sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #41
idadi kubwa ni waumini wa roma na lutheran...Hao wanaume wa Chad kama kweli wanaoa wewe fahamu kwamba hao sio wakristo.
Tafsiri quran, achana na biblia.idadi kubwa ni waumini wa roma na lutheran...
kuna mambo wakristo wanaminywa kwa mukosea kutafsiri biblia maana hakuna sehemu Mungu kakataza kuoa mke zaidi ya mmoja.
Ifike mahala jamii ikubaliane na uumbaji wa Mwenyezi Mungu na namna alivyomuumba mwanaume.
Nchini Chad, unaweza kuoa zaidi ya mke moja hata kwa ndoa ya kikristo, hali hii imepelekea zaidi ya nusu ya wanaume wenye imani ya kristo kuoa zaidi ya mke moja....kuna asilimia kubwa ya wanaume wakristo wenye mke zaidi ya moja kuliko waislamu.
Nchi kama zetu hizi ndoa za kikristo zipo kwa nadharia zaidi kuliko uhalisia, Mwanaume wa kiafrika kutosheka na mke moja ni nadra sana, ipo ndani enzi hadi enzi hata utamaduni wetu mababu zetu wameoa mke zaidi ya moja, hata kwenye biblia manabii kibao walioa mke zaidi ya moja na kufanya kazi za kinabii kwa baraka zote.
Matokeo ya hizi ndoa za mke moja michepuko imeshamiri sana ndoa za kikristo, Wanawake hujihisi wapo sawa na waume zao maana mume wake hana ujanja wa kuongeza mke, n.k.
Pia biblia haijawahi kukataza kuoa mke zaidi ya moja bali ni makanisa yaliyotengenezwa na wazungu yanayopotosha kwamba mwanaume inabi aoe mke moja ili kutimiza kauli ya "mwili moja", hilo neno halijawahi kumaanisha kwamba mwanaume asioe mke zaidi ya moja.
1 Wakorintho 6:16
Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
Mimi kwenye hii hoja yako na mada kwa ujumla nina swali moja fupi tu. Je, sheria ya ndoa ya Tanzania (iliyotungwa na serikali) inaruhusu mwanandoa wa kiume aliyefunga ndoa ya kikristo na kupewa cheti cha ndoa (cha serikali) kuoa zaidi ya mke mmoja hasa inapotokea kwamba kwenye cheti hicho hakuna sehemu yoyote iliyobainisha kwamba ndoa iliyofungwa na kutajwa kwenye hicho cheti ni ya mke mmoja au wengi?Kwan Serikali inahusika vipi na dini ya ukristo hadi iingilie huko??
Serikali inatambua ndoa ya mke zaidi ya mmoja!!
sasa unapotaka serikali kuingilia dini kwene maamuzi ya imani unakosea
Je ni dini au serikali inayoruhusu, kama ni serikali hata hapa kwetu inaruhusu hata 10
Nchi yetu haikatazi ndoa ya wake wengi hata kama we ni mkiristo.ukienda kuoa bomani unaruhusiwa kuchagua hii ndoa ni mke mmoja au utaongeza bdae hata kama we ni mkiristo,vivo hvyo ukioa kimila.Ifike mahala jamii ikubaliane na uumbaji wa Mwenyezi Mungu na namna alivyomuumba mwanaume.
Nchini Chad, unaweza kuoa zaidi ya mke moja hata kwa ndoa ya kikristo, hali hii imepelekea zaidi ya nusu ya wanaume wenye imani ya kristo kuoa zaidi ya mke moja....kuna asilimia kubwa ya wanaume wakristo wenye mke zaidi ya moja kuliko waislamu.
Nchi kama zetu hizi ndoa za kikristo zipo kwa nadharia zaidi kuliko uhalisia, Mwanaume wa kiafrika kutosheka na mke moja ni nadra sana, ipo ndani enzi hadi enzi hata utamaduni wetu mababu zetu wameoa mke zaidi ya moja, hata kwenye biblia manabii kibao walioa mke zaidi ya moja na kufanya kazi za kinabii kwa baraka zote.
Matokeo ya hizi ndoa za mke moja michepuko imeshamiri sana ndoa za kikristo, Wanawake hujihisi wapo sawa na waume zao maana mume wake hana ujanja wa kuongeza mke, n.k.
Pia biblia haijawahi kukataza kuoa mke zaidi ya moja bali ni makanisa yaliyotengenezwa na wazungu yanayopotosha kwamba mwanaume inabi aoe mke moja ili kutimiza kauli ya "mwili moja", hilo neno halijawahi kumaanisha kwamba mwanaume asioe mke zaidi ya moja.
1 Wakorintho 6:16
Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
Kwa hiyo Mungu alipoanzisha ndoa Adamu alikuwa na wake wangapi?Pia biblia haijawahi kukataza kuoa mke zaidi ya moja bali ni makanisa yaliyotengenezwa na wazungu yanayopotosha kwamba mwanaume inabi aoe mke moja ili kutimiza kauli ya "mwili moja", hilo neno halijawahi kumaanisha kwamba mwanaume asioe mke zaidi ya moja.
