Nchi inapigwa sana hii, maghorofa ya Jeshi Mwenge, yanapangishwa kwa raia

Nchi inapigwa sana hii, maghorofa ya Jeshi Mwenge, yanapangishwa kwa raia

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
 
Jeshi la Wananchi shida ipo wapi hata hospital za Jeshi tunatibiwa Wananchi ingekua wanapangishwa Wageni hapo ndio pana shida wacha Watanzania wale matunda ya Nchi yao.
Wanachomana wenyewe kwa wenyewe
 
Jeshi la Wananchi shida ipo wapi hata hospital za Jeshi tunatibiwa Wananchi ingekua wanapangishwa Wageni hapo ndio pana shida wacha Watanzania wale matunda ya Nchi yao.
Una akili timamu kweli?
Kama issue ni kuleta matunda kwa Watanzania kwanini wasikae bure?
Pesa inalipwa kwa control number?
Kama hailipwi kwa control number maana yake hiyo pesa inakwenda kwa watu wachache na serikali hainufaiki.
 
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
"Hivyo ni vi-drama tu lakini kazi nimeiweza". Credit: Huihui
 
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
Duuh! Nimeishi hapo Mwenge magorofani miaka ya 2000 aisee sasa mapoti imekuaje wanapangisha
 
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
Tuliza makalio fanya mambo yako. Huo ni umbea
 
Una akili timamu kweli?
Kama issue ni kuleta matunda kwa Watanzania kwanini wasikae bure?
Pesa inalipwa kwa control number?
Kama hailipwi kwa control number maana yake hiyo pesa inakwenda kwa watu wachache na serikali hainufaiki.
We ndio una mavi kichwani, kuna nyumba ya kuishi bure? Nyumba ya bure ni ya kwako tu bwanamdogo.
 
Ulihitaji Wananchi Wenzetu Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Wakae Bure??
 
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
Kama wanaopangishwa ni raia shida iko wapi?
 
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
Mmmmh
 
Haya magholofa ya jeshi yaliyoko Mwenge Kijijini, Dar es Salaam, yamekuwa yakipangishwa kwa raia.

Wajanja wachache wamekuwa wakijinufaisha na majengo hayo ambayo yamefanyiwa ukarabati mkubwa na jeshi.

Gharama ya kupanga nyumba hizo ni kuanzia laki tano na kuendelea, namna utakavyojiingiza.

Wanajeshi Hawana nyumba, nyumba zao zinapangishwa kwa raia
Shida nini mkuu, mbona hospitali za jeshi wanatibiwa mpaka raia?
Wewe ulitakaje kama nafadi zipo na askari wengi wana makazi nje makambi?
 
Back
Top Bottom