Nchi inaharibiwa sana na utawala wa awamu hii

Nchi inaharibiwa sana na utawala wa awamu hii

una maarifa gani ya kunipa we kabibi,,,?? ebu zeeka vizuri kutwa mitandao kama kabinti

Au unatafuta bwana[emoji3][emoji3][emoji23]Wenzio wakizeekaa wanashinda na wajukuu zao we unashinda mitandaoni
Sasa nani alikudanganya kuwa mimi siyo bint? Ulifikiri mimi ni bin?

Kwanza nyie mnaoongea hovyo msiojijuwa hamueleweki ni ma bin au ma bint.

Papai wahed.
 
Hapo Uhamiaji hizo rushwa za Passport zipo hivyo toka enzi za Jakaya, sijui kwanini hata Magu hakuiweza, yan ukitaka kwa process unaenda siku 10-20 ila kwa shortcut ni siku 3 tu
 
Nazungumza hili nikiwa na hasira kidogo, kwa wale tunaofanya biashara tuwe wakweli awamu hii tunaombwa rushwa kinguvu na mafisa wa serikali, jana nilikuwa napambania passport ofisi za uhamiaji, kilichonishangaza ni kijana mdogo tu ananiambia" bros ukitoa kama laki mmoja mimi nakupambania chap, ukifuata utaratibu bros itakuchuka muda" nimejiuliza sana huyu hanifahamu, ni mgeni pale uhamiaji lakini ana confidence, haoni noma yoyote.

Ni kweli kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaombwa rushwa lakini sio kishamba hivi, sometimes unakwenda ofisini unawachimba mkwara tu na vitu vinaenda haraka hujatoa hata mia, saizi wanaitoa wapi hii confidence, nini kimefanyika hadi wasiwe wanaona aibu, nikiwaza mimi ni mwalimu sina mahali pa kuchukua rushwa, naumia nenda mipakani pitisha mizigo yako halafu huna mtu utaona moto.

Maafisa hawawazi kukusumbua na kukuomba rushwa, nini kimetokea serikalini hadi imekuwa hivi, ni magizo toka juu au loophole tu imekuwa hivi, serikali inachuka hatua gani au ndio kila mtu ajiapambanie, NB sina chuki na samia wala sikuwahi kumpenda magufuli ila nahisi kuna jambo lipo hovyo awamu hii.
Utawala uliharibiwa na Magu.....ndio Maana hata mama anajibu majibu anavyotaka.....Katiba ni kijitabu tu.
 
Nazungumza hili nikiwa na hasira kidogo, kwa wale tunaofanya biashara tuwe wakweli awamu hii tunaombwa rushwa kinguvu na mafisa wa serikali, jana nilikuwa napambania passport ofisi za uhamiaji, kilichonishangaza ni kijana mdogo tu ananiambia" bros ukitoa kama laki mmoja mimi nakupambania chap, ukifuata utaratibu bros itakuchuka muda" nimejiuliza sana huyu hanifahamu, ni mgeni pale uhamiaji lakini ana confidence, haoni noma yoyote.

Ni kweli kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaombwa rushwa lakini sio kishamba hivi, sometimes unakwenda ofisini unawachimba mkwara tu na vitu vinaenda haraka hujatoa hata mia, saizi wanaitoa wapi hii confidence, nini kimefanyika hadi wasiwe wanaona aibu, nikiwaza mimi ni mwalimu sina mahali pa kuchukua rushwa, naumia nenda mipakani pitisha mizigo yako halafu huna mtu utaona moto.

Maafisa hawawazi kukusumbua na kukuomba rushwa, nini kimetokea serikalini hadi imekuwa hivi, ni magizo toka juu au loophole tu imekuwa hivi, serikali inachuka hatua gani au ndio kila mtu ajiapambanie, NB sina chuki na samia wala sikuwahi kumpenda magufuli ila nahisi kuna jambo lipo hovyo awamu hii.

Sa100 aliwapa ruhusa wale kwa urefu wa kamba zao ila wasivimbewe.
 
Huyu kakutana na tapeli.Badala ya kujilaumu yeye,kuwa na muonekano wa kutapeliwa,analaumu wengine.Laumu ulipojikwaa,usilaumu ulipoangukia.
du huyu ni mtanzania akili zake zipo kwenye p*"""mbu, kuelewa vitu vingine inakuwa ni shida , tunazungumza rushwa kuwa nje nje na waomba rushwa kuwa huru, ma** ko huyu anajadili muenekano wa mtu, akili kama hizi ni kheri zingeishia kwenye kondomu tu kuliko kuzaa mja laana kama wewe
 
Kwa hyo kama mmejenga hospitali ya rufaa Mara ndio muombe rushwa hovyohovyo si ndio

Hospitali-ya-Rufaa-ya-Mtwara.png

HUDUMA za kibingwa za Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zitaanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la kusogeza huduma za kibingwa karibu na wananchi.
 
Hospitali-ya-Rufaa-ya-Mtwara.png

HUDUMA za kibingwa za Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zitaanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la kusogeza huduma za kibingwa karibu na wananchi.

Kichwa chako kinatumika kama mfuko wa kuhifadhia meno na ulimi
 
Sasa nani alikudanganya kuwa mimi siyo bint? Ulifikiri mimi ni bin?

Kwanza nyie mnaoongea hovyo msiojijuwa hamueleweki ni ma bin au ma bint.

Papai wahed.
Ligi unaziweza [emoji1]

Ova
 
Hapo Uhamiaji hizo rushwa za Passport zipo hivyo toka enzi za Jakaya, sijui kwanini hata Magu hakuiweza, yan ukitaka kwa process unaenda siku 10-20 ila kwa shortcut ni siku 3 tu
Tanzania ndiyo ilivyo

Ova
 
Back
Top Bottom