Nchi moja imesalia kutia mkataba wa bisahara huru Afrika, huku Tanzania na nchi chache zikiendelea kununa

Nchi moja imesalia kutia mkataba wa bisahara huru Afrika, huku Tanzania na nchi chache zikiendelea kununa

Kumbe huu mkataba ni within Africa countries

Au utaruhusu na bidhaa za Europe kuja Africa kwa kodi kiduchu?

Sent using my iPhone using jamiiforum app
African Continental Free Trade Area(AfCFTA) For Africa by Africans, wazo ambalo lilitekelezwa kwa kushirikisha Umoja wa Afrika, A.U.
 
Funny enough unaweza kuta ni mradi wa WB au imf. mbaya zaidi kuna porous nyingi mfano EPA agreement , ndio lango Lao la bidhas kutoka Europe kuuzwa africa. pia kuna double agent within Africa leaders ambao hubeba agenda ya wanaotunyonya, mwisho wa siku tutaingia wazima wazima. napendekeza tuanze na capacity building za biashara mutual agreement tuache kudharauliana tuaminiane ndio tutangaze mambo yetu. Kenya wanatengeneza magari lakini katu hutasikia wakihitaji Chuma toka Tanzania au conalt from Congo au kuwapa Burundi watengeneze hata carpert za magari.
So kumbe ni upuuzi tu yaani waache chuma karibu wakanunue ulaya alafu wauze bidhaa zao Africa kwa kupunguziwa
Kodi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Mataifa ya Afrika yameafikiana kwenye azimio la biashara huru baina ya nchi za Kiafrika, wote wametia saini kasoro nchi chache ambazo zipo zimenuna kupita maelezo. Hizi ni Eritrea, Benin na Tanzania.
Kulingana na itifaki ni kwamba sio lazima wote watie saini, imesalia nchi moja ikitia saini basi shughuli zinaanza, Ethiopia walikua wamenuna ila wameshawishika na kutia saini juzi. Na kwa vile siku hizi Ethiopia na Eritrea wanaendana, nategemea hao Eritrea watatia hivi karibuni halafu milango ifungwe na shguhuli za kuratibu mkataba zianze.
Kawaida Watanzania tumewazoea wao wapo wapo tu, hununia kila kitu hata huku EAC tumechelewa sana kwa ajili yao, ni wagumu sana kufahamu chochote huchukua miaka kabla chochote kiwaingie au wakielewe, sijui ni mfumo wa elimu au ujamaa au nini huwadumaza hivi, lazima wakutane vikao vya kula posho ila kwa sasa hatuwategemei tena maana Afrika inaelekea kufunguka yote, wao wakipata akili watazinduka na kuchangamkia japo watatukuta tupo mbali.
-----------------------------

Hii ramani inaonyesha mataifa yalivyotia saini

afct.jpg


Ethiopia last week ratified the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), leaving only one more ratification for it to take effect.
Twenty-two ratifications are required for the agreement to enter into force and so far 21 countries have ratified their instruments.
Since the March 2018 AU Summit in Kigali when the continental pact was launched and signed by 44 states, eight more — South Africa, Sierra Leone, Lesotho, Burundi, Namibia, Guinea Bissau, Botswana and Zambia — have signed. Only Eritrea, Benin, Nigeria and Tanzania remain.
To date, 15 countries — Ghana, Kenya, Rwanda, Niger, Chad, Congo Republic, Djibouti, Guinea, eSwatini, Mali, Mauritania, Namibia, South Africa, Uganda, Côte d’Ivoire — have deposited their instruments of AfCFTA ratification with the Chairperson of the African Union Commission. Sierra Leone, Senegal, Togo, Egypt and Zimbabwe have received parliamentary approvals for ratification.
According to Stephen Karingi, director of the Regional Integration and Trade Division at the United Nations Economic Commission for Africa, the remaining items for discussion on the AfCFTA are competition, provisions for investment, intellectual property and e-commerce. So far the protocols on goods, services and dispute settlement have been completed and their annexes will be ready by July.
“The second phase of negotiations on the remaining clauses will begin soon,” We expect that the discussions will be concluded early 2021,” said Dr Karingi.

