Nchi masikini ya mwisho Duniani wants to save the World!

Nchi masikini ya mwisho Duniani wants to save the World!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Maajabu, Tanzania ni moja kati ya nchi masikini zaidi Duniani, inaishi kwa handouts, raisi wake anafunga safari kusafiri Mabara kutafuta mkopo wa dola milioni 100 USD, hapo hapo inafanya kila inalowezekana kuokoa Dunia isiangamie na climate change, hii ni nchi ambayo mchango wake kwenye CO2 emission ni negligible, mfano inaweza kuzalisha umeme usiozidi 1500 MW kuhudimia watu zaidi ya Milioni 45 vs Afrika Kusini wana MW 49 000 na hawajacommit kwenye climate change kama sisi.

Je, tuko out of touch ? Au labda hata hatuelewi nini kinaendelea kwenye hata mambo ya global warming ?
 
Sisemi kwamba wasafiri au wasisafiri..., huenda hizo safari ni kufuja pesa na hazina tija (hawazitumii ipasavyo) na vilevile wanaweza kufanya hicho wanachofanya bila safari

LAKINI..., The World does not need saving.., ni Binadamu inabidi wabadilike sababu wakichezea mazingira ni wao watakaoangamia na sio dunia (hata kama binadamu as a species wakiteketea kuna viumbe vingine huenda vika-survive)

Hivyo basi.., Suala la Mazingira sio la Tajiri wala Masikini halichagui ni nani ana pesa au nani alichafua na nani alisafisha... We Need to come Together as a Specie....
 
Ni ilimradi na sisi tudemke ngoma ya beberu......
 
Sisemi kwamba wasafiri au wasisafiri..., huenda hizo safari ni kufuja pesa na hazina tija (hawazitumii ipasavyo) na vilevile wanaweza kufanya hicho wanachofanya bila safari

LAKINI..., The World does not need saving.., ni Binadamu inabidi wabadilike sababu wakichezea mazingira ni wao watakaoangamia na sio dunia (hata kama binadamu as a species wakiteketea kuna viumbe vingine huenda vika-survive)

Hivyo basi.., Suala la Mazingira sio la Tajiri wala Masikini halichagui ni nani ana pesa au nani alichafua na nani alisafisha... We Need to come Together as a Specie....

Lakini sisi tunahusika nini na CO2 emissions ? Unaweza kuniambia tuna-polute vipi Dunia ? Je, unaona ni sawa sisi kukosa umeme kisa kuiokoa Dunia ?
 
Lakini sisi tunahusika nini na CO2 emissions ? Unaweza kuniambia tuna-polute vipi Dunia ? Je, unaona ni sawa sisi kukosa umeme kisa kuiokoa Dunia ?
Ingawa hatuchafui kama wenzetu inabidi tupige kelele na wao waache kuchafua na vilevile kuhakikisha na sisi tunakuwa empowered kufikia malengo...,

Hii scenario kwamba wao wanachafua na sisi tuchafue sio rafiki..., vilevile sisi tupo katika advantage (tuna vyanzo vingi tofauti na Kina India na Japan)

Kwahio sio kuamka leo kesho tunaacha bali inabidi twende hatua kwa hatua wote na kwa kusaidiana towards a Greener Earth...,
 
Mkuu mwache mama afanye kazi. Acha wivu... Mkutano wa Co2 unahusu wadau wote.
Tanzania ni mshirika muhimu pia katika mikutano hii.
Au ulitaka mama aende na wewe?
 
Ingawa hatuchafui kama wenzetu inabidi tupige kelele na wao waache kuchafua na vilevile kuhakikisha na sisi tunakuwa empowered kufikia malengo...,

Hii scenario kwamba wao wanachafua na sisi tuchafue sio rafiki..., vilevile sisi tupo katika advantage (tuna vyanzo vingi tofauti na Kina India na Japan)

Kwahio sio kuamka leo kesho tunaacha bali inabidi twende hatua kwa hatua wote na kwa kusaidiana towards a Greener Earth...,

Sasa sisi kukaa giza na kufa njaa wakati rest of the World haijali chochote itasaidia nini ?

