Nchi imepita nyakati mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa Duniani. Tazama ujinga huu

Nchi imepita nyakati mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa Duniani. Tazama ujinga huu

Sitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.

Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.

Kamwe tusirudie tena.

View attachment 2445930

Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Bora hawa, walikuwa na Nia ya kulinda rasilalimali. Sasa hivi kuna kundi la panya halina hata huruma
 
Sitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.

Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.

Kamwe tusirudie tena.

View attachment 2445930

Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.

Ila Jiwe aliwajaza watu ujinga Sana. Kila mtu alikua anafanya kazi ili kumfurahisha [emoji3][emoji3]
 
Sitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.

Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.

Kamwe tusirudie tena.

View attachment 2445930

Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Kutoka kula kuku kwa mrija hadi kula samaki kwa rula
 
Hizo Sheria wanazotunga wabunge kuhusu urefu wa samaki ndo zimepelekea hao watu waende hapo kupima samaki kwa rula.

Ingekuwa nje ya Sheria wangeshtakiwa kwa kitendo hicho.

Wabunge waache kula matapishi yao wenyewe
 
Ingekuwa nje ya Sheria wangeshtakiwa kwa kitendo hicho.
Mkuu wakati wa utawala wa jiwe Kuna Mambo Mengi yalifanywa kinyume kabisa na matakwa ya sheria.

Mifano:-
1. Sheria ipi inaruhusu wenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni waporwe fedha zao?
2. Sheria ipi inaruhusu wanaoikosoa serikali ama mhe rais wauawe, watekwe, ama wapigwe risasi?
3. Sheria ipi inaruhusu mtumishi wa umma akikisea atumbuliwe kwenye mikutano ya hadhara bila kufuata taratibu za kiutumishi?
 
Sitasahau kama ilivyo kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii.

Kulifanyika mambo ya ajabu sana yaliyotudhalilisha Watanzania na yaliyolidhalilisha taifa.

Kamwe tusirudie tena.

View attachment 2445930

Pichani: Maafisa vipenyo wakiwa kwenye moja ya migahawa ya Bunge wakipima ukubwa wa samaki aliyepikwa.
Aibu nyingine hii hapa

_116758675_28da0ee2-e28a-4e88-9b71-0d50f78322c3.jpg


Na hii hapa

EtLRN93VoAAOd8M.jpg


Hapo kuna Waziri wa Afya na Naibu wake pamoja na Maofisa wa juu wa Wizara ya Afya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nchi ilikuwa mikononi mwa washamba
Kwa hiyo kuzuia watu wasivue samaki wachanga ni ushamba? Mbona hili zoezi lilikuwapo wakati wa JK. Nyavu zilikuwa zinachomwa maeneo mengi tu kuzuia uvuvi haramu. Ni vyema zaidi watunga sheria wakaona na kuelewa ukubwa wa samaki wanaokatazwa kuvuluwa. Hili lilikuwa zoezi nzuri sana na sioUSHAMBA
 
Back
Top Bottom