Nchi ina wazee wawili tu kwa sasa?

Nchi ina wazee wawili tu kwa sasa?

Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Huyu Mzee Warioba alishauri serikali ya awamu ya tano akaishia kutukanwa kwa kuambiwa anawashwawashwa, naona wazee wanaamua kukaa kimya wakihofia mrejesho wa amiri jeshi mkuu.

Wametumikia nchi hii kwa kutoka jasho jingi wakiwa vijana wasingependa uzeeni waje kudhalilishwa na viongozi ambao kwanza ni wadogo kwao kiumri na pili wanapofushwa na hayo madaraka yanayodumu chini ya vipindi viwili vya miaka mitano mitano.
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Yuko wapi Wasira 🙂
 
Tayari Comment hii imeshawagawa watu 😳
😂😀
Nchi hii watu hawawezi kuwa kitu kimoja katika madai yao kwa sababu ya comments kama hizi !
😅😂😀😱
Nimesha vuruga watu ila ndio ukweli wenyewe , mara zote walizo shika waislamu hii nchi imeenda kombo sana wakristo ndio huwa wanakazi ya kuirejesha tena sawa na kusahihisha makosa.
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Hapo ni mmoja tu mzee Warioba Butiku ni chawa kama hao wengine tu.
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Hao wote wanatoka katika Mkoa wa Mara sehemu ambako watu huwa hawataki utani kwenye mambo ya msingi.
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Naunga mkono hoja
P
 
Nadhani kuna mzee mmoja alikuwa mnyoofu ila sio muongeaji publicly, yuko firm etc, alipigwa puu paa enzi hizo za huyo mnayesema ana demokrasia kisa anacheka cheka kisha anatuma watu wasiohusika kukitibua....sijui ilikuaje mpaka mzee Nghuza akapata msahama baada yake; kwangu wazee wanaopaswa kuliponya taifa kwa sasa;
  • Warioba
  • Butiku
  • Salim
  • Agustino
  • Mwamunyange
  • Maria
  • Mongela(kama yupo)
  • Mangula
  • Pengo

Vijana wenye muelekeo;
  • Majaliwa wa Magu
  • Makonda wa Magufuli
  • Mpina wa kuanzia kwa Magu na wa sasa.
  • Ummy wa Magu
  • Biteko wa Magu

Halafu kuna hawa;
  • Jafo wa Magufuli
  • Mbarawa wa Magufuli
  • Hussein M wa Magufuli

Kiufupi, Msoga clan haina mtu; Kafulila na the like wamechafua upinzani, Zito ni lifisadi la kupindukia, tujaribu tusiowajua.
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
ulowataja mwanzo ni wanafiki,
katika uzee wao wanaweza kuleta mabadiliko gani kama sio wanataka kufanya wananchi misukule tu..

hajafanya chochote cha maana akiwa kijana mwenye afya na nguvu ete katika uzee ndiyo anataka mabadiliko?
huu si ushirikiana ndrugu zango?🐒
 
Kutokana na umri wao, uzoefu wao, na majukumu ya kitaifa waliyowahi kuwa nayo nchini, baadhi ya wastaafu wa kisiasa wana hadhi ya kutambulika kama wazee wa Taifa! Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, ni wazee wawili tu: Jaji Joseph Warioba na mzee Joseph Butiku ndiyo wamekuwa wakisikika wakishauri na kukemea pale wanapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo!

Wazee wengine wameenda wapi?

Yuko wapi J. M. Kikwete, Rais mstaafu ambaye kipindi chake demokrasia ilishamiri kuzidi vipindi vya watangulizi wake na hata vya waliomfuatia?

Yuko wapi Amani Abeid Karume, ambaye pamoja na "kukulia" ikulu, hakushikwa na ugonjwa wa uchu wa madaraka?

Yuko wapi Dr. Salim Ahmed Salim, mbobevu wa siasa za kitaifa na kimatiafa?

Yuko wapi Dr. John Samwel Malecela, mwanasiasa msomi nchini?

Yuko wapi David C. Msuya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?

Yuko wapi Pius Msekwa, msomi aliyehudumu kwenye chama na Serikali kwa miaka mingi?

Yuko wapi Dr. Mohammed Gharib Bilal, Mwanafizikia makini aliyewahi kuwa makamu wa Rais wa JMT?

Yuko wapi Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu asiyekuwa na makando kando ya rushwa?

Wako wapi wazee wengine?

Wameamua kuwaachia jukumu la kushauri na kuonya mzee Butiku na Warioba, pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kama Dr. Shoo, Dr. Benson Bagonza, Shehe Ponda, na Dr. Charles Kitima?

Wanaridhishwa na yanayoendelea nchini?

Pongezi kwa mzee Butiku na Jaji Warioba kwa kutambua nafasi zao na kuzitumia kiufasaha kwa maslahi ya Taifa. Wameonesha kwa vitendo kuwa utaifa ni wa muhimu zaidi kuliko vyama vyao vya kisiasa!
Usisahau si kila mtu mwenye courage ya kukosoa au ya kukemea !
Mtu mwenye Uwezo wa kukosoa na kukemea huwa ni mtu anayejiamini sana na huwa anafahamu ana majoriti ya sapoti kutoka kwa Wananchi !
 
W
Nadhani kuna mzee mmoja alikuwa mnyoofu ila sio muongeaji publicly, yuko firm etc, alipigwa puu paa enzi hizo za huyo mnayesema ana demokrasia kisa anacheka cheka kisha anatuma watu wasiohusika kukitibua....sijui ilikuaje mpaka mzee Nghuza akapata msahama baada yake; kwangu wazee wanaopaswa kuliponya taifa kwa sasa;
  • Warioba
  • Butiku
  • Salim
  • Agustino
  • Mwamunyange
  • Maria
  • Mongela(kama yupo)
  • Mangula
  • Pengo

Vijana wenye muelekeo;
  • Majaliwa wa Magu
  • Makonda wa Magufuli
  • Mpina wa kuanzia kwa Magu na wa sasa.
  • Ummy wa Magu
  • Biteko wa Magu

Halafu kuna hawa;
  • Jafo wa Magufuli
  • Mbarawa wa Magufuli
  • Hussein M wa Magufuli

Kiufupi, Msoga clan haina mtu; Kafulila na the like wamechafua upinzani, Zito ni lifisadi la kupindukia, tujaribu tusiowajua.
apo pia Neutral hawana majina makubwa wala hawajawahi kuwa Serikalini wala Chamani Bali wana uwezo mkubwa wa kushawishi na kutolea majibu maswali magumu !
Lakini kwanza wahakikishiwe Usalama wao !! 😳🙄🙌👍
 
Hakuna wakati Jaji Warioba alishawahi kuwa 'bubu"!

Hakuna wakati mzee Butiku alikubali "kunyamazishwa"!

Hata wakati wa JPM viongozi wa dini waliendelea kupaza "sauti" zao pale walipoona kuna uhitaji huo mpaka wengine wakanusurika kugeuzwa "wahamiaji" haramu!
Hebu nipe ushahidi wa hilo kwa butiku na warioba enzi za magu
 
Back
Top Bottom