Nchi inaongozwa na madokta lkn mpaka sasa wakulima wanatumia ndoo kuuzia mazao, wafugaji bado wanafuga kienyeji, hatujawahi kutengeneza hata simu?!Jamii imejitosheleza mkuu......hakuna matatizo...Sasa unataka ma PhD holders tugundue nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huku wengi wa mchongo
Kuna yule Dokta sijui Prof mroso aliyetuchonesha tukalipa bil kadhaa kwenye madini
Hata kizungu hajui[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ana ego wakati language, substance,confidence,pause Hana[emoji23][emoji1787]
Kama ni kipanga hata ukiishia fomufoo ni kipanga[emoji120]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Unamaanisha kina Dr. Msukuma na kina Dr. Tale??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huku wengi wa mchongo
Kuna yule Dokta sijui Prof mroso aliyetuchonesha tukalipa bil kadhaa kwenye madini
Hata kizungu hajui[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ana ego wakati language, substance,confidence,pause Hana[emoji23][emoji1787]
Kama ni kipanga hata ukiishia fomufoo ni kipanga[emoji120]
Wakulima wameamua iwe hivyo .....coz kuna trekta za kutoshaNchi inaongozwa na madokta lkn mpaka sasa wakulima wanatumia ndoo kuuzia mazao, wafugaji bado wanafuga kienyeji, hatujawahi kutengeneza hata simu?!
Hebu fikiria kwamba huko duniani ni Vladimir Putin, Joe Biden, Narendra Modi, Benjamin Netanyahu, Xi Jinping, Hang Zheng, Frank-Walter Steinmeier, Olaf Scholz, Mikhail Mishustin, Anthon Blinken, n.k.
Kama ni kwamba wenzetu hao hawana hata udokta wowote lkn wanai-run Dunia, sisi tulio na madokta wengi wasomi kuanzia ngazi ya tawi la chama, taasisi za serikali na sekta binafsi hadi kule ukanda wa bahari karibu na soko la samaki, tunafeli wapi lakini.
Hizo Phd's zenu ni za kwenye makaratasi au za kuchongesha tu?, nchi ina madokta na maprofesa wengi hawajawahi kuwa hata na uvumbuzi wa maana kusaidia nchi yao na wakipewa hata kuendesha taasisi zinawafia Ref. TTCL, ATCL, n.k.
Nchi ina mainjinia wengi lkn hawajawahi kuunda hata gari ndogo km STARLET ikaingia barabarani, kazi zao ni kudesign ramani za majengo tena ile copy & paste mtandaoni huko na hapo ndipo uinjinia wao unaishia.
Tuwekane sawa bhana...
Povu la Nini! Nafikiri hujamwelewa.Kama wewe ni Dr huu Uzi ukuamshe kufanya mambo yatakayotatua changamoto kwenye jamii Yako.Wengi tunasoma Huo Udaktari tukafundishe vyuo vikuu basi hakuna la zaidi hasa kutokana na ufinyu wa bajeti.Acha nongwa soma na wewe upate yako, kwani ulishindwa nini kusoma au kuchongesha PhD yako? Ni kwa vile tu huna. Tafuta mkate wakowa kila siku kudiscuss PhD za wanaume wenzako ni dalili mbaya.
Walioishia fom wamependezwa na mchongo huu🤣🤣🤣huku wengi wa mchongo
Kuna yule Dokta sijui Prof mroso aliyetuchonesha tukalipa bil kadhaa kwenye madini
Hata kizungu hajui🤣🤣😂
Ana ego wakati language, substance,confidence,pause Hana😂🤣
Kama ni kipanga hata ukiishia fomufoo ni kipanga🙏
Hao madokta wa kule wanalingana na wetu hawa?,"Hebu fikiria kwamba huko duniani ni Vladimir Putin, Joe Biden, Narendra Modi, Benjamin Netanyahu, Xi Jinping, Hang Zheng, Frank-Walter Steinmeier, Olaf Scholz, Mikhail Mishustin, Anthon Blinken, n.k."
Hawa wanaendesha dunia na uko kwao kuna madokta ulishawasikia
Sina cha kukujibu mzee baba, nikikujibu itaonekana najipa sifaAcha nongwa soma na wewe upate yako, kwani ulishindwa nini kusoma au kuchongesha PhD yako? Ni kwa vile tu huna. Tafuta mkate wakowa kila siku kudiscuss PhD za wanaume wenzako ni dalili mbaya.
UDSM chimbimbuko la 90% ya mainjinia Tanzania, hawajawahi hata kuchonga sahani ya bati au kudesign kitaanda cha mgonjwaNchi ina mainjinia wengi lkn hawajawahi kuunda hata gari ndogo km STARLET ikaingia barabarani, kazi zao ni kudesign ramani za majengo tena ile copy & paste mtandaoni huko na hapo ndipo uinjinia wao unaishia.
Okey. We ulitaka wafanane kivip yaan labda mi sijakuelewaHao madokta wa kule wanalingana na wetu hawa?,
Ni kweli kabisaUdokita wa wa mchongo
Saivi mtaan kila mtu dokita dokita
Ukuni muuliza thesis yako inahusu nn hata hajui chochote
Wewe muangalie Dr tulia maneno anayeyaongea alafu piga mahesabu wanafunzi wake aliowafundisha watakuwaje huko uraiani..Alafu kuna wimbi kubwa la walimu wasio na uwezo huko vyuoni ,kigezo ni GPA kubwa lkn ukimwangalia uyo mwalimu uwezo wake ni mdogo sana,sasa tutegmee mwanafunzi wa uyu mwalimu atakuaje?nchi hii inaangamia kwasababu hatutaku mabadiliko kwenye sekta nyingi mfano mzuri ni sekta hii ya Elimu ni majanga matupu.