umeme mpaka kazi zangu haziendi kila siku nipo nyakato Majibu gari zipo mbili na surveyor wawili.
Waziri kimya
Wananchi wanalia