Nchi ina wazee wawili tu kwa sasa?

Nchi ina wazee wawili tu kwa sasa?

Hivi hakuna wakubwa kwenu?

Ulilelewa na watu wazima au ulijilea mwenyewe?

Wewe ni mtu wa kumtukana mzee Warioba?

Kama huoni mchango wake katika taifa hili, basi mheshimu kwa sababu ya umri wake!

Epuka laana ya kutukana wazee wastaarabu kama Warioba!
ni Mzee ambae amewahi kua kiongozi wa Kitaifa nchi hii lakini hakuwahi kufanya lolote la maana,
hata hivyo anaheshimika sana, na nadhan bado tutaendelea kumuheshimu sana,


Jambo la maana zaid kama taifa,
kwa heshima yake tunafaa kumpuuza kwa kumbwelambwela kwake kwa niaba ya upinzani..
Hili tulifanye kwa pamoja na kwa bidii sana ili iwe fundisho na aache unafiki..

Na zaidi sana,
ashauriwe tu kwamba asikimbie wajibu wake mkubwa wa kulea na kucheza na wajukuu nyumbani,

aache gubu na mawenge dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
 
ni Mzee ambae amewahi kua kiongozi wa Kitaifa nchi hii lakini hakuwahi kufanya lolote la maana,
hata hivyo anaheshimika sana, na nadhan bado tutaendelea kumuheshimu sana,


Jambo la maana zaid kama taifa,
kwa heshima yake tunafaa kumpuuza kwa kumbwelambwela kwake kwa niaba ya upinzani..
Hili tulifanye kwa pamoja na kwa bidii sana ili iwe fundisho na aache unafiki..

Na zaidi sana,
ashauriwe tu kwamba asikimbie wajibu wake mkubwa wa kulea na kucheza na wajukuu nyumbani,

aache gubu na mawenge dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
Maelezo yako yananifanya nihisi kuwa:
1. Huenda una umri mdogo sana hivyo humfahamu Mzee Warioba zaidi ya ulivyohadithiwa na wenzako mkiwa mnachunga mbuzi, ama
2. Una Elimu ndogo sana iliyopelekea uelewa wako pia uwe finyu,
3. Na kama una hizo sifa hapo juu hustahili kulaumiwa.
 
Maelezo yako yananifanya nihisi kuwa:
1. Huenda una umri mdogo sana hivyo humfahamu Mzee Warioba zaidi ya ulivyohadithiwa na wenzako mkiwa mnachunga mbuzi, ama
2. Una Elimu ndogo sana iliyopelekea uelewa wako pia uwe finyu,
3. Na kama una hizo sifa hapo juu hustahili kulaumiwa.
gentleman,
suala hapa sio umri, kuchunga mbuzi wala elimu,

Jambo la maana zaid ni kumpuuza huyu Mzee mwe mwenye gubu na makasiriko ya uzeeni dhidi ya serikali sikivu ya CCM iliyoko chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan.

kwani amesahau nini huko serikalilini na alikuepo kwa zaid ya miaka 20?

mawenge ni ya nini serikali iko kazini kuwafanyia kazi waTanzania na kuwapelekea wananch maendeleo?

Naendelea kusisitiza,
kwa heshma kubwa huyu Mzee apuuzwa ili asijiskie vibaya 🐒
 
gentleman,
suala hapa sio umri, kuchunga mbuzi wala elimu,

Jambo la maana zaid ni kumpuuza huyu Mzee mwe mwenye gubu na makasiriko ya uzeeni dhidi ya serikali sikivu ya CCM iliyoko chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan.

kwani amesahau nini huko serikalilini na alikuepo kwa zaid ya miaka 20?

mawenge ni ya nini serikali iko kazini kuwafanyia kazi waTanzania na kuwapelekea wananch maendeleo?

Naendelea kusisitiza,
kwa heshma kubwa huyu Mzee apuuzwa ili asijiskie vibaya 🐒
Wajinga, wapumbavu na waliojikinai watampuuza kama ilivyo kawaida yao, lakini wenye akili wameyachukua aliyoyaasa mzee.
 
ni muhimu sana kwakweli akapuuzwa kwasasabu ana mawenge mno 🐒
Tatizo la "kichaa" ni kwamba yeye huona watu wote hawana akili isipokuwa yeye tu!