Nchi kama yetu ambayo mchango wetu kwenye greenhouse emissions ni negligible iweje iwe ya kwanza kutaka kuokoa Dunia huku ikitesa wananchi wake ?

Unaweza kunitajia nchi yoyote tajiri ambayo inatesa na kulaza wananchi wake giza na kuwanyima chakula ili kuokoa Dunia ?
 
Sasa sisi kukaa giza na kufa njaa wakati rest of the World haijali chochote itasaidia nini ?

Nchi kama yetu ambayo mchango wetu kwenye greenhouse emissions ni negligible iweje iwe ya kwanza kutaka kuokoa Dunia huku ikitesa wananchi wake ?

Unaweza kunitajia nchi yoyote tajiri ambayo inatesa na kulaza wananchi wake giza na kuwanyima chakula ili kuokoa Dunia ?
Moja sidhani kama sisi ni wa kwanza kwenye fight againt environment degradation (ukiona uharibifu wa vyanzo vya maji na deforestation huenda ukabadili kauli)

Pili huenda sisi tukaathirika zaidi na huu uchafuzi kutokana na umasikini wetu sababu hatuna Plan B wala uwezo wa kuwanusurufu watu wetu mambo yakiwa ndivyo sivyo...

Tatu nina uhakika kwa utunzaji mazingira tunafaidika financially (either kwa kutaka au kwa utapeli ili kuonena tunajali..., ila who Cares..., the End Justifies the Means)

Kwahio tufanye nini ?, Kuliko kuendelea kuchafua au kuacha wachafuzi tupige kelele waache na kila wakichafua wagharamike kusafisha na its to their own interest kuwasaidia wasiojiweza ila nao waache kuchafua... Dunia ni moja na Human Made Boundaries haifanyi uchafu wa point A usiende point B...

Ili China wasitumie makaa ya mawe wanaweza kuwashurutisha wanunue natural gas kutoka huko au kule (na hapo ni mpaka tukipata nishati bora zaidi ya hizo nazo ziwekwe kapuni)
 
Kama ni masikini wa mwisho huyo siyo masikini, masikini ni yule masikini wa kwanza.
Tajiri wa mwisho
Tajiri wa kwanza
Nani tajiri?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kwenye gwaride inaitwa nyuma geuka. Wakwanza anakuwa wa mwisho
 
Maajabu, Tanzania ni moja kati ya nchi masikini zaidi Duniani, inaishi kwa handouts, raisi wake anafunga safari kusafiri Mabara kutafuta mkopo wa dola milioni 100 USD, hapo hapo inafanya kila inalowezekana kuokoa Dunia isiangamie na climate change, hii ni nchi ambayo mchango wake kwenye CO2 emission ni negligible, mfano inaweza kuzalisha umeme usiozidi 1500 MW kuhudimia watu zaidi ya Milioni 45 vs Afrika Kusini wana MW 49 000 na hawajacommit kwenye climate change kama sisi.

Je, tuko out of touch ? Au labda hata hatuelewi nini kinaendelea kwenye hata mambo ya global warming ?
Kama unajua kwamba Tanzania inaishi kwa handouts,basi pia ujue kwamba ni muhimu kujikomba kwa hao wanaotoa hizo handouts,kwa kuzisupport sera zao.
 
Moja sidhani kama sisi ni wa kwanza kwenye fight againt environment degradation (ukiona uharibifu wa vyanzo vya maji na deforestation huenda ukabadili kauli)

Pili huenda sisi tukaathirika zaidi na huu uchafuzi kutokana na umasikini wetu sababu hatuna Plan B wala uwezo wa kuwanusurufu watu wetu mambo yakiwa ndivyo sivyo...

Tatu nina uhakika kwa utunzaji mazingira tunafaidika financially (either kwa kutaka au kwa utapeli ili kuonena tunajali..., ila who Cares..., the End Justifies the Means)

Kwahio tufanye nini ?, Kuliko kuendelea kuchafua au kuacha wachafuzi tupige kelele waache na kila wakichafua wagharamike kusafisha na its to their own interest kuwasaidia wasiojiweza ila nao waache kuchafua... Dunia ni moja na Human Made Boundaries haifanyi uchafu wa point A usiende point B...

