Nchi makini huwa haitetereki, Kenya acheni uzandiki

Nchi makini huwa haitetereki, Kenya acheni uzandiki

Status
Not open for further replies.
Acha ujinga nchi inadondoka uchumi unafurahia ?? Na mashaka na elimu yako cunt
Kwanza hii tabia yako yakujiona unajua vitu kumbe hewa ni upumbavu.
Pili wewe mbumbumbu usiyejua unwakimbilia kutukana wenzako lini utaelevuka!?
1. Wanafunzi wanasoma bure
2. Uchumi unakua kwa 7.2%
3. Tunajenga SGR
4. Tunapanua Bandari zote
5. Dawa hospital zipo na zimeongezeka
6. Utalii nazidi kukua. Tanzania inaongoza EAC.
7. TRA collections zimeongezeka.
8. Security imeimarika
9. Watumiaji wa madawa ya kulevya wamepungua
10. Mikopo chuo kikuu imeongezeka.
11. Tanzania inaongoza EAC kwenye investment.
12. Meli zinajengwa kila kona
13. Tunajenga bwawa kubwa la kufua umeme 2100MW
14. Nidhamu ya watumishi wa umma imeongezeka.
15. UDSM maktaba kubwa imejengwa (Kubwa kuliko zote Africa)
16. Tunajenga Radar 4 kwaajili ya ulinzi wa anga la TZ.

Sasa wewe mpayukaji utaelewa haya!!. Unapayuka tu eti nchi inaanguka pyu!!?
 
This is not a Kenyan news bro. This is a Tanzanian media. Huko kenya talk mnaongelea masuala ya Trump na ukabila tu. Hakuna vitu vya maana mnajadili ndio maana wewe unapata wasaa wakushida humu JF.
So you have to admit that Tanzanians are more intelligent than kenyans.
Second huna swali unalouliza zaidi ya kutaka kuwavua nguo viongozi wetu. Sisi watanzania kamwe hatuwezi kuongelea vyama vyenu vya siasa, maana ni mambo yenu ya ndani. But you guys everyday mnaongelea siasa za Tanzania hii inaonesha ni namna gani Tanzania ipo juu yenu.

Hii ni message kwa walanguzi wajue kuwa unyonyaji umeshapitwa na wakati. Na wajue all humans wanahitaji maisha bora.

Nyie wakenya endeleeni kuwa na matabaka sijui itawasaidia nini. Maana hata uwe na mali kiasi gani, uwanyonye watu wengine utakufa na hakutakuwa na zaidi ya hapo.

Ni bora tuheshimiane, na kuthamini mawazo ya nchi zingine ndio tutaishi vizuri. Lakini huu u much know wenu, ni upumbavu uliopitiliza. Nchi yenu hamlimi korosho, kidomo domo cha nini!? Tuacheni tunafanya kwa ajili ya watanzania na siyo wakenya ebo.

Povu zote hizi kisa umeulizwa swali simple kwa uzi mliotuletea wenyewe, hehehe
Anyway usihangaike maana nimepata jibu, kuna jamaa Mtanzania amewaanika kwenye hili la korosho hadi nimeelewa kwanini hakuna mtu mwenye hela yake na akili zake anaweza kukaribia hapo.
Huu uzi hapa umeeleza yote Tumewashtukia: Tshs bilioni 630 ukitoa Tshs bilioni 250 unabakiwa na Tshs bilioni 380. Serikali imenunua kiasi gani kwa kilo? Twende kazi! - JamiiForums
 
Povu zote hizi kisa umeulizwa swali simple kwa uzi mliotuletea wenyewe, hehehe
Anyway usihangaike maana nimepata jibu, kuna jamaa Mtanzania amewaanika kwenye hili la korosho hadi nimeelewa kwanini hakuna mtu mwenye hela yake na akili zake anaweza kukaribia hapo.
Huu uzi hapa umeeleza yote Tumewashtukia: Tshs bilioni 630 ukitoa Tshs bilioni 250 unabakiwa na Tshs bilioni 380. Serikali imenunua kiasi gani kwa kilo? Twende kazi! - JamiiForums
Pwahahaha!!! wewe uulize swali kwangu!!? Mtu mwenye njaa anachojua zaidi ni njaa tu. Siwezi nikauliza swali na mtu mwenye njaa maana nitamjibu kwa kushiba ataanza kutokwa povu.
Shughulikieni kwanza njaa kwenu ndio mje tuongee. Hatuwezi kuongea na watu wenye njaa na wanalala na wanyama.

1542001776631.png

We can't talk na wanaume dhaifu.

1542001979878.png
 
Kwanza hii tabia yako yakujiona unajua vitu kumbe hewa ni upumbavu.
Pili wewe mbumbumbu usiyejua unwakimbilia kutukana wenzako lini utaelevuka!?
1. Wanafunzi wanasoma bure
2. Uchumi unakua kwa 7.2%
3. Tunajenga SGR
4. Tunapanua Bandari zote
5. Dawa hospital zipo na zimeongezeka
6. Utalii nazidi kukua. Tanzania inaongoza EAC.
7. TRA collections zimeongezeka.
8. Security imeimarika
9. Watumiaji wa madawa ya kulevya wamepungua
10. Mikopo chuo kikuu imeongezeka.
11. Tanzania inaongoza EAC kwenye investment.
12. Meli zinajengwa kila kona
13. Tunajenga bwawa kubwa la kufua umeme 2100MW
14. Nidhamu ya watumishi wa umma imeongezeka.
15. UDSM maktaba kubwa imejengwa (Kubwa kuliko zote Africa)
16. Tunajenga Radar 4 kwaajili ya ulinzi wa anga la TZ.

Sasa wewe mpayukaji utaelewa haya!!. Unapayuka tu eti nchi inaanguka pyu!!?
Tanzania is trash country bro is just a machinga coutry not businesses investment here@ Dar looks like big damp# Hawks and vendors everywhere even in the CBD
 
Tanzania is trash country bro is just a machinga coutry not businesses investment here@ Dar looks like big damp# Hawks and vendors everywhere even in the CBD
Pwahahaha!!!
Kiwanda cha Marekta - Tanzania
1542003479891.png


Kiwanda cha nguo Tanzania
1542003775351.png


Kiwanda cha Vigae
1542003869467.png


So which investment are you talking about? kama siyo kwamba unapiga kelele tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom