wahehe umetuoneamakabila yaliotuangusha tanzania ni
1.wanyakyusa hawa kmmasela tuu
2.wachaga(miguu na shape)
3.wahaya (weusi km oil chafu)
4.wahehe
5.wasukuma
6.wakurya(sura ngumu naza kigaidi)
7.wajaluo
8.wakelewe
9.wafipa
10.wagogo
na mengineyo mengi tuu
makabila yaliotubeba
1.wanyiramba
2.wanyaturu
3.wamburu
4.wameru
5.wanyamwezi
6.wasambaa
7.wadigo
8.wazigua
hayo ndo.makabila yaliotubeba na yaliotuangusha tanzania #OVER#
Yani wakenya, eti wakenya wame..... Uongo asee
we mwongo tangulini mademu wa kenya wakawazidi warembo wa Tz huo utafit ni according to wewe uonavyo vinginevyo unadamganya[emoji57]Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Wanawake wa kibongo shida kubwa wanatumia sana artificial, kiukweli bila hivyo tusingekuwa hata kwenye orodha.Huu utafiti ungekuja na picha ungekua umetenda haki
ha ha haa!..pole mkuu welcome to Tanzania.
we mwongo tangulini mademu wa kenya wakawazidi warembo wa Tz huo utafit ni according to wewe uonavyo vinginevyo unadamganya[emoji57]
Kenya,nigeria,wanatutania yaan wakitoka rwanda tu hapo ni sisiWakenya wanatuzidi riadha tu, huku kwingine hapana sisi sio watu wa mchezo mchezo, wasitutanie
Wakenya noma aisee...Yani wakenya, eti wakenya wame..... Uongo asee
Noma kwenye nini?Wakenya noma aisee...