Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

Hakuna kitu , mange kimambi wamemshindwa kumkamata
Inahusiana nini na kuwa ni jeshi lenye siri? Angeandika ni jeshi lenye nguvu hapo ndo ungeweza kufananisha?

(Kutomkamata huenda pia ikawa sehemu ya siri ya kwa nini hawajamkamata)
 
Mbona sijaona kale kanchi kalikosema tz imetuma majasusi ???
 
North Korea na mbwembwe zake wanamiliki silaha 8 za Nyukilia ? Source ya habari ni nini ? Halafu siri za majeshi yao si wanaficha ?
Pamoja na wewe kuidharau North Korea kuna watu wanailinganisha na sisi kwa umasikini je unakubaliana nao?
 
Hizi taarifa kazitoa CIA fact book ambapo fact nyingi zimechakachuliwa. Unategemea mtu wa kawaida ajue military secrets za China au Russia au hats Tanzania ? No way.
Mkuu ulikuwa unamaanisha hata sisi Tanzania tunaweza kuwa nalo walau moja?
 
Vipi wamemzuia Irani washindwe kumzuia north korea
Iran alisalimu amri sababu ya vikwazo

Ila North Korea mbishi kawekewa vikwazo vya kila aina ila hajali ..wananchi wanataabika

Iran waliangalia kujali hali yao ya uchumi zaidi ndio maana juzi Obama aliwaachia dollar billion300+ zilizokuwa zimeshikiliwa
 
Back
Top Bottom