Only one country needed to realise Africa single market

Mchina anawaangalia tu, mkishaanza mazungumzo na kuukubali rasmi basi atawaadabisha hasa Kenya ambaya mara mko ulaya mara china, umalaya wenu utawaponza
 
Msipojiondoa kwenye huo mtazano wa superiority dhidi ya nchi nyingine mtarajie mikwamo mingi sana kwa kila mtakachopigia debe. Hivi mnadhani mtaxamo wenu juu ya Burundi warundi wanaugurahia?. mnadhani mnaweza kukaa nao meza moja?. Kenya mnajisahau sana kuna siku mtagundua mpo nyuma ya mnaodhani Mmewatangulia.
Kama wakenya wenyewe kwa wenyewe wanabaguana kudharauriana kwa ajili ya makabila yao unashangaa mkenya kuidharau burundi,hao jamaa ubinfsi upo kwenye damu yao
 
Hili lisikutie wasiwasi, tukipata nchi moja ya mwisho kutia saini Tz tutawaacha muendelee kutafakari, kuwaza, kuwazua, kudadavua, kutathmini, kufikiri, kutaamali, kudhukuru mpaka siku mtie akili....
Sasa wewe inakuhusu nini! Hata tusiposaini? Tafute nchi moja msaini halafu mmuendelee, kama Tanzania haijasaini haina haja ya kuanzisha thread na maneno yako ya kejeli sisi tunakuangalia halafu tunasema hiiii hiiiii aaaaha
 
Sasa wewe inakuhusu nini! Hata tusiposaini? Tafute nchi moja msaini halafu mmuendelee, kama Tanzania haijasaini haina haja ya kuanzisha thread na maneno yako ya kejeli sisi tunakuangalia halafu tunasema hiiii hiiiii aaaaha
it's better not to sign , wanatutafuta Sisi hawa. warned Congo basi kuna fursa
 
Nope, it's not about rivaling for the tournament's sake, it's about delivering the best for the nation

If its all about rushing to be admired by others then Bagamoyo Port projet would have been in the running right now but the advocacy of flag-waving, national pride, devotion and sense of attachment to a homeland and alliance with other ujamaa sentiments make nationalism bae.
We always have to think deep before diciding so that we dont harm others like the issue of airline joint venture among rwanda kenya and s.africa.Kenya never knew they only value equivalent to 3 aeroplanes,reasoning was a problem.
 
Tanzania is always do some due diligence and surveying pros and cons to rectify our commitment to any complex area

We should activate the comprehensive appraisal of any contract undertaken by the sake of our interests, especially to establish its assets and liabilities and evaluate its commercial potential.

Perhaps if you don't know, we had stall multi billion dollars contracts about the NLG plant, mchuchuma and liganga project to mention a few but all totaling more than 60$ billions they were already structured from the previous regime only to be inked but the current power reconsidered the whole process freshly.

So its how we go now. Concrete culture indeed.
Broo..............ongea tu Kiswahili.
 
Mataifa ya Afrika yameafikiana kwenye azimio la biashara huru baina ya nchi za Kiafrika, wote wametia saini kasoro nchi chache ambazo zipo zimenuna kupita maelezo. Hizi ni Eritrea, Benin na Tanzania.
Kulingana na itifaki ni kwamba sio lazima wote watie saini, imesalia nchi moja ikitia saini basi shughuli zinaanza, Ethiopia walikua wamenuna ila wameshawishika na kutia saini juzi. Na kwa vile siku hizi Ethiopia na Eritrea wanaendana, nategemea hao Eritrea watatia hivi karibuni halafu milango ifungwe na shguhuli za kuratibu mkataba zianze.
Kawaida Watanzania tumewazoea wao wapo wapo tu, hununia kila kitu hata huku EAC tumechelewa sana kwa ajili yao, ni wagumu sana kufahamu chochote huchukua miaka kabla chochote kiwaingie au wakielewe, sijui ni mfumo wa elimu au ujamaa au nini huwadumaza hivi, lazima wakutane vikao vya kula posho ila kwa sasa hatuwategemei tena maana Afrika inaelekea kufunguka yote, wao wakipata akili watazinduka na kuchangamkia japo watatukuta tupo mbali.
-----------------------------

Hii ramani inaonyesha mataifa yalivyotia saini

afct.jpg


Ethiopia last week ratified the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), leaving only one more ratification for it to take effect.
Twenty-two ratifications are required for the agreement to enter into force and so far 21 countries have ratified their instruments.
Since the March 2018 AU Summit in Kigali when the continental pact was launched and signed by 44 states, eight more — South Africa, Sierra Leone, Lesotho, Burundi, Namibia, Guinea Bissau, Botswana and Zambia — have signed. Only Eritrea, Benin, Nigeria and Tanzania remain.
To date, 15 countries — Ghana, Kenya, Rwanda, Niger, Chad, Congo Republic, Djibouti, Guinea, eSwatini, Mali, Mauritania, Namibia, South Africa, Uganda, Côte d’Ivoire — have deposited their instruments of AfCFTA ratification with the Chairperson of the African Union Commission. Sierra Leone, Senegal, Togo, Egypt and Zimbabwe have received parliamentary approvals for ratification.
According to Stephen Karingi, director of the Regional Integration and Trade Division at the United Nations Economic Commission for Africa, the remaining items for discussion on the AfCFTA are competition, provisions for investment, intellectual property and e-commerce. So far the protocols on goods, services and dispute settlement have been completed and their annexes will be ready by July.
“The second phase of negotiations on the remaining clauses will begin soon,” We expect that the discussions will be concluded early 2021,” said Dr Karingi.

Only one country needed to realise Africa single market
Tanzania haiwezi kusaini mkataba wowote ule ambao hauna maslahi kwetu.
 
But huoni kama tunachelewa? People are running
Waafrika tumekimbilia sana kila kitu dini,tamaduni,kuwapokea watu weupe tukatawaliwa,kuingia mikataba ya ovyo kwa wageni.tumewapa uraia ovyo wamepora ardhi njaa inatesa ardhi wamekalia.mbio ziendane na tathimini makini. UK leo wanajaribu kuchomoka wapi gia imenasia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utasikia kama Kenya wapo sisi hatupo.
Hahaha! 😀 Umeona eeh? Alafu hadi sasa hivi kwenye uzi huu sijaona hata mtz mmoja mzalendo ambaye ameibuka na taarifa kamili ya msimamo wa serikali yao au hata taasisi yeyote ile ya kitanzania. Viongozi wao pia huwa wanafanana kwa sana na hawa raia, yaani huwa wapo wapo tu. Kwao ni bora tu jogoo awike kukuche alafu jua litue walale, kesho waamkie hiyo process fupi tena.
 
Waafrika tumekimbilia sana kila kitu dini,tamaduni,kuwapokea watu weupe tukatawaliwa,kuingia mikataba ya ovyo kwa wageni.tumewapa uraia ovyo wamepora ardhi njaa inatesa ardhi wamekalia.mbio ziendane na tathimini makini. UK leo wanajaribu kuchomoka wapi gia imenasia!

Sent using Jamii Forums mobile app

Yote uliyoyataja hapa ndio sababu tunaungana kama Waafrika na kufunguliana masoko baina yetu ili kuepuka kunyonywa na mabeberu, leo hii Tanzania mnanyonywa hadi mumekauka na kubaki mahandaki, gesi inaliwa mchana kweupe hadi inakosa hata maana yake bora ingebaki ardhini, rais wenu mwenyewe alikiri kwamba mabeberu yanawatafuna bila huruma.

Nchi zote za Afrika zimeungana kasoro nyie tu, hamjioni ni kama mna ukichaa wa kiaina, huwa mpo slow sana hata kifikira, kimtazamo na kimawazo.
 
Yote uliyoyataja hapa ndio sababu tunaungana kama Waafrika na kufunguliana masoko baina yetu ili kuepuka kunyonywa na mabeberu, leo hii Tanzania mnanyonywa hadi mumekauka na kubaki mahandaki, gesi inaliwa mchana kweupe hadi inakosa hata maana yake bora ingebaki ardhini, rais wenu mwenyewe alikiri kwamba mabeberu yanawatafuna bila huruma.

Nchi zote za Afrika zimeungana kasoro nyie tu, hamjioni ni kama mna ukichaa wa kiaina, huwa mpo slow sana hata kifikira, kimtazamo na kimawazo.
unganeni mje mtukomboe
 
Gambia ametia sahihi, muungano unaweza endelea vizuri sasa.
 
Gambia ametia sahihi, muungano unaweza endelea vizuri sasa.

Kwisha habari, mama Afrika nakupenda, tutaijenga wenyewe tofali kwa tofali, bati kwa bati, hili soko la watu zaidi ya bilioni moja tukiwa na usemi mmoja, msimamo mmoja tutaeleweka, tutakua na changamoto ila kuna msemo huwa napenda kutumia kwenye maisha yangu "The best way out is always through"
Yaani usikimbie changamoto au kujipa vijisababu vya kijinga, pambana na hali kama ilivyo, pita mbele kwa mbele, hamna cha hatua za nyuma....huko huko mbele kitakachozaliwa tutalea tu.
 
Tatizo sio kutia saini ila kwenye utekelezaji ndio ngumu mfano ins wazulu wanachokifanya sasa hivi huko South

Angalia Uganda na Rwanda
Tunisia na Libya
Kwisha habari, mama Afrika nakupenda, tutaijenga wenyewe tofali kwa tofali, bati kwa bati, hili soko la watu zaidi ya bilioni moja tukiwa na usemi mmoja, msimamo mmoja tutaeleweka, tutakua na changamoto ila kuna msemo huwa napenda kutumia kwenye maisha yangu "The best way out is always through"
Yaani usikimbie changamoto au kujipa vijisababu vya kijinga, pambana na hali kama ilivyo, pita mbele kwa mbele, hamna cha hatua za nyuma....huko huko mbele kitakachozaliwa tutalea tu.

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Back
Top Bottom