Nchi nyingi zakatisha mahusiano na Israel. China waifuta kabisa kwenye ramani. Tanzania tufuatie

Nchi nyingi zakatisha mahusiano na Israel. China waifuta kabisa kwenye ramani. Tanzania tufuatie

Wachina wana hasira na wayahudi, wanadai Wayahudi ndiyo waliofinance Upeneyezaji wa madawa ya kulevya(OPIUM)uliokuwa unafanywa na waingereza kwa jamii za wachina ili wachina wapate uraibu halafu Uingereza iweze kutawala uchumi wa China. Hii ilipelekea mfalme wa China kutangaza vita dhidi ya uingereza katika ile inayoitwa Opium wars kitu kilichopelekea China kushindwa vita na moja ya athari hiyo ni Hongkong kuangukia mikononi mwa China kwa miaka zaidi ya 100
Usibadilishe historia, kwenye opium war China ndo alishindwa hadi kupelekea waingereza kuikalia Hong Kong, wamekuja kuirejesha tena kwa China majuzi tu 1997
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Nilidhani wanaiambua Hamasi iwaachie mateka, unailaumu Israel wakati wanapigana kukomboa watu wao.
 
Wayahudi wakiamua kutorudi nyuma, huwa hawarudi, ni watu wenye msimamo sana
Huo hauitwi msimamo.Ni kiburi na kiburi si sifa nzuri ya kibinadamu.Katika historia tangu kuumbwa kwa Ulimwengu wote waliofanya viburi vilivyopitiliza waliangamizwa na anayestahiki sifa hiyo.
 
Wachina wana hasira na wayahudi, wanadai Wayahudi ndiyo waliofinance Upeneyezaji wa madawa ya kulevya(OPIUM)uliokuwa unafanywa na waingereza kwa jamii za wachina ili wachina wapate uraibu halafu Uingereza iweze kutawala uchumi wa China. Hii ilipelekea mfalme wa China kutangaza vita dhidi ya uingereza katika ile inayoitwa Opium wars kitu kilichopelekea China kushindwa vita na moja ya athari hiyo ni Hongkong kuangukia mikononi mwa China kwa miaka zaidi ya 100
mikononi mwa Uiengereza
 
Wachina wana hasira na wayahudi, wanadai Wayahudi ndiyo waliofinance Upeneyezaji wa madawa ya kulevya(OPIUM)uliokuwa unafanywa na waingereza kwa jamii za wachina ili wachina wapate uraibu halafu Uingereza iweze kutawala uchumi wa China. Hii ilipelekea mfalme wa China kutangaza vita dhidi ya uingereza katika ile inayoitwa Opium wars kitu kilichopelekea China kushindwa vita na moja ya athari hiyo ni Hongkong kuangukia mikononi mwa China kwa miaka zaidi ya 100
Weka chanzo sasa cha hii historia.
 
Umeambiwa Wayahudi na si Israel.
Kama ndio ivyo basi ujue awamu hii anaepigana vita ni Taifa la Israel na sio wayahudi. Kwaiyo kuwatuumu wayahudi wakati anaepigana vita ni Taifa la Israel unakuwa unakosea.
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Wakate tu hayo mahusiano sio mara ya kwanza Israel kutengwa na wafia dini ila kichapo kwa Hamas kitaendelea mpaka mpaka Hamas waachilie mateka na wajisalimishe wenyewe

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Tangu vita hii ianze katibu mkuu wa UN, Antonio Gutierrez alikuwa anawalalamikia Israel kuwa wasitishe mashambulizi.

Israel wakamkatalia ndo kwanza wakamwambia awaondoe wafanyakazi wa mashirika ya UN hapo Gaza Kwa maana wanataka kukichafua .

Katibu mkuu ameona kuendelea kuwalalamikia Israel wasitishe mashambulizi hiyo mbinu haileti matunda yoyote.

Jana aka tweet kuwa anawaomba HAMAS iwaachie mateka wa Israel Ili kuokoa mauaji yanayoendelea Gaza , nenda tweeter ukasome comments za waarabu na waislam walivyomuijia juu😂😂😂.

Kwa kifupi jamaa wanamlalamikia Israel wakati huo hawataki uwalaumu HAMAS 😅😅😅
Vichaa hawa
Kwa kifupi hii jamii ni ya watu walalamishi kama watoto yatima.

Wanaanzisha ugomvi wakiguswa wao kidogo tu mikelele hadi kuzimu watasikia!
 
Wakate tu hayo mahusiano sio mara ya kwanza Israel kutengwa na wafia dini ila kichapo kwa Hamas kitaendelea mpaka mpaka Hamas waachilie mateka na wajisalimishe wenyewe

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Israel hawana nia ya kuokoa mateka na Hamas hawawezi kujisalimisha kama askari wa Ukraine kule Azovstal
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.

Poleni sana,zile alakbar zimepotelea wapi hadi sasa kuhitaji huruma ya kimataifa,endeleeni na alakbar zenu,mayahudi wanajua jinsi ya kudeal na magaidi. No mercy.
 
Wakate tu hayo mahusiano sio mara ya kwanza Israel kutengwa na wafia dini ila kichapo kwa Hamas kitaendelea mpaka mpaka Hamas waachilie mateka na wajisalimishe wenyewe

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Ya kwamba A.kusini ni wafia dini?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
hivi kwanini we ni mpumbavu hivyo? Huna kazi ya kufanya, hao wapalestina hata wanakufahamu? pimbi ni pimbi tu, hiyo dini umeletewa na waarabu we kima. Acha uzushi wa kipuuzi hangaika na umaskini wako.
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
"kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani "ni kuzima moto kwa petrol

Wakifa raia upande wa Israel kwako ni sawa kwa sababu ndicho kitakachotokea na Israel siyo wanyonge tutarajie vifo maradufu huko palestinia na kwingineko

Nafikiri mngebase kwenye kuwahimiza hamas na ndugu zake kusitisha kujibu mashambulizi yoyote ya Israel kuanzia sasa
Na kuwaachia mateka wa Israel bila masharti
Na ikibidi kutangaza kuomba amani na Israel ili kuwaponya raia wake ambao wanauwawa kama kweli palestinia na wengineo duniani wana uchungu na hilo
Lakini tofauti na hapo inatafsiriwa kwamba palestinia mnaiweza bato na kipigo kitaendelea sana bila kujali


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Waliokatisha yumkini hawaoni haja ya kuendelea
 
Huo hauitwi msimamo.Ni kiburi na kiburi si sifa nzuri ya kibinadamu.Katika historia tangu kuumbwa kwa Ulimwengu wote waliofanya viburi vilivyopitiliza waliangamizwa na anayestahiki sifa hiyo.

Mtume alileta jeuri na kiburi kilichopelekea kunyweshwa Sumu na mtumwa wa kiyahudi, kisa kilichopelekea hadi kifo chake.
 
Back
Top Bottom