Nchi ya Usi aliyoishi Nabii Ayubu ilikuwa ipo eneo gani hapa Afrika?

Nchi ya Usi aliyoishi Nabii Ayubu ilikuwa ipo eneo gani hapa Afrika?

Tafti zinasema nchi ya usi ni eneo ambalo lilikaliwa na edom (uzao wa esau) ambalo kwa sasa ni eneo lililo kusini mwa nchi ya israel na kusini magharbi mwa nchi ya jordan...
Inasemekana kitabu cha Ayubu kiliandikwa na Mussa na hvyo kwa mpangilio kilitakiwa kifate baada ya kitabu cha Mwanzo
View attachment 648241
Yaani umejibu vizuri sana, big up.
 
Inamaana Wisraeli waliuwa wakaanani wote ambao ni weusi ili kuichukua kaanani?.......
Hapana, ukisoma kitabu cha Yoshua utagundua Waisrael hawakuwaua wote, yaani Wakaanani, Wahiti, Wahivi nk; kuna trick moja walichezewa na hao wenyeji na Israel ikajikuta imesainiana nao mkataba wa AMANI na kwasababu waisrael walikua wana heshimu sana viapo then hawakuwaua tena, so bado wapo.
Swali linaweza kua, je watu hao ni wepi kwasasa!? To answer the question ni hvi, kwasasa jamii hasa ya Wapalestina ni ngumu kuwatofautisha na Waarabu wengine, chukua mfano wa taifa la Jordan ambalo chimbuko lake ni familia mbili, moja ni watoto wa Esau, yule pacha wake Yakobo/Israel na wengine ni wale watoto wa Lutu alio zaa na mabinti zake wale 2 mabikira but sura zao na tabia zao ni sawa sawa na Wapalestina ambao kimsingi wana undugu kwa mbaali sana, maana hawatokani na Ibrahimu; kuna sehemu nilisoma (sina hakika na ukweli wa hilo) kwamba taifa la Jordani ndio lenye Wakristo wengi zaidi kulinganisha na mataifa mengine ya Kiarabu, kama habari hiyo ni ya kweli then wala siwezi shangaa, is because of that relationship ya huo uzao wa Esau na wale watoto wa Lutu. NOt sure kama nimejibu swali lako.
 
Yeah maana nakumbuka kuwahi kufundishwa sunday school kuwa Mussa aliandika vitabu vitano tu katika biblia na kitabu cha Ayubu hakikuwa included
Cc. ArieN
Musa kaandika vitabu vingi, wengi wanavijua hivyo 5 kwa maana ya Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu na Kumbukumbu la Torati but again Ayubu, baadhi ya sura za Zaburi hasa kuanzia sura ya 89 hadi 92 ule pia ni mkono wa Musa.
 
NOt sure kama nimejibu swali lako.
Basi kama hawakuwaua kwa sababu ya mkataba wa AMANI waisraeli hawakuwa na haki ya kuzungumzia 100% ya kaanani kama wao ndio haswa..... Basi Ayubu alikuwa Mweusi na Musa hakuandika zaburi bali zaburi ilitoka kwa Mfalme Daudi kupitia mapokeo ya neno lililopita kusifu ufalme wake kwa mfalme wa kweli ajaye........ Mpiga mbinje mjini hutazamwa na wengi....
 
Weusi wa ngozi wa Ayubu nadhani ni kwa sababu alipata mtihani wa kuugua ugonjwa wa ngozi.
Ndo ilivyokuwa mkuu sema watu wanapenda kulazimisha mambo,ukisoma huo mstari pekee utadanganyika lkn ukisoma yote utagundua baada ya mapigo alichakaa na ngozi ikafifia ikaharibika sababu ya dhiki
 
kinachochangia sintofahamu pale middle east ni kitendo cha wayahudi kuondoka wakiwa weusi tii lakini wakarudi weupe, sasa wale wenyeji wanashangaa sana metamorphism gan walitumia kuwa weupe?
Walirudi wakiwa weupe pee
 
Wasalaam wana Intelligence,

Katika kitabu cha Ayubu 30: anasema "ngozi yangu ni nyeusi ila yanitoka" mstari huu unatupa picha kuwa Nabii Ayubu alikuwa ni mweusi bila shaka hata watu wa nchi hiyo aliyoishi Ayubu walikuwa ni weusi!

