Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Kama ni vision ya kuhonga mali za taifa kwa wakwe na shemeji zake, nakubaliana na wewe.
Wakwe gani ndugu yangu, nipo jirani kabisa na nyumbani kwao mama mkapa, wala hamna cha sana unachoweza kusema wamepata kutoka kwake.

Vipi kwa lile daraja la Busisi si lilikua linaenda kwa wakwe wa fulani.

Turudi kwenye mada bro.
 
Wakwe gani ndugu yangu, nipo jirani kabisa na nyumbani kwao mama mkapa, wala hamna cha sana unachoweza kusema wamepata kutoka kwake.
Good to know that you're one of them. Ile asasi ya fursa sawa kwa wote iliishia wapi?
 
Magamba Matatu

Kwa nilichokisoma kwako una mahaba na Team EL pamoja na team Magu

Kiufupi mabadiliko ya sasa umeyachukia naamini tutapata majibu muda si mrefu
 
Ni sawa na kile chama kinachoongozwa na yule mzungu baharia amstedam akishirikiana na lile tundu la kisu. Akisema mashoga waachwe wafanye ushenzi wao chama kinatoa tamko la kupinga oparation ya mashoga, akisema mwenyekiti wa chama hicho aendelee kukaa jela ili apate ya kuongea kwa mahabaria wenzake chama kinatoa tamko kuwa mwenyekiti wao asiachiwe na wala usiombwe msamaha wowote kwa yule anaetaka kumuachia, akisema wapambe na wanachama wa chama anachodhamini waingie barabarani kutaka sheria ya ndoa za mashoga basi chama kinaanza kupambana na serikali ili ipitishe haki na sheria za mashoga kufunga ndoa. Hapo sijazungumzia uuzaji wa madawa nk. Yani chama kipo Tanzania lkn muongozaji wa sera za chama yupo Ulaya. So kwa nchi hii ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
Usifanye mzaha kwenye hoja za maslahi ya nchi
 
ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ?
Mkuu upinzani gani unazungumzia? upinzani wa Cuba au Tanzania?
 
Mama namkubali sana only tu hajaamua..

inatakiwa siku moja akae mahali, avunje kila kitu na kisha ateuwe watu wake yeye, siyo aliowarithi.

as for ndugai kuongea vile wakt usa ni kubwa kiuchumi na jiografia kuliko tz ina wabunge 500 tu kulinganisha na tanzania yenye wabunge 400, nadhani huko mbeleni bora kuwe japo na wabunge 200 ili fedha ya kulipa wabunge 200 kila mwezi ikajenge shule na zahanati moja kila mwezi.
Kumbe ni mrithi duuu
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Naomba utusaidie ni nani anayemuandalia Rais hotuba/cha kusema mbele ya Hadhara.

Nimekuwa nasikiliza Kila tukio kubwa la Rais, jambo ambalo anaongea linakuwa limehaririwa kabisa, ila nimepata wasiwasi wa dhahiri kuwa muhariri wa hizi hotuba za Rais anaziharibu makusudi kabisa ili kuharibu taswira ya Rais mbele ya watu wake.
 
nyie mlioteuliwa na magu ndiyo mnazingua, hamtaki mguswe, wala upigaji wenu uguswe

akishaelewa hili, na kifanya rishafo ndiyo utaelewa
Unajua upigaji au unafanya majaribio
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
watajua hawajui...wapo wapuuzi watakubishia ...kila mkoa,wilaya,kata/kijiji si wanaume wala wanawake wanasema hakuna rais hapo

na tulionya mapema sana huyu mama akienda na watu wa msoga itakula kwake hakuna watu wanaochukiwa na wananchi kama hao (msoga) sababu ni utawala wao ulijaa kila aina ya ufisadi na nchi kudidimia kweli kweli

kuna kikundi cha watu wachache ambacho kimo hata humu kazi yake ni kumpamba samia kwa uongo kuwa yupo kwenye njia sahihi...atakuja kushtuka too late sana
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Mmi ni mgen JF ila mwamba huyu anaonekana ni GREAT THINKER.....pia yupo kweny system kila kinachoendelea anajua.


........shikamoo jf
 
Waache wafu wazike wafu wao...kifo cha CCM ndiyo ukombozi wa pili wa nchi hii......hata kama itaongozwa na hao waliopo CCM leo bado mabadiliko yatakuwa chanya kwa mstakabali wa taifa.

Ni bora kulumbana ndoa ikavunjika tukalazimika kumposa binti mwingine na kulipa mahari 2×2.
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
 
Mama alivyokuwa anapangua wateule wa Hayati Magufuli haraka haraka utadhani alikuwa na taarifa za kiintelinjesia kuwa Magufuli atafufuka tena hivyo jamaa wakamwambia apindue meza haraka ili jamaa akiamka akute mambo mapya.
 
Back
Top Bottom