Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Duh[emoji119][emoji119]
 
Jesus is Lord
 
Subscribed!!
 
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa ndan waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe, afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?
Sasa ndugu kiongozi wa dini, kwani huu uzi unahusu ushoga?

Kwa nini usiende kuchangia kwenye uzi wa mashoga ukatuacha sisi tujadili mambo ya msingi kuliko wewe kuanza kutuletea ushoga kwenye uzi ambao hauhusiani? au wewe muda wote unawaza ushoga tu?
 
Mkuu natambua kuwa Msoga kamuingiza mama mkenge kwa kutangaza nia mapema ya kugombea hapo 2025 !Lengo la msoga ni kumchonganisha mama na team jpm akose sapoti yao ili mama aegemee kwa Msoga camp kwa sapoti! Na msoga autumie mwanya huo kuingiza watu wake wa upigaji kwenye system na ndicho kilichotokea Hadi sasa!!Team jpm itamsumbua mama Hadi hapo 2025 na vugu vugu hilo litasababisha the state kuja na jina jingine la kupeperusha Bendera ya chama Ndipo huyo muislam atapewa kijiti mwenye silika ya jpm !!nadhani kina Jafo, juma Aweso ,Bashiru,Majaliwa na hata Mwinyi junior wanaweza kua mbadala wa mama hapo 2025!!!LAKINI mama kutangaza nia mapema kutamuengua kwenye kinyang'anyiro ndani ya chama hapo 2025!!
 
Ho ndo wanaomshadadia na kumtukana magufuli kila kukicha na kumsingizia kil aina ya uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hayo yote siyajui na siyo muhimu kwangu. Ila najua jambo moja tu kwa CCM kuendelea kuwa madarakani na kwa katiba hiii maendeleo ya kweli tutayasubiri sana.
 
Piga kazi tumecheleweshwa mno kama taifa mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…