Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Pumba
 
ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni[/QUOTE]

Haujui hata utakalo. Unaishia kuandika "unasubiri bunge la kwa". Ukweli wakisuguana bila chuki ndiyo maendeleo yanapatikana. Kuliko kudhani watu kuwa wachache ndiyo maamuzi mabovu. Wengi wetu uelewa mdogo zaidi ni ushabiki. Maelezo ya Rais yanajitosheleza isipokuwa kwa empty head.
 
Ni sawa na kile chama kinachoongozwa na yule mzungu baharia amstedam akishirikiana na lile tundu la kisu. Akisema mashoga waachwe wafanye ushenzi wao chama kinatoa tamko la kupinga oparation ya mashoga, akisema mwenyekiti wa chama hicho aendelee kukaa jela ili apate ya kuongea kwa mahabaria wenzake chama kinatoa tamko kuwa mwenyekiti wao asiachiwe na wala usiombwe msamaha wowote kwa yule anaetaka kumuachia, akisema wapambe na wanachama wa chama anachodhamini waingie barabarani kutaka sheria ya ndoa za mashoga basi chama kinaanza kupambana na serikali ili ipitishe haki na sheria za mashoga kufunga ndoa. Hapo sijazungumzia uuzaji wa madawa nk. Yani chama kipo Tanzania lkn muongozaji wa sera za chama yupo Ulaya. So kwa nchi hii ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
Ukiona mtu anapenda sana habari za ushoga hata kama Watu wanajadili kupaa kwa deni la Taifa
 
Aise huenda humjui vizuri mtoa mada.

Kabla hujatoa comment kama hii jitahidi umfuatilie huyu mtoa mada .

Mwamba alitoa utabiri 2012 ukatukia, siyo wa kumchezea, kwa uzi ule na yaliyokuja kutukia, sina shaka na andiko lake hili. Ni sawa na member anaitwa TUMIA AKILI. Hawa ni watu hatari sana.

Unfeighned I respect these two people.


!!
ID zinawavuruga ukija jua huyo ni Lipumba, au Zito au Nape utasemaje wakati mnawatukana wakati wote. Jifunze kujua hoja si ID!
 
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
 
Aisee Mungu atujalie uzima panapo majaliwa hiyo 2024 tuone unabii wako mkuu.....
 
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Ni kweli kwamba Samia alishauriwa vibaya kuwatoa mawaziri waliokuwa hawalali kufanya kazi masaa 24 ili kuhakikisha miradi ya kimkakati isiishe kama ilivyopangwa,,, Mpaka leo hakuna anayejua sababu ya kumuondoa Kalemani,, waliomshauri lengo lao ni kuufungua mlango wa upigaji kwenye hiyo wizara kama kawaida yao,,,Chamriho alichupalia SGR ianze majaribio December hii leo tunaambiwa LABDA April mwakani na huko Rufiji changa la macho linasema CRANE,, CRANE for gods sake crane kweli??? Kalemani aliahidi na kutuhakikishia vijiji 2000 vilivyosalia kupata umeme ni mpaka December 2022 lkn leo hawalizungumzii hilo kabisa,,,,Hivi kweli watanzania ni wajinga kiasi gani kukubali ati January Makamba kweli awe waziri wa Nishati???? January kaletwa hapo kwa kazi maalumu,,,Poleni sana
Wananchi tunataka miradi yote iishe watanzania hatujali kama mawaziri wote watatoka mkoa wa Simiyu tunajali huduma natokea Nanyumbu ambako hata Samia hajui kama ni Tanzania au nchi jirani lkn Kalemani alikuja kukugua njia za miundombinu ya umeme,,,,
 
Ni kweli kwamba Samia alishauriwa vibaya kuwatoa mawaziri waliokuwa hawalali kufanya kazi masaa 24 ili kuhakikisha miradi ya kimkakati isiishe kama ilivyopangwa,,, Mpaka leo hakuna anayejua sababu ya kumuondoa Kalemani,, waliomshauri lengo lao ni kuufungua mlango wa upigaji kwenye hiyo wizara kama kawaida yao,,,Chamriho alichupalia SGR ianze majaribio December hii leo tunaambiwa LABDA April mwakani na huko Rufiji changa la macho linasema CRANE,, CRANE for gods sake crane kweli??? Kalemani aliahidi na kutuhakikishia vijiji 2000 vilivyosalia kupata umeme ni mpaka December 2022 lkn leo hawalizungumzii hilo kabisa,,,,Hivi kweli watanzania ni wajinga kiasi gani kukubali ati January Makamba kweli awe waziri wa Nishati???? January kaletwa hapo kwa kazi maalumu,,,Poleni sana
Wananchi tunataka miradi yote iishe watanzania hatujali kama mawaziri wote watatoka mkoa wa Simiyu tunajali huduma natokea Nanyumbu ambako hata Samia hajui kama ni Tanzania au nchi jirani lkn Kalemani alikuja kukugua njia za miundombinu ya umeme,,,,
Katika vitu huyu Maza tozo alibugi moja ni kumtoa kalemani. Mbili kumwingiza makamba kwenye eneo nyeti . Narudia eneo nyeti Kwa nchi yetu .
 
Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?

Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?
Kwani opposition bado wanazo agenda za maendeleo za kitaifa ? Wao nibkatiba mpya. Miradi mikakati, rushwa kwao si agenda tena
 
Magamba Matatu

Kwa nilichokisoma kwako una mahaba na Team EL pamoja na team Magu

Kiufupi mabadiliko ya sasa umeyachukia naamini tutapata majibu muda si mrefu
Hii inanifanya nipate wasiwasi wa yule niliyekuwa namdhania kuwa ndiye magamba matatu, yani hapa kanipoteza kabisa.
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Ahsante sana mkuu kwa bandiko hili fupi tayati umetupa mwangaza na picha fulani ambayo inawezekana wengi wetu hatukuwa na fununu nayo.


ubarikiwe na tunaomba usisite kutupa update kwa haya yanayoendelea.
 
Wakwe gani ndugu yangu, nipo jirani kabisa na nyumbani kwao mama mkapa, wala hamna cha sana unachoweza kusema wamepata kutoka kwake.

Vipi kwa lile daraja la Busisi si lilikua linaenda kwa wakwe wa fulani.

Turudi kwenye mada bro.
Daraja la Busisi linaunganisha Mwanza, Sengerema, Geita, Bukoba hadi Uganda. Lina economic rewards nyingi zaidi ya daraja la Mkapa ila watu wa aina yako mnataka kupindisha facts kwa interest zenu binafsi kuonyesha chuki dhidi ya Magufuli alilyeidhisha lijengwe.
 
Ni sawa na kile chama kinachoongozwa na yule mzungu baharia amstedam akishirikiana na lile tundu la kisu. Akisema mashoga waachwe wafanye ushenzi wao chama kinatoa tamko la kupinga oparation ya mashoga, akisema mwenyekiti wa chama hicho aendelee kukaa jela ili apate ya kuongea kwa mahabaria wenzake chama kinatoa tamko kuwa mwenyekiti wao asiachiwe na wala usiombwe msamaha wowote kwa yule anaetaka kumuachia, akisema wapambe na wanachama wa chama anachodhamini waingie barabarani kutaka sheria ya ndoa za mashoga basi chama kinaanza kupambana na serikali ili ipitishe haki na sheria za mashoga kufunga ndoa. Hapo sijazungumzia uuzaji wa madawa nk. Yani chama kipo Tanzania lkn muongozaji wa sera za chama yupo Ulaya. So kwa nchi hii ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
Inaonekana mkuu unapenda sana ushoga, tunajadili mambo ya msingi wewe umekomaa tu na ushoga!
 
