Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,219
New World OrderSana tu mkuu dah mpaka leo najiuliza kipi kimetufanya tuwe dhaif
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
New World OrderSana tu mkuu dah mpaka leo najiuliza kipi kimetufanya tuwe dhaif
Hiyo ni habari ingine, wewe si umetaka ushahidi wa kimaandiko?Kwa hiyo watu weusi wametokana na kupigwa na jua?
Hivi kumbe na wewe unasomaga maandiko? Mimi nilidhani mawazo yako yanafanana na hiyo AVATAR yako.Ngozi nyeusi alimaanisha kuwa amekuwa mweusi baada ya kuchafuka kwa majipu aliyopewa.
yani nmecheka kwa nguvu jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti Baba wa Watoto wote weusiAsili ya watu weusi ni Kushi, tukisoma kitabu cha mwanzo habari za Nuhu baada ya gharika alikuwa na wanaye ham, shem na yafethi, mmojawapo kati ya hao alilaaniwa na baba yake ngozi yake ikageuka kuwa nyeusi, huyo ndiye Kushi/baba wa w@tu wote weusi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo nilikuwa nazungumzia asili ya watu weusi kibiblia, mbona hata elimu ya darasani inasema binadamu wote walikuwa sokwe hapo kabla, ila bible inasema tuliumbwa na Mungu, basi baba yetu watu weusi ni sokwe hapo vipi? [emoji23] [emoji23]yani nmecheka kwa nguvu jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti Baba wa Watoto wote weusi
Baba yetu analaana ya kuuona uchi wa babaye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo nilikuwa nazungumzia asili ya watu weusi kibiblia, mbona hata elimu ya darasani inasema binadamu wote walikuwa sokwe hapo kabla, ila bible inasema tuliumbwa na Mungu, basi baba yetu watu weusi ni sokwe hapo vipi? [emoji23] [emoji23]
Aiseeee kazi ipo kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baba yetu analaana ya kuuona uchi wa babaye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatujawahi kuwa na historia nzuri[emoji23][emoji23]Aiseeee kazi ipo kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivyo inatubidi tujijengee historia ya kipekee katika hizi siku zetu za mwisho [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hatujawahi kuwa na historia nzuri[emoji23][emoji23]
Kwakweli[emoji23]Hivyo inatubidi tujijengee historia ya kipekee katika hizi siku zetu za mwisho [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizo ni propaganda ***** mbona kabla ya mzungu Kuja tulikua tumeendelea tu hatuna stressAsili ya watu weusi ni Kushi, tukisoma kitabu cha mwanzo habari za Nuhu baada ya gharika alikuwa na wanaye ham, shem na yafethi, mmojawapo kati ya hao alilaaniwa na baba yake ngozi yake ikageuka kuwa nyeusi, huyo ndiye Kushi/baba wa w@tu wote weusi
Yemen mzee watu weusi mpaka kesho nilikua naangalia Al jazeera watu weusi wapo halafu ni wazawa sasa siyo wakuja generation yao ni wa hapohapo mpaka nikashangaa mzeeOk nashukuru kwa taarifa ila je kma ethiopia ilikua na watu weusi je waliondoka lini?? Kma hawakuondoka je bado kuna watu weusi Yemen???
Ahsante mkuu kwa kile kikubwa unachokielewa hongera siku moja natamani uelewe zaidi-waisarael wa Leo sio wale halisi kwani Israel ina makabila 12 na makabila 10 kati ya hayo yalipotea mpaka wa Leo lakini inasemekana wako India,Ethiopia,south africa, Haiti,mexico,north america,honduras,uruguay, Jamaica na baadhi ya maeneo Caribbean kwa hiyo kuitaja jamii ya makabila mawili yaliobaki na kuchangamana na wasamaria ambao nao walