Nchi ya Tanzania ina wananchi wenye udumavu wa akili

Nchi ya Tanzania ina wananchi wenye udumavu wa akili

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha utahira wa Watanzania.
Kwa mfano suala la ugawaji gesi ya lita 6 kwa wananchi kama njia ya kupambana na uchafuzi wa mazingira huku mchakato wa kusafisha gesi asilia ukitiwa kapuni.
Suala la kuanzishwa kwa taasisi nyingi ndani ya mwaka huu zenye jina la Samia zikijinasibu kutatua kero za makundi mbalimbali. Kwanini huyo Rais Samia asiziimarishe taasisi za serikali ambazo takribani 450 ? Zikiimarishwa taasisi za serikali kero hazitakuwepo kabisa na zikiwepo zitatatuliwa na taasisi hizo za serikali na si hizi ambazo hatujui ni za binafsi au za namna gani. Hatujui fungu za pesa wanatoa wapi.
 
Kuna jeshi la vijana linajiandaa kuja kukujibu mkuu kaa tayari kwa mapambano 🐼
1000021360.jpg
 
Na wewe ukaliamini ilo shirika ? kwa hiyo babako na mamaako wako na udumavu wa akili pia ? au ndio fazila zinalipwa kwa kejeli iyo elimu yako na pumzi isikupe kiburi kijana.
 
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha utahira wa Watanzania.
Kwa mfano suala la ugawaji gesi ya lita 6 kwa wananchi kama njia ya kupambana na uchafuzi wa mazingira huku mchakato wa kusafisha gesi asilia ukitiwa kapuni.
Suala la kuanzishwa kwa taasisi nyingi ndani ya mwaka huu zenye jina la Samia zikijinasibu kutatua kero za makundi mbalimbali. Kwanini huyo Rais Samia asiziimarishe taasisi za serikali ambazo takribani 450 ? Zikiimarishwa taasisi za serikali kero hazitakuwepo kabisa na zikiwepo zitatatuliwa na taasisi hizo za serikali na si hizi ambazo hatujui ni za binafsi au za namna gani. Hatujui fungu za pesa wanatoa wapi.
Kwa Hy ulitegemea watanzania wafanyaje ili ujue kama wana akili ?
 
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha utahira wa Watanzania.
Tumbili wana hizi takwimu?
 
Utaahira umekuwa mwingi sana miongoni mwa wananchi, sijui wanakula chakula gani na kunywa maji gani. Kuna vijana wamesoma walau sekondari lakini hawajui na hawana kumbukumbu ya masomo waliyofundishwa huko shuleni, wanaonekana hawakwenda shule kabisa
 
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha utahira wa Watanzania.
Kwa mfano suala la ugawaji gesi ya lita 6 kwa wananchi kama njia ya kupambana na uchafuzi wa mazingira huku mchakato wa kusafisha gesi asilia ukitiwa kapuni.
Suala la kuanzishwa kwa taasisi nyingi ndani ya mwaka huu zenye jina la Samia zikijinasibu kutatua kero za makundi mbalimbali. Kwanini huyo Rais Samia asiziimarishe taasisi za serikali ambazo takribani 450 ? Zikiimarishwa taasisi za serikali kero hazitakuwepo kabisa na zikiwepo zitatatuliwa na taasisi hizo za serikali na si hizi ambazo hatujui ni za binafsi au za namna gani. Hatujui fungu za pesa wanatoa wapi.
Kweli kabisa
 
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha utahira wa Watanzania.
Kwa mfano suala la ugawaji gesi ya lita 6 kwa wananchi kama njia ya kupambana na uchafuzi wa mazingira huku mchakato wa kusafisha gesi asilia ukitiwa kapuni.
Suala la kuanzishwa kwa taasisi nyingi ndani ya mwaka huu zenye jina la Samia zikijinasibu kutatua kero za makundi mbalimbali. Kwanini huyo Rais Samia asiziimarishe taasisi za serikali ambazo takribani 450 ? Zikiimarishwa taasisi za serikali kero hazitakuwepo kabisa na zikiwepo zitatatuliwa na taasisi hizo za serikali na si hizi ambazo hatujui ni za binafsi au za namna gani. Hatujui fungu za pesa wanatoa wapi.
We bwege acha porojo za kipuuzi, taja hilo shirika na tuwekee ripoti yenyewe
 
Kuna shirika moja la kiutafiti liliwahi kufunga mjadala kwa kusema 3/4 au tuseme 75% ya Watanzania ni wendawazimu. Yawezekana ni zaidi ya 75% ila waliogopa tu kusema ukweli.
Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania kuanzia JANUARI mpaka November kuna mambo mengi sana yanafanyika ambayo yanadhihirisha utahira wa Watanzania.
Kwa mfano suala la ugawaji gesi ya lita 6 kwa wananchi kama njia ya kupambana na uchafuzi wa mazingira huku mchakato wa kusafisha gesi asilia ukitiwa kapuni.
Suala la kuanzishwa kwa taasisi nyingi ndani ya mwaka huu zenye jina la Samia zikijinasibu kutatua kero za makundi mbalimbali. Kwanini huyo Rais Samia asiziimarishe taasisi za serikali ambazo takribani 450 ? Zikiimarishwa taasisi za serikali kero hazitakuwepo kabisa na zikiwepo zitatatuliwa na taasisi hizo za serikali na si hizi ambazo hatujui ni za binafsi au za namna gani. Hatujui fungu za pesa wanatoa wapi.
Inaonekana wazi we ndio mwendawazimu
 
Back
Top Bottom