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Kama dalili au hisia za hiki unachokisema zipo basi nathibitisha kuwa ccm imekuwa injini chakavu na haifai tena kwa safari kuelekea Tanzania tunayoitaka!
Yaani 2015 na 2020 mlipanga safu zenu nyie wenyewe lakini sasa mnaparaganyika kama vile hamfahamiani wala hamjakaa vikao!!
Hivi hamkujua kuwa mtu anayependekezwa kuwa makamu wa rais ni rais mtarajiwa?? So mlikuwa hamkuwahi kumuamini?? Mlipataje pataje??
Je, hao walioko nje ya ofisi mnaowasema kuwa wanaiongoza nchi ni wapinzani wa ccm?? Je, hamna vikao??
Je, mnataendelea kuishi kwenye kivuli cha marehemu hadi lini??

Yaani nyie ccm mnabahati upinzani na wananchi wa nchi hii hawana maono...
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Wewe ni mjinga tu na huna lolote!

Eti Samia ndo kamtoa Polepole! Unajifanya mjuaji kumbe mjinga na huna lolote! Polepole kateuliwa Mbunge na Marehemu sasa unamsingizia Samia ili iweje?

Kwa maandiko yako umeshajionesha kuwa ni mtu uliyejaa ukabila na it’s obvious kama mtu uliyefunikwa na ukabila huwezi kuendana na Samia. Nani kakwambia kuwa Rais wa nchi hii anaamuliwa na mikoa ya kanda ya ziwa? Unajua Tanzania ina watu wangapi? Unajua kwenye mikoa mingine kuna watu wangapi mpuuzi wewe?

Wapi iliandikwa kuwa lazima mama aendane na magufuli? Magufuli ni Mungu? Unataka mama aendelee kuteka watu? Kuua watu? Kutesa watu? Wewe ni mjinga sana

Mwinyi hakwenda sawa na Nyerere, Mkapa hakwenda sawa na Mwinyi, Kikwete hakwenda sawa na Magufuli na Magufuli hakwenda sawa na Kikwete. Unataka Samia aende sawa na Magufuli ili iweje?

Unaongelea timu lowassa ipi iliyokwenda sawa na Magufuli? Magufuli alielewana na Nazir Karamagi? Alielewana na Tanil Somaiya? Alielewana na Sofia Simba?

Kwa kifupi Magufuli mwenyewe hakufaa kuwa Rais, kwa proper vetting hakutakiwa kuwa Rais kwa matendo yake ya kuwawinda Hadi viongozi wa dini Kama Askofu niwemugizi, mwingira na wengineo ndo hakufaaa kabisa na Ndo mana Mungu alifanya yake mapema!
 
Sukuma gang mnatoka makaburini.... Fanyeni kazi.
 
Ni sawa na kile chama kinachoongozwa na yule mzungu baharia amstedam akishirikiana na lile tundu la kisu. Akisema mashoga waachwe wafanye ushenzi wao chama kinatoa tamko la kupinga oparation ya mashoga, akisema mwenyekiti wa chama hicho aendelee kukaa jela ili apate ya kuongea kwa mahabaria wenzake chama kinatoa tamko kuwa mwenyekiti wao asiachiwe na wala usiombwe msamaha wowote kwa yule anaetaka kumuachia, akisema wapambe na wanachama wa chama anachodhamini waingie barabarani kutaka sheria ya ndoa za mashoga basi chama kinaanza kupambana na serikali ili ipitishe haki na sheria za mashoga kufunga ndoa. Hapo sijazungumzia uuzaji wa madawa nk. Yani chama kipo Tanzania lkn muongozaji wa sera za chama yupo Ulaya. So kwa nchi hii ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] kichwa kimekuwa kabati la meno maana mashudu tupu umetoa!!
 
Langu jicho, naombea nchi yangu good transition ila kwa yanayoendelea kwa sasa ni as if hatuna Rais, Yani watu wa chini Wana mpinga hadharani
Bora upingwe hadharani
 
Back
Top Bottom