PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hivi mfalme mpaka anakufa alishawahi kukana cheo cha kuitwa MUNGU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hamjafungua bado?Hiyo ni rula ya cello 🤣🤣🤣
Bora hawa, walikuwa na Nia ya kulinda rasilalimali. Sasa hivi kuna kundi la panya halina hata hurumaSitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.
Kamwe tusirudie tena.
View attachment 2445930
Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Sitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.
Kamwe tusirudie tena.
View attachment 2445930
Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Usikute kwake kala kisamvu na mlenda halafu hapo anapima samaki aliyepikwa. Lazima udenda umtokempimaji udenda unamshuka
Ilikuwa ni full ubabe halafu akili ndogo kama uduviIla Jiwe aliwajaza watu ujinga Sana. Kila mtu alikua anafanya kazi ili kumfurahisha [emoji3][emoji3]
Kutoka kula kuku kwa mrija hadi kula samaki kwa rulaSitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.
Kamwe tusirudie tena.
View attachment 2445930
Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Mkuu wakati wa utawala wa jiwe Kuna Mambo Mengi yalifanywa kinyume kabisa na matakwa ya sheria.Ingekuwa nje ya Sheria wangeshtakiwa kwa kitendo hicho.
Aibu nyingine hii hapaSitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.
Kamwe tusirudie tena.
View attachment 2445930
Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Kwa hiyo kuzuia watu wasivue samaki wachanga ni ushamba? Mbona hili zoezi lilikuwapo wakati wa JK. Nyavu zilikuwa zinachomwa maeneo mengi tu kuzuia uvuvi haramu. Ni vyema zaidi watunga sheria wakaona na kuelewa ukubwa wa samaki wanaokatazwa kuvuluwa. Hili lilikuwa zoezi nzuri sana na sioUSHAMBANchi ilikuwa mikononi mwa washamba
Sitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.
Kamwe tusirudie tena.
View attachment 2445930
Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Aibu nyingine hii hapa
View attachment 2446278
Na hii hapa
View attachment 2446281
Hapo kuna Waziri wa Afya na Naibu wake pamoja na Maofisa wa juu wa Wizara ya Afya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