Nchi inaharibika kwa Kasi sana. Umeshawahi kumuona wapi mtoto wa kigogo anafikiria kusoma VETA?

Nchi inaharibika kwa Kasi sana. Umeshawahi kumuona wapi mtoto wa kigogo anafikiria kusoma VETA?

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Kila wakati nasikia msisitizo ni kuwafanya vijana wasome VETA ili watawaliwe kirahisi na watoto wa wakubwa. Mi nachojua hakuna mwenye division one anaweza kufikiria VETA at first place.

Mbona hatumuoni mtoto wa Mwigulu, Samia au waziri yeyote aliyeko VETA kama ni elimu ya maana kweli?

Acheni kuwafanya watoto wa masikini mazwazwa hakuna nchi inayoongozwa na mtu aliyemaliza VETA. Acheni kutudanganya.
 
Kila wakati nasikia msisitizo ni kuwafanya vijana wasome VETA ili watawaliwe kirahisi na watoto wa wakubwa. Mi nachojua hakuna mwenye divisione one anaweza kufikiria VETA at first place.

Mbona hatumuoni mtoto wa mwigulu, Samia au waziri yeyote aliyeko veta kamq ni elimu ya maana kweli?


Acheni kuwafanya watoto wa masikini mazwazwa hakuna nchi inayoongozwa na mtu aliyemaliza VETA. Acheni kutudanganya.
Mkuu acha makasiriko! VETA wanafundisha skills ukitoka ukajitegemee kwa fani uliyosomea! siyo hayo mashokoro mageni ya kutawala na kutawaliwa.
 
Kwahiyo watoto wa viongozi HAWAZI TAKI HIZO SKILLS?

#YNWA
Mgawanyo wa kazi mkuu! Hatuwezi wote kufanya kazi moja. Itoshe kusema hata watoto wa Viongozi siyo wote ni viongozi na maji siyo lazima yafuate mkondo.!!
 
Kila wakati nasikia msisitizo ni kuwafanya vijana wasome VETA ili watawaliwe kirahisi na watoto wa wakubwa. Mi nachojua hakuna mwenye divisione one anaweza kufikiria VETA at first place.

Mbona hatumuoni mtoto wa mMwigulu, Samia au waziri yeyote aliyeko VETA kamq ni elimu ya maana kweli?

Acheni kuwafanya watoto wa masikini mazwazwa hakuna nchi inayoongozwa na mtu aliyemaliza VETA. Acheni kutudanganya.
VETA ni nini?
 
Mafundi waliopo Wana Nini?


Mwaka 2030 Kila nyumba itakuwa na fudi. Wataziba pancha ya trekta Kwa buku
Na mwaka huo hiyo buku utaweza nunulia pipi tu( utapata ujuzi wa kujikimu na sio kukomboa maisha yako)
 
Kila wakati nasikia msisitizo ni kuwafanya vijana wasome VETA ili watawaliwe kirahisi na watoto wa wakubwa. Mi nachojua hakuna mwenye divisione one anaweza kufikiria VETA at first place.

Mbona hatumuoni mtoto wa mMwigulu, Samia au waziri yeyote aliyeko VETA kamq ni elimu ya maana kweli?

Acheni kuwafanya watoto wa masikini mazwazwa hakuna nchi inayoongozwa na mtu aliyemaliza VETA. Acheni kutudanganya.
Viongozi washausoma upepo wakaona kwamba tatizo la vijana kukosa ajira ni changamoto kubwa mno kwa graduates

Sasa wao hawawezi kusema moja kwa moja wanasema indirectly kuwa watu waende VETA

Sababu kubwa ya kuwaambia waende VETA ni kupata ujuzi ili wautumie kupata kipato


Kwa mantiki hiyo, Kama Kuna mtu anaweza kusoma chuo Kisha akawa na uhakika wa ajira basi itakuwa bora aende chuo (University)

Kwa mantiki hiyo hiyo waziri /Raisi nk acha wawasomeshe watoto wao degre/Masters nk kwa kuwa wao sio sisi, wao washawaandalia watoto wao mazingira ya kutokuhangaika kwenye mfumo wa ajira

NB: Kuliko kusoma course zisizoeleweka (University) ni Bora kusoma ujuzi wa faida VETA

Pia Kuna Wana kibao wamesoma VETA ila wanalia tu mtaani ajira ngumu 😂😂😂😂


HITIMISHO
Tusiokuwa na connection inabidi tujiongeze bila hivyo elimu zetu zitakuwa kufuri la maisha yetu badala ya kuwa ufunguo wa maisha yetu
 
Mgawanyo wa kazi mkuu! Hatuwezi wote kufanya kazi moja. Itoshe kusema hata watoto wa Viongozi siyo wote ni viongozi na maji siyo lazima yafuate mkondo.!!
Ila wanasoma vyuo ni kupata Kazi za course zao

Sisi ndio "TUKASOME VETA"

#YNWA
 
Kila wakati nasikia msisitizo ni kuwafanya vijana wasome VETA ili watawaliwe kirahisi na watoto wa wakubwa. Mi nachojua hakuna mwenye divisione one anaweza kufikiria VETA at first place.

Mbona hatumuoni mtoto wa mMwigulu, Samia au waziri yeyote aliyeko VETA kamq ni elimu ya maana kweli?

Acheni kuwafanya watoto wa masikini mazwazwa hakuna nchi inayoongozwa na mtu aliyemaliza VETA. Acheni kutudanganya.
Mtu akianzia VETA mpaka aje apate degree ni ana miaka 50, watoto wa vigogo miaka 23 ana masters
 
Back
Top Bottom