Waambie wasilimu tu ili waoe haraka. Ya nini kutaabika na kuna alternative?Ndoa za kikristo hupelekea pia vijana wengi wa kikristo kuchelewa kuoa, yani unakuta mtu ana miaka 33 bado hajaoa tu kwasababu ya kuhofia kuingia kwenye ndoa ambayo huwa ni kama gereza kwa jinsi Mungu alivyotuumba wanaume.
Vijana wengi wa kiislam huwa wanaoa kabla hata hawajafikia 25.
“Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.”Hapa zinazungumziwa ndoa za kikristo,
Anao akiwa na 25 ila akigikisha miaka 30 anakuwa ameacha wake Zaid ya wa4 Sasa hiyo ni ndoa ama kudonoa.Ndoa za kikristo hupelekea pia vijana wengi wa kikristo kuchelewa kuoa, yani unakuta mtu ana miaka 33 bado hajaoa tu kwasababu ya kuhofia kuingia kwenye ndoa ambayo huwa ni kama gereza kwa jinsi Mungu alivyotuumba wanaume.
Vijana wengi wa kiislam huwa wanaoa kabla hata hawajafikia 25.
Kama hujui kitu kaa kimya chief. Wewe hayo ya kiislam hujaweza kuyatimiza yote unataka kusema nini? Yesu mwenyewe ndio alisema tangu mwanzo hakuwa hivyo inampasa mume mmoja awe na mke mmoja. We kama unatamaa hujakatazwa oa tu.Imani yako ndio itayokufanya ufate unachoona ni sahihi,
Na pia hakuna sehemu katika biblia iliyokataza kuoa mke zaidi ya moja
Maana yake kila unapopata mke unapata kitu chema[emoji16]Apataye mke amepata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana.
Zingatia mke sio wake...
Concept ya hili andiko walimaanisha jinsia na sio Idadi.Na ndo maana kwenye kitabu hicho hicho kuna andiko linasema natufanye mtu kwa mfano wetu,zingatia mtu sio watu.Apataye mke amepata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana.
Zingatia mke sio wake...
Inaonekana hiyo biblia uisomi ukaielewa unaikariri.Kwa hiyo Mungu alipoanzisha ndoa Adamu alikuwa na wake wangapi?
Wewe kama unataka wake wengi silimu ili ukaoe wake wengi. Au kasajili dini yako binafsi yenye kuruhusu hilo. Ila kwa anayesoma Biblia anajua kuwa kwa Mkristo kuoa ni mke mmoja wa kike na mume mmoja wa kiume. Nukta! Hayo mengine yote yanatoka kwa yule mwovu!
Mwanamme mwenye wake 4 anakuwaga hana michepuko?( mwanamme ni mtu wa tamaa, hata wake 4 hawatamtosha , atachepuka tuu) Je wake wengi uwezo wa kutunza familia nzima upo?( kila mke atakuwa anazaa watoto)Ifike mahala jamii ikubaliane na uumbaji wa Mwenyezi Mungu na namna alivyomuumba mwanaume.
Nchini Chad, unaweza kuoa zaidi ya mke moja hata kwa ndoa ya kikristo, hali hii imepelekea zaidi ya nusu ya wanaume wenye imani ya kristo kuoa zaidi ya mke moja....kuna asilimia kubwa ya wanaume wakristo wenye mke zaidi ya moja kuliko waislamu.
Nchi kama zetu hizi ndoa za kikristo zipo kwa nadharia zaidi kuliko uhalisia, Mwanaume wa kiafrika kutosheka na mke moja ni nadra sana, ipo ndani enzi hadi enzi hata utamaduni wetu mababu zetu wameoa mke zaidi ya moja, hata kwenye biblia manabii kibao walioa mke zaidi ya moja na kufanya kazi za kinabii kwa baraka zote.
Matokeo ya hizi ndoa za mke moja michepuko imeshamiri sana ndoa za kikristo, Wanawake hujihisi wapo sawa na waume zao maana mume wake hana ujanja wa kuongeza mke, n.k.
Pia biblia haijawahi kukataza kuoa mke zaidi ya moja bali ni makanisa yaliyotengenezwa na wazungu yanayopotosha kwamba mwanaume inabi aoe mke moja ili kutimiza kauli ya "mwili moja", hilo neno halijawahi kumaanisha kwamba mwanaume asioe mke zaidi ya moja.
1 Wakorintho 6:16
Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
yah na mpaka anafikisha 30 si ajabu kukuta kashatoa taraka kwa wanawake 4Ndoa za kikristo hupelekea pia vijana wengi wa kikristo kuchelewa kuoa, yani unakuta mtu ana miaka 33 bado hajaoa tu kwasababu ya kuhofia kuingia kwenye ndoa ambayo huwa ni kama gereza kwa jinsi Mungu alivyotuumba wanaume.
Vijana wengi wa kiislam huwa wanaoa kabla hata hawajafikia 25.
Wewe usiyekariri umechangia nini cha maana sasa?Inaonekana hiyo biblia uisomi ukaielewa unaikariri.