Hivi kati ya Msomi, Jaji Warioba aliyeongea kwa hoja na wewe nani ana "wenge"?
 
Gentleman,
kwani alisahau kufanya nini akiwa kwenye hizo nafasi serikalini, hata aanze kuwa na mawenge na mbwelambwela mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kama sio wivu uzeeni?

Najivunia kua mtumishi makini wa wananchi, mchapakazi, mtiifu na mnyenyekevu kwa chama, serikali na kwa waTanzania wote.

Na wala siringi, sijivuni wala kujivunga kusema ukweli kwamba Mzee huyo ni useless na anayozungumza ni nonsense 🐒
Wewe huna lolote zaidi ya uchawa.
 
Tatizo la "kichaa" ni kwamba yeye huona watu wote hawana akili isipokuwa yeye tu!

Hivi kati ya Msomi, Jaji Warioba aliyeongea kwa hoja na wewe nani ana "wenge"?
kwanza yule sio jaji kitaaluma, ule ujaji ni a.k.a tu alipewaga mtaani kwake, na pia huyo Mzee mwenye mawenge na gubu, sio msomi kama ambavyo unaojaribu kupotosha wadau.

muhimu hapa kama taifa ni kuepuka kubabaika nae licha ya kwamba chuki na makasiriko yake dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania , kinavuka mipaka 🐒
 
kwanza yule sio jaji kitaaluma, ule ujaji ni a.k.a tu alipewaga mtaani kwake, na pia huyo Mzee mwenye mawenge na gubu, sio msomi kama ambavyo unaojaribu kupotosha wadau.

muhimu hapa kama taifa ni kuepuka kubabaika nae licha ya kwamba chuki na makasiriko yake dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania , kinavuka mipaka 🐒
Aliyekufundisha uongo alisahau kukupa mbinu za kudanganya.

Ni vigumu kuwadanganya watu wenye akili kwa mbinu unazotumia kudanganya.
 
Aliyekufundisha uongo alisahau kukupa mbinu za kudanganya.

Ni vigumu kuwadanganya watu wenye akili kwa mbinu unazotumia kudanganya.
sina haja wala sababu hata moja ya kudanganya wadau muhimu sana humu jukwaani,

kanuni yangu tangu nimejiunga humu JF mwaka moja na nusu ulopita, huwa ni kusema ukweli hadharani bila aibu wala kificho 🐒
 
sina haja wala sababu hata moja ya kudanganya wadau muhimu sana humu jukwaani,

kanuni yangu tangu nimejiunga humu JF mwaka moja na nusu ulopita, huwa ni kusema ukweli hadharani bila aibu wala kificho 🐒
Ikiwa Kikwete, Mwinyi, Nyerere, Magufuli, Mkapa, Samia, n.k. walitambua kuwa Warioba ni Jaji makini wewe from nowhere ni nani hata uhoji Ujaji wa Jaji Warioba?
 
Ikiwa Kikwete, Mwinyi, Nyerere, Magufuli, Mkapa, Samia, n.k. walitambua kuwa Warioba ni Jaji makini wewe from nowhere ni nani hata uhoji Ujaji wa Jaji Warioba?
alikua jaji wa Mahakama ipi gentleman?

au aliwahi kua kwenye jopo la majaji gani nchi hii?

hilo la ujaji kwake ni a.k.a tu gentleman 🐒
 
alikua jaji wa Mahakama ipi gentleman?

au aliwahi kua kwenye jopo la majaji gani nchi hii?

hilo la ujaji kwake ni a.k.a tu gentleman 🐒
Yeye kuwa Jaji au kutokuwa Jaji kunahusianaje na hoja zake?
 
Kama ilivyo kwenye ngazi za kiutawala ndivyo ilivyo hadi ngazi ya familia na jamii wazee wamekaa kanfo hawataki kujihusisha na jukumu lao kuu
 
Back
Top Bottom