Nchi moja imesalia kutia mkataba wa bisahara huru Afrika, huku Tanzania na nchi chache zikiendelea kununa

Tatizo sio kutia saini ila kwenye utekelezaji ndio ngumu mfano ins wazulu wanachokifanya sasa hivi huko South

Angalia Uganda na Rwanda
Tunisia na Libya

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Soma ujumbe wangu mara kdhaa, nimesema changamoto zitakuwepo lakini tutapambana nazo humu huku Afrika.
Usiwe mwepesi wa kukimbia kila ukikumbana na vikwazo, pambana tu.
Hao vijana wa South wanafanya kisa umaskini wa Kiafrika, adui wetu mkubwa ni umaskini, raslimali zinaliwa na kutoroshwa nje ya Afrika, vijana wanakosa ajira na kuanza vituko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…