Nchi ina wazee wawili tu kwa sasa?

Nchi ina wazee wawili tu kwa sasa?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Fredrick T. Sumaye, Mtanzania wa kwanza kushika nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa awamu mbili mfululizo?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Walifanya hivyo kipindi cha magu au ushungi unawatoa roho!?..maana hicho kizazi kimeshiba udini balaa
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
fedrick sumaye pia
 
images.jpg
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Umemsahay Mzee Father Kitima na Dr Bagonza PhD
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Mkuu andiko zuri sana , mzee wetu Warioba sio alichokiema hakina baraka za wazee tajwa hapo juu , hili tamko la wazee ,kuwa na nafasi ila usichezee taifa. Huwezi ,kuna mifumo imejichimbia vilivyo so huwezi toka pale wapajua na kuleta ujua ,haipo iyo ,nchi sio ngum hii ila wanafanya kua ngum ,
Mzee Warioba nitafaya mfungo wa siku tatu komwombe mema mbwai mbwai
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Kwani nani alikuambia kuwa mpumbavu akizeeka anakuwa na akili basi jua tu wazee wengi tu hawana akili hivyo awawezi kushauri chochote
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Hata hyo butiku ni chawa pro max,there is only one and is warioba.
 
Hahaha Umemsahau Tyson, akiamka ukae mbali.

Wapo wengi, kuna Chid benz, Juma Nature, Ali choki, kuna akina Lwiza Mbutu, iko Siku Diamond naye ataitwa mzee, mtamtafuta.
 
Mkuu andiko zuri sana , mzee wetu Warioba sio alichokiema hakina baraka za wazee tajwa hapo juu , hili tamko la wazee ,kuwa na nafasi ila usichezee taifa. Huwezi ,kuna mifumo imejichimbia vilivyo so huwezi toka pale wapajua na kuleta ujua ,haipo iyo ,nchi sio ngum hii ila wanafanya kua ngum ,
Mzee Warioba nitafaya mfungo wa siku tatu komwombe mema mbwai mbwai
Wazee wema waombewe
 
Walifanya hivyo kipindi cha magu au ushungi unawatoa roho!?..maana hicho kizazi kimeshiba udini balaa
Hakuna wakati Jaji Warioba alishawahi kuwa 'bubu"!

Hakuna wakati mzee Butiku alikubali "kunyamazishwa"!

Hata wakati wa JPM viongozi wa dini waliendelea kupaza "sauti" zao pale walipoona kuna uhitaji huo mpaka wengine wakanusurika kugeuzwa "wahamiaji" haramu!
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Wazee wengine wanaogopa Watoto wao wasikose teuzi
 
Back
Top Bottom