On Duty
JF-Expert Member
- Aug 21, 2020
- 566
- 1,083
Wasaalam wana jamvi.
Nakumbuka kipindi cha nyuma tulipokuwa primary tulikuwa tunaletewa kadi za chama cha kijani na tukilazimishwa wote kusaini kama wanachama wa hicho chama. Naona sasa hiyo kitu kama bado ipo vile maana kila wanachokiona mbele ni chao.
Hivi jamani inakuwaje mtu kupangiwa upande wa kuwa pasipo idhini yako? Yaani mtu ukiwa chama pinzani basi lazima uishi kwa wasiwasi na vitisho. Kwanini tulazimishwe kuwa upande Fulani?
Hilo chama lenu SILITAKI jamaniii, na kama kweli hilo chama linafanya ya msingi basi watu watakuja na kulipenda wenyewe yanini kulazimishwa!
Nakumbuka kipindi cha nyuma tulipokuwa primary tulikuwa tunaletewa kadi za chama cha kijani na tukilazimishwa wote kusaini kama wanachama wa hicho chama. Naona sasa hiyo kitu kama bado ipo vile maana kila wanachokiona mbele ni chao.
Hivi jamani inakuwaje mtu kupangiwa upande wa kuwa pasipo idhini yako? Yaani mtu ukiwa chama pinzani basi lazima uishi kwa wasiwasi na vitisho. Kwanini tulazimishwe kuwa upande Fulani?
Hilo chama lenu SILITAKI jamaniii, na kama kweli hilo chama linafanya ya msingi basi watu watakuja na kulipenda wenyewe yanini kulazimishwa!