Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #21
Kama wao wana kiongozi wao kwa nini useme wao ni Wakatoliki. Sema wameMkatoliki na muanglikana ni kujiita tu. Na pope siyo kitu cha ajabu zaidi ya kusema Askofu wa Roma. Kama ambavyo Anglikana wana Askofu wa Canterbury. Imani yao na ibada yao inasema wao ni kitu kimoja.
tokana na Katoliki na wali copy mambo mengi Katoliki kama ilivyo kwa Lutheran
lakini usisema sisi ni wa moja.