Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?

Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?
Mbona povu jingi au ww ni muingiza chaka!!?
 
Mama namkubali sana only tu hajaamua..

inatakiwa siku moja akae mahali, avunje kila kitu na kisha ateuwe watu wake yeye, siyo aliowarithi.

as for ndugai kuongea vile wakt usa ni kubwa kiuchumi na jiografia kuliko tz ina wabunge 500 tu kulinganisha na tanzania yenye wabunge 400, nadhani huko mbeleni bora kuwe japo na wabunge 200 ili fedha ya kulipa wabunge 200 kila mwezi ikajenge shule na zahanati moja kila mwezi.
 
Mkuu Salama
Bandiko Lako Nimelisoma Vema
Members Wengi Walikuwa Wanakukubali Hasa Ulipotoa Unabii Wako Tukajionea Wenyewe





Sasa Umerudi Tena Kwa Hour Of Testimonial
Ila Ungeweka Mambo Hadharani Umesema 2024
Utatoa Uelekeo Wa Nchi Ila Itakuwa Tunakwenda Kwenye General Election


Kaza Moyo Tupe Uelekeo SASA Hivi
 
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii

Nilipoona ni ww imebidi nisome vizuri huu uzi, japo umetumia lugha ya code. Nimependa hapo uliposema 2024 utatoa mwelekeo. Nashauri uutoe sasa maana huna guarantee na Mungu, ama hiyo 2024 utakuwa umeshaona mwelekeo kisha ndio utembelee humo humo. Fanya kama ule wa Tanzania kutawaliwa kidictator kuanzia 2015, maana ulitabiri miaka mitatu kabla.
 
Nilipoona ni ww imebidi nisome vizuri huu uzi, japo umetumia lugha ya code. Nimependa hapo uliposema 2024 utatoa mwelekeo. Nashauri uutoe sasa maana huna guarantee na Mungu, ama hiyo 2024 utakuwa umeshaona mwelekeo kisha ndio utembelee humo humo. Fanya kama ule wa Tanzania kutawaliwa kidictator kuanzia 2015, maana ulitabiri miaka mitatu kabla.
Mwamba Karudi
 
Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?

Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?

Zito Kabwe sio mpinzani, na wapinzani Wa kweli mliwapora uchaguzi ili wasiwemo bungeni, kishaMagufuli ajiongezee muda wa kukaa madarakani bila kuhojiwa.
 
Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?

Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?
Aise huenda humjui vizuri mtoa mada.

Kabla hujatoa comment kama hii jitahidi umfuatilie huyu mtoa mada .

Mwamba alitoa utabiri 2012 ukatukia, siyo wa kumchezea, kwa uzi ule na yaliyokuja kutukia, sina shaka na andiko lake hili. Ni sawa na member anaitwa TUMIA AKILI. Hawa ni watu hatari sana.

Unfeighned I respect these two people.


!!
 
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Ungesubir basi 2024
 
Unataka kusema Samia alitakiwa apige CHINI wote wa awamu ya 5?
 
Back
Top Bottom