Kwa kiasi kikubwa Biblia imezungumzia maeneo ya Mahariki ya kati kwa Ulaya imegusia kidogo nchi ya Ugiriki
 
Basi kama hawakuwaua kwa sababu ya mkataba wa AMANI waisraeli hawakuwa na haki ya kuzungumzia 100% ya kaanani kama wao ndio haswa..... Basi Ayubu alikuwa Mweusi na Musa hakuandika zaburi bali zaburi ilitoka kwa Mfalme Daudi kupitia mapokeo ya neno lililopita kusifu ufalme wake kwa mfalme wa kweli ajaye........ Mpiga mbinje mjini hutazamwa na wengi....
Kwenye hili la mwandishi wa Zaburi wala lisikusumbue, Biblia karibu zote zimeonesha mwandishi wa sura husika, mfano kuanzia Zaburi ya kwanza hadi karibu ya 60 kule ni kweli mwandishi ni Daudi, mfano ile zaburi ya 51 ni TOBA ya Daudi baada ya kuzini na mke wa moja kati ya wana jeshi wake na kumpa mimba na pia kumfanyia fitina hadi mwana jeshi yule akauawa, hiyo aliiandika mwenyewe. Well, kabla hujaanza kuzisoma hizo Zaburi, mwanzoni hua wameweka jina la mwandishi; kwa ufupi kitabu cha Zaburi kimeandikwa na waandishi wengi including Musa, wana wa Asafu (wale waliokua viongozi wa nyimbo Enzi za mfalme Daudi na Sulemani) na Sulemani pia ana mkono wake kwenye hicho kitabu.
 
Kumbuka anasema "ngozi yangu ni nyeusi ila yanitoka"

Weusi ulimtoka alipoanza kuugua, ila alikuwa ni mweusi.
Weusi anamaanisha kufubaa sababu ya ugonjwa wa ngozi. Pia ukisoma kitabu cha Wimbo ulio bora 1:6, anasema wazi alipigwa na jua huko mashambani ndiyo akawa mweusi.
 
Yeah maana nakumbuka kuwahi kufundishwa sunday school kuwa Mussa aliandika vitabu vitano tu katika biblia na kitabu cha Ayubu hakikuwa included
Cc. ArieN
hakika!
 
Weusi anamaanisha kufubaa sababu ya ugonjwa wa ngozi. Pia ukisoma kitabu cha Wimbo ulio bora 1:6, anasema wazi alipigwa na jua huko mashambani ndiyo akawa mweusi.
Kwa hiyo watu weusi wametokana na kupigwa na jua?
 
kwa ufupi kitabu cha Zaburi kimeandikwa na waandishi wengi including Musa, wana wa Asafu (wale waliokua viongozi wa nyimbo Enzi za mfalme Daudi na Sulemani) na Sulemani pia ana mkono wake kwenye hicho kitabu.
bali zaburi ilitoka kwa Mfalme Daudi kupitia mapokeo ya neno lililopita kusifu ufalme wake kwa mfalme wa kweli ajaye..... Sulemani ameandika zaburi ya ngapi?.....
 
Kitendo cha kujenga mfereji wa suez ukijumlisha na mkutano wa Berlin conference ilitosha kabisa kumfanya mwaafrica achanganyikiwe na kubaki hajui ukweli wa yeye na maandiko matakatifu wanarelat vipi??

Hata kitabu cha Wimbo ulio bora Suleman mfalme wa Israel amesema mimi ni mweusi lakini ninao uzuri. hii ni wazi masela Mungu aliumba watu weusi, Quran pia inasema Mungu alimuumba mwanaume mweusi,

Naamini wazungu ni viumbe damage ya mwafrica na walimpokea shetani ili washindane na sisi. Lakini ukweli utajulikana tu.

[HASHTAG]#Muda[/HASHTAG] ni Kweli
 
Back
Top Bottom