Nchi imejaa ushabiki wa ajabu, sijui kama ipo siku tutasimama kama Taifa

Nchi imejaa ushabiki wa ajabu, sijui kama ipo siku tutasimama kama Taifa

Ni ushamba tu ila kuna muda utaondoka,Ata uko ulaya miaka fulani ilikua kama hivi ila kwasasa walisha sahau.
 
Huyu waziri hafai hata kuongoza mbuzi, sijui kwa nn akawa waziri wa michezo hapa bongo
Kipi cha kushangaza hapo? Ili upate cheo nchi hii lazima ulambe miguu ya watu.
Waziri ni mwanasheria by profession lakini anachoongea na profession yake haviendani.

Hilo chama limelaaniwa kila anayeingia huko akili zinamruka.
Hakuna hata mmoja aliye salama we chunguza zaidi.
 
Salaam,

Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbalo kutoa maelekezo kwa mashabiki wa sokq nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajiri ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, mhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masirahi ya nchi.

Kilichotokea ametukanwa matusi yoote, na amedharirishwa utafikili hilo amelifanya kwa masirahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?

Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.
Kwa hiyo mpata utishie watu kukamatwa na Polisi ukionekana na jezi ya timu pinzani ndo uzalendo huo? Mmekosa utetezi mnawayawaya tu. Matamahi ya kibabe kwenye uhamasishaji yanasaidia nini?
 
Kwanza jifunze kuandika unatukera kima
wewe aaaaaagh

Pili, huu uzalendo unaouzungumzia unadhani huwa unalazimishwa? Ni matendo ya serekali ndio hujenga uzalendo wa wananchi. Kwa akili yako na hao ccm unahisi unaweza shika fimbo kuwafanya watu wawe wazalendo?
Wamezoea kusukuma Watanzania kama Ng'ombe safari hii wamekutana na rungu la CAF, na bado FIFA.
 
Salaam,

Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbalo kutoa maelekezo kwa mashabiki wa sokq nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajiri ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, mhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masirahi ya nchi.

Kilichotokea ametukanwa matusi yoote, na amedharirishwa utafikili hilo amelifanya kwa masirahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?

Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.
Akili ndugu yangu. Watanzania wengi hawana akili.
 
Ni ushamba tu ila kuna muda utaondoka,Ata uko ulaya miaka fulani ilikua kama hivi ila kwasasa walisha sahau.
Huko ulaya shabiki wa Man U anashabikia Man city ikicheza na Bayern? Au ulaya gani unaongelea wewe? Huko ndo timu mwenyeji inampangia mgeni tiketi 5000 Kati ya 68000 au na Hilo hujui?
 
w
Salaam,

Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbalo kutoa maelekezo kwa mashabiki wa sokq nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajiri ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, mhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masirahi ya nchi.

Kilichotokea ametukanwa matusi yoote, na amedharirishwa utafikili hilo amelifanya kwa masirahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?

Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.
Wewe mwenyewe si chawa ndio maana hujaona makosa yake
-Mpira unachezwa wanjani au wanacheza mashabiki
-Kwanini waziri anaingilia uhuru wa watu kwani yeye ni mkoloni mweusi
-Yani mimi simba niwashabikie yanga watu waliotufunga goli tano kwa nunge
- Apeleke siasa zake bungeni kule akatetee serikali yanga haiwakilishi nchi na haitakuja kuwakilisha nchi wakifungwa wamefungwa yanga sisi tutawazomea tena naenda kununua uzi wa mamelodi
-Waziri baada ya kuhangaika kukuza vipaji umiseta kule na kutafuta wawekezaji wakuze michezo yeye anatafuta kiki kwenye timu iloanzishwa kabla hata yeye kuzaliwa aache sifa za ajabu
-Huyu waziri anaweza kuwa chanzo cha fujo tamko lake kuna vichaa wanaweza kuona ni amri watapigana watu kwa mkapa
-Hii kauli ya waziri inaweza kuathiri mapato ya uwanja unamlazimisha shabiki ashabikie timu unayoitaka wewe kaangalie mpira peke ako basi
-Mwisho yanga sio timu ya taifa muache shobo
 
Achilia mbali Huyo waziri CCM wanajulikana, Mijitu mingi Inayoshabikia SANA mitimu ya kibongo, akili haona, imejaa chuki na isiyo na hoja.

