The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
Wasalaam wana Intelligence,
Katika kitabu cha Ayubu 30: anasema "ngozi yangu ni nyeusi ila yanitoka" mstari huu unatupa picha kuwa Nabii Ayubu alikuwa ni mweusi bila shaka hata watu wa nchi hiyo aliyoishi Ayubu walikuwa ni weusi!
Swali nchi hiyo ya Usi aliyoishi Ayubu ilikuwa eneo hapa Afrika?
Katika kitabu cha Ayubu 30: anasema "ngozi yangu ni nyeusi ila yanitoka" mstari huu unatupa picha kuwa Nabii Ayubu alikuwa ni mweusi bila shaka hata watu wa nchi hiyo aliyoishi Ayubu walikuwa ni weusi!
Swali nchi hiyo ya Usi aliyoishi Ayubu ilikuwa eneo hapa Afrika?