Nchi wanazotoka wachezaji, hulka na tabia zao ( zingatia haya kipindi cha usajili)

Nchi wanazotoka wachezaji, hulka na tabia zao ( zingatia haya kipindi cha usajili)

Benjamin Tanim anacheza Singida black Stars na timu ya taifa ya Nigeria.
 
6 Zambia, Kenya, Uganda, Rwanda
Hawa waswahili kama local players tu. Wana vipaji vya kawaida mno japo hutokea wachache na wengi ndoto zao ni kucheza Tanzania.

Hapa umewasha moto😄 nawasubiri
 
Back
Top Bottom