Wewe jamaa vipi? Chanzo cha ugomvi ni nini? Ukigombana na mtu ukamshinda inamaana unachukua kile mlichokuwa mnagombania! Kama mnagombania ardhi, unachukua ardhi! Kama mlikuwa mnagombania madaraka (siasa) unachukua madaraka! Kama ulikuwa unagombania papuchi na mpenzi/mke alipokuwa anakubania, ukimshinda unamwinamisha au unapanua mapaja na kuanza kuichakata papuchi mpaka baaasii! Ujerumani iliposhindwa vita ilipokonywa makoroni yake yote na kutungiwa sheria za kuisambaratisha! Wakaigawa katikati ambapo magharibi ikatawaliwa na Ulaya na Marekani na Mashariki ikatawaliwa na Urusi na nchi za kijamaa!