Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Mjadala mkubwa ulipo mtaani sasa hivi ni kuhusu viongozi wetu kutamka kwenye majukwaa kwamba wanazunguka Duniani kutafuta pesa kwaajili yetu; wengi wanajiuliza hizo pesa tunazopewa huko nje zinatokana na nini? Kwamba wenzetu wafanyakazi kwa bidii kwa ajili ya kutupa fedha sisi? Je tunapopewa hizo fedha wao wanafaidika vipi?
Kwanini tumeamua kuishi kwa kuomba na siyo kwa kuboresha viwanda na nyenzo nyingine za uzalishaji?
Kwa miaka 60 ni kipi ambacho tunaweza tunajivunia kwa sababu ya kuomba fedha nje?
Kwanini tumeamua kuishi kwa kuomba na siyo kwa kuboresha viwanda na nyenzo nyingine za uzalishaji?
Kwa miaka 60 ni kipi ambacho tunaweza tunajivunia kwa sababu ya kuomba fedha nje?