Bora hata wakiwa kwenye hii ligi ya mabingwa, lakini ligi kuuu?
 
Salaam,

Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbalo kutoa maelekezo kwa mashabiki wa sokq nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajiri ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, mhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masirahi ya nchi.

Kilichotokea ametukanwa matusi yoote, na amedharirishwa utafikili hilo amelifanya kwa masirahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?

Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.
Sema wewe ni mshabiki wa timu gani?
 
Salaam,

Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbalo kutoa maelekezo kwa mashabiki wa sokq nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajiri ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, mhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masirahi ya nchi.

Kilichotokea ametukanwa matusi yoote, na amedharirishwa utafikili hilo amelifanya kwa masirahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?

Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.
Hayati RAIS Mwinyi alihudhuria mechi ya Simba na Stella Abijan , kabla ya hapo alisisitiza sana uzaelendo lakini wakati Stella wanapata goli la pili mashabiki wa YANGA walianza kuimba na kuzunguka uwanja mzima wakisema Uzalendo umewashinda.
Yanga ama mashabiki wa Yanga wamekuwa vinara sana wa kukodisha Coasta na kwenda kupokea timu pinzani zinapocheza na Simba.
Hersi siku ya mechi ya Simba na KAIZER chief alivaa jezi ya Kaizer Chief.
Juzi Jwaneng walipokuja kucheza walifikia Avic Town mahali ambapo ni kambi ya Yanga.

Waziri anataka Uzalendo gani? Wewe mleta mada una timu unaishaibikia ambayo ni ya Uiengereza au Hispania lini waziri amekuzuia? Wenzetu Ulaya kila shabiki wa mpira ni shabiki wa timu inayotokea eneo analoishi, je wewe unashabikia timu ya mkoani kwenu?

Uzalendo ni timu ya Taifa si Yanga au Simba, kama mnataka uzalendo anzani sasa kuweka mikakati kila shabiki aingie uwanjani siku timu yake inacheza tu. Lakini utakuta kila Simba ikicheza mashabiki wa YANGA wamejaa uwanjani, kufanya nini? Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Huyu waziri alipomfedhehesha karibu wa netball Hadi akajiuzulu alifikiri anaweza kuwapanda vichwani washabiki wa soka.
Uzalendo ni zaidi ya kusema Mimi mzalendo Bali matendo yako. Ndio yatakuonyesha wewe mzalendo
I'm
 
Hayati RAIS Mwinyi alihudhuria mechi ya Simba na Stella Abijan , kabla ya hapo alisisitiza sana uzaelendo lakini wakati Stella wanapata goli la pili mashabiki wa YANGA walianza kuimba na kuzunguka uwanja mzima wakisema Uzalendo umewashinda.
Yanga ama mashabiki wa Yanga wamekuwa vinara sana wa kukodisha Coasta na kwenda kupokea timu pinzani zinapocheza na Simba.
Hersi siku ya mechi ya Simba na KAIZER chief alivaa jezi ya Kaizer Chief.
Juzi Jwaneng walipokuja kucheza walifikia Avic Town mahali ambapo ni kambi ya Yanga.

Waziri anataka Uzalendo gani? Wewe mleta mada una timu unaishaibikia ambayo ni ya Uiengereza au Hispania lini waziri amekuzuia? Wenzetu Ulaya kila shabiki wa mpira ni shabiki wa timu inayotokea eneo analoishi, je wewe unashabikia timu ya mkoani kwenu?

Uzalendo ni timu ya Taifa si Yanga au Simba, kama mnataka uzalendo anzani sasa kuweka mikakati kila shabiki aingie uwanjani siku timu yake inacheza tu. Lakini utakuta kila Simba ikicheza mashabiki wa YANGA wamejaa uwanjani, kufanya nini? Kila mtu ashinde mechi zake.
Hao wapuuzi si wa kuwasikiliza muda wote walikuwa wapi kuhimiza uzalendo.
Kila mtu apambane na Hali yake.
 
Back
Top Bottom