Ili China wasitumie makaa ya mawe wanaweza kuwashurutisha wanunue natural gas kutoka huko au kule (na hapo ni mpaka tukipata nishati bora zaidi ya hizo nazo ziwekwe kapuni)

Unaota nafikiri, unaongelea Utopia na siyo uhalisia, isitoshe labda nikuulize swali personal kama ni sawa, je, wewe unatumia umeme nyumbani kwako ? Una friji, jiko au hata air conditioning ? Unakwendaje kazini kwa mguu au una gari ?
 
Unaota nafikiri, unaongelea Utopia na siyo uhalisia, isitoshe labda nikuulize swali personal kama ni sawa, je, wewe unatumia umeme nyumbani kwako ? Una friji, jiko au hata air conditioning ? Unakwendaje kazini kwa mguu au una gari ?
duh...kazi kubwa sana... Ungenisoma tangia mwanzo hii ni Safari towards a greener Earth hatufiki leo wala kesho ila shurti tufanye hivyo kama tukitaka tufike at all..., tunaendelea kutumia energy efficient methods, jiko, friji, ac na magari ya karne zile ni tofauti na za leo (they are better and more energy efficient)

Sasa kama wao wanachafua zaidi yetu sisi ambao tunaathirika pia tupige kelele waache sio kwamba tugawane uchafuzi...

Hivi unajua the Most reliable Energy Source ? Jibu ni Nuclear ila kwanini haitumiki zaidi ? (utagundua kwamba efficiency na kupata to nishati sio the only factor in this equation)
 
duh...kazi kubwa sana... Ungenisoma tangia mwanzo hii ni Safari towards a greener Earth hatufiki leo wala kesho ila shurti tufanye hivyo kama tukitaka tufike at all..., tunaendelea kutumia energy efficient methods, jiko, friji, ac na magari ya karne zile ni tofauti na za leo (they are better and more energy efficient)

Sasa kama wao wanachafua zaidi yetu sisi ambao tunaathirika pia tupige kelele waache sio kwamba tugawane uchafuzi...

Hivi unajua the Most reliable Energy Source ? Jibu ni Nuclear ila kwanini haitumiki zaidi ? (utagundua kwamba efficiency na kupata to nishati sio the only factor in this equation)

Lakini haujajibu swali langu nimekuuliza wewe binafsi kama unatumia umeme, jiko, friji, ac au hata kama una gari la kuendea kazini kila siku …
 
Lakini haujajibu swali langu nimekuuliza wewe binafsi kama unatumia umeme, jiko, friji, ac au hata kama una gari la kuendea kazini kila siku …
Swali lako halina maana sababu hakuna mtu aliyesema mtu / watu wasitumie vitu vyote hivyo suluhisho ni kufanya hivyo vitu more energy efficient.., ndio umeme tunaotumia sasa uzalishaji mwingi sio makaa ya mawe (ingawa tunayo na tungeweza kuyatumia) fridge hazitumii tena Ozone degrading refrigerants kama zamani na magari pia hayachafui kama zamani..., ingawa sababu watumiaji tumeongezeka hatuna budi kukuna vichwa ni vipi tunatoka hapa tunafika pale..., Jibu ambalo halijapatikana ila linaendelea kupatikana daily kwa watu kuumiza akili...
 
Swali lako halina maana sababu hakuna mtu aliyesema mtu / watu wasitumie vitu vyote hivyo suluhisho ni kufanya hivyo vitu more energy efficient.., ndio umeme tunaotumia sasa uzalishaji mwingi sio makaa ya mawe (ingawa tunayo na tungeweza kuyatumia) fridge hazitumii tena Ozone degrading refrigerants kama zamani na magari pia hayachafui kama zamani..., ingawa sababu watumiaji tumeongezeka hatuna budi kukuna vichwa ni vipi tunatoka hapa tunafika pale..., Jibu ambalo halijapatikana ila linaendelea kupatikana daily kwa watu kuumiza akili...

Lina maana sana kwa mazingira ya Tanzania, kwa nini unalikwepa kulijibu?
 
Back
Top Bottom