Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

Kila mtu Dr, hata mimi namalizia masomo yangu nakuwa Dr wa mtaani.

Elimu haijawahi kuwa msaada kwa mtanzania, kwanza mengi anakaririshwa tu.

Let everyone be educated, within those fake doctors one day might rise the truly one.

Education is very important to every Tanzanian people.

We need education largely so as to do not give a chance for illiteracy to grow up in the country.
All we need is to seek for the best relatively education for Tanzanians, and not to go against education, and paving the way for illiteracy to take over.

Most of the youth groups they don’t believe on education kwasababu ya kufanya reference kutoka kwa watu walioshindwa kuzitumia elimu zao vyema, acha watu waelimike, tena wasisitize waende shule wapate hizo degrees then warudi wapambane na maisha wakiwa na elimu zao, Aristotle once said the educated one and non educated is like a death and life they have a big different.

Hakuna hasara katika elimu.
 
Let everyone be educated, within those fake doctors one day might rise the truly one.

Education is very important to every Tanzanian people...
Mkuu sikupingi, ila there's no need to address ourselves to everyone that we're doctors, professors etc, I really don't see the point.

Siku hizi utasikia "wakili msomi", hivi kuna wakili asiye msomi? Ma-engineer nao wanaanza kuja na swagger za kijinga saivi, same to cpa holders, yaani kila mtu anataka awe addressed kwa elimu yake, while the output of what they've achieved in class is barely noticed.
 
Hata diploma ni elimu pia tatizo ni utilization ya hiyo elimu.
Ukiwa born bright small education unaweza itumia effectively ukapata positive huge impacts ila born bogus hata usome phd nothing you can do to bring important impacts instead is egoism.
😂🤣Hiki kingereza Cha wapi?
Jordan University au udom?🤣😂
 
Mkuu sikupingi, ila there's no need to address ourselves to everyone that we're doctors, professors etc, I really don't see the point...
Yes, tatizo kubwa ni sifa na wala sio elimu, tatizo limeanza zamani kipindi ambacho mtoto ukisoma kijiji kizima kinaiheshimu familia husika kwakuwa wanamtoto msomi bila kuangalia impact yake kwa Jamii.

Ni muda sasa wa kuwa na mfumo mpya wa kitaifa ambao utawaheshimisha wabunifu kwa kutoa tuzo za heshima na kuwapatia majina ya heshima kama ulivyokuwa kwa waingereza, yaani ukifanya jambo lenye manufaa kwa taifa hata kama hauna elimu utaheshimiwa kwa kupewa jina la sir kama jina la heshima.
Maswala ya doctors waachiwe malimbukeni na washamba wa elimu wasiojua maana ya elimu.
 
Kuna bwaana mmoja amewahi kuhoji PhD ya mtu kiongozi mmoja leo yule bwana ajulikani aliko
Mama Spika Tulia wakati wa kampeni za uchaguzi wakosa hoja walimzulia maneno kuwa hamuheshimu Mme wake ndiyo maana haonekani naye hadharani!

Kwa maelezo yasiyorasmi aliwaambia Mme wake si mwanasiasa ya nini kumleta jukwaani, pili yule ni Mme wa mtu hao wanataka aonekane hadharani wanataka kuolewa?

Kwenye maelezo haya, utakuwa umepata kitu.
 
Kazi hakuna wakati hawawezi kutumia elimu yao kuunda miradi ..Unafikria kampuni ya Facebook imezalisha ajira ngapi na aliyebuni ndio kazalisha hizo ajira bado kuna twitter.
Kwa kweli, kuna madoctor mchwara tu wasio na impact yoyote kwa taifa wanashindwa hata na wasanii wanaoiletea heshima nchi.

Kazi Kipenda kuwa praised.
Na ni useless, creativity zero, advises zero, opinions zero.

Hawa ni madoctor wa UTI tu.
 
Kwa kweli, kuna madoctor mchwara tu wasio na impact yoyote kwa taifa wanashindwa hata na wasanii wanaoiletea heshima nchi.

Kazi Kipenda kuwa praised.
Na ni useless, creativity zero, advises zero, opinions zero.

Hawa ni madoctor wa UTI tu.
Waotww TBC pale kupiga porojo yaani chukulia Tangu enzi za zamani mpaka leo hamna kipya ...wakipata nafasi za kufanya kazi nje ndio basi tena.
 
Hebu fikiria kwamba huko duniani ni Vladimir Putin, Joe Biden, Narendra Modi, Benjamin Netanyahu, Xi Jinping, Hang Zheng, Frank-Walter Steinmeier, Olaf Scholz, Mikhail Mishustin, Anthon Blinken, n.k.

Kama ni kwamba wenzetu hao hawana hata udokta wowote lkn wanai-run Dunia, sisi tulio na madokta wengi wasomi kuanzia ngazi ya tawi la chama, taasisi za serikali na sekta binafsi hadi kule ukanda wa bahari karibu na soko la samaki, tunafeli wapi lakini. Hizo Phd's zenu ni za kwenye makaratasi au za kuchongesha tu?, nchi ina madokta na maprofesa wengi hawajawahi kuwa hata na uvumbuzi wa maana kusaidia nchi yao na wakipewa hata kuendesha taasisi zinawafia Ref. TTCL, ATCL, n.k.
Nchi ina mainjinia wengi lkn hawajawahi kuunda hata gari ndogo km STARLET ikaingia barabarani, kazi zao ni kudesign ramani za majengo tena ile copy & paste mtandaoni huko na hapo ndipo uinjinia wao unaishia.

Tuwekane sawa bhana...
Phd uchwara
 
Huwa nasikitika sana kila uchao Tanzania ndio inakuwa ni nchi inayozalisha watu wenye uwezo ndogo wakufikiri mashule na huko vyuoni wakisaidiwa na waalimu wao, kupitia serikali
Alafu kuna wimbi kubwa la walimu wasio na uwezo huko vyuoni ,kigezo ni GPA kubwa lkn ukimwangalia uyo mwalimu uwezo wake ni mdogo sana,sasa tutegmee mwanafunzi wa uyu mwalimu atakuaje?nchi hii inaangamia kwasababu hatutaku mabadiliko kwenye sekta nyingi mfano mzuri ni sekta hii ya Elimu ni majanga matupu.
 
Back
Top Bottom