stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Yamewafaidika nn sasa hayo
chato ni wananchi wa nchi gan? haki zao znaishia wap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamewafaidika nn sasa hayo
China mafisadi wananyogwa kwetu mafisadi na uhujumu uchumi ni kwa wale wasiotaka kuisujudia Sanamukwahio xinjipin anakuza GDP ya geto kwake?
China mafisadi wananyogwa kwetu mafisadi na uhujumu uchumi ni kwa wale wasiotaka kuisujudia Sanamu
Nimekuambia GDP PER CAPITA wewe kilaza.sasa egypt si nchi ya tatu afrika inaenda ya pili kwa GDP! hakuna nchi yenye demokrasia iko kwenye izo level, kenya yenyewe wanafululiza kuchukua mahindi tanzania, una kingine mkuu?
Ishi na huo udikteta kwenye familia yako!Ili nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya
na nchi maskini imewahi endelea kwa kufuata demokrasia.
Kiliberali unamaanisha nini?a nchi iliyoendelea kwa Demokrasia hii ya Kiliberali unayoisema.
Mbona demokrasia imeanza miaka ya 90 kabla ya hapo ni fully udikteta mbona Hakuna kilichofanyikasi ndo maaana tunatakiwa kuondokana na haya mademokrasia, kwan hujaelewa point ya thread ni nn?
Si waambie CCM waifikishe hapo kwa Huo mwaka mmoja , ukifika Oktober 2022 alau Tobo Yao tuwafikeNi nchi za kawaida sana they arenot countries you can aim to reach! yaaani ni kama mwaka mmoja tu nchi ikiwa serious inaruka that stage
Kwani kiongozi mwenye maamuzi magumu hapatikani kwenye nchi yenye demokrasia? Nchi za magharibi zimewezaje? Na maamuzi magumu unayozungumzia ndiyo yapi?Ili nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya