Nchi nyingi za Ulaya na Amerika, Protestants wakuwa Atheists na wengine wamebadilika kuwa Wakatoliki

Nchi nyingi za Ulaya na Amerika, Protestants wakuwa Atheists na wengine wamebadilika kuwa Wakatoliki

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Hata hapa Tanzania kama hamtajifunza kwa wenzenu wa nchi za Ulaya na Marekani mtapoteza influence sana miaka michache ijayo

Kumbukeni Gene Z, Gen Alpha na sasa Gen Beta sio kizazi kitakacho danganywa na injili ya vitu na mafanikio ya haraka na miujiza. Jifunzeni kwa Kanisa Katoliki linalojikita kwenye kufundisha Injili na neno na Mungu na Imani kwa kina. Pia limekuwa likitoa huduma za Elimu, Afya huduma nyingine kwa jamii na kufanya kuwa sio imani
tuu bali sehemu ya maisha ya watu.

Leo hii Northern Ireland, Germany ni strong hold ya Roman Catholics. United State of America 26% are Catholics wakati ilikuwa ni Protestants strong hold by 2050 USA itakuwa Catholic majority country.

Asia pia kanisa Katoliki waliingia China na kwa sasa kiasi cha watu million 10 ni Wakatoliki hivyo hivyo kwa India, Southern Korea na pia baadhi nchi kama Pakistan namba inaongezeka kidigo kidigo.
 
Wewe ndio huelewi soma ujue vizuri. Maaskofu kadhaa wa Anglican
nchi Uingereza wamebadika kuwa Wakatoliki. Tony Blair aliyekuwa waziri
Mkuu wa Uingereza alibadilika na kuwa Mkatoliki hao ni watu maarufu ila
wa kawaida ndio wengi zaidi.
Waanglikana ni wakatoliki tu. Wakatoliki wa Uingereza waliamua kujiita waanglicana sababu ya utaifa na mfalme wao hakuelewana na papa kuhusu ishu zake.
 
Hivi kwanini wakatoliki hawaanguki mapepo..?😃
Katoliki Yesu yupo, Sakramenti ya Ubatizo inamuondolewa mtu
dhambi ya asili na nyingine hivyo kwa chapa hiyo pepo hawezi
kutia mguu.

Na hata hivyo wakati mwingine hao wanaoonekana wanaanguka mapepo
wengi ni maigizo tu mtu anasukumwa aanguke au anajiangusha mwenyewe
Those are arrangees 🤣
 
According to Douglas Murray, the most of human development in sciences, technology and philosophy for the last 700 years was heavily pushed by protestant states like Prussia, Britain and Sweden.​
 
Hata hapa Tanzania kama hamtajifunza kwa wenzenu wa nchi za
Ulaya na Marekani mtapoteza influence sana miaka michache ijayo

Kumbukeni Gene Z, Gen Alpha na sasa Gen Beta sio kizazi kitakacho
danganywa na injili ya vitu na mafanikio ya haraka na miujiza.
Jifunzeni kwa Kanisa Katoliki linalojikita kwenye kufundisha Injili na
neno na Mungu na Imani kwa kina. Pia limekuwa likitoa huduma
za Elimu, Afya huduma nyingine kwa jamii na kufanya kuwa sio imani
tuu bali sehemu ya maisha ya watu.

Leo hii Northern Ireland, Germany ni strong hold ya Roman Catholics. United
State of America 26% are Catholics wakati ilikuwa ni Protestants strong hold by
2050 USA itakuwa Catholic majority country.

Asia pia kanisa Katoliki waliingia China na kwa sasa kiasi cha watu million 10 ni Wakatoliki
hivyo hivyo kwa India, Southern Korea na pia baadhi nchi kama Pakistan namba inaongezeka
kidigo kidigo.
Jiulize umesha wahi muona Padri anapiga moyowe viwanjani, Radio, TV, ukumbini n.k.???
 
Waanglikana ni wakatoliki tu. Wakatoliki wa Uingereza waliamua kujiita waanglicana sababu ya utaifa na mfalme wao hakuelewana na papa kuhusu ishu zake.
Baada ya kuhasi huwezi sema ni wa Katoliki walikuwa Protestants. Je Ujerumani,
Sweeden, Finland na Norway ambao Lutheran wanapoteza influence na Katoliki
wanaongezaka. Utasemaje?

Vipi USA kwa Baptist Church wakiwa majority ila now Catholics wana.
surplus na kuwa majority. Unasemaje?

Vipi Northern Ireland ambayo Presbyterian walikua majority now ni
Catholics majority Unasemaje?
 
Wewe ndio huelewi soma ujue vizuri. Maaskofu kadhaa wa Anglican
nchi Uingereza wamebadika kuwa Wakatoliki. Tony Blair aliyekuwa waziri
Mkuu wa Uingereza alibadilika na kuwa Mkatoliki hao ni watu maarufu ila
wa kawaida ndio wengi zaidi.
KImsingi kanisa Katoloki ndio kanisa mama......Padri wa kwanza ku Protest yaani Martin Luther;;;;;;;
Alikuja na 95 Theses
 
Baada ya kuhasi huwezi sema ni wa Katoliki walikuwa Protestants. Je Ujerumani,
Sweeden, Finland na Norway ambao Lutheran wanapoteza influence na Katoliki
wanaongezaka. Utasemaje?

Vipi USA kwa Baptist Church wakiwa majority ila now Catholics wana.
surplus na kuwa majority. Unasemaje?

Vipi Northern Ireland ambayo Presbyterian walikua majority now ni
Catholics majority Unasemaje?
Umejuaje kama Wakatoliki wanaongezeka kwa sababu ya protestants kupoteza influnce na sio kwa sabubu ya kuzaliana kwa sababu wakatoliki wanapinga uzazi wa mpango??
 
According to Douglas Murray, the most of human development in sciences, technology and philosophy for the last 700 years was heavily pushed by protestant states like Prussia, Britain and Sweden.​
Tunazungumzia Imani sio maendeleo yanayofanya watu waseme
hakuna Mungu.
 
Umejuaje kama Wakatoliki wanaongezeka kwa sababu ya protestants kupoteza influnce na sio kwa sabubu ya kuzaliana kwa sababu wakatoliki wanapinga uzazi wa mpango??
Mimi nasoma zote hizo ni sababu kubadi imani kuwa Wakatoliki, kuzaliana na
Uhamiaji.
 
Back
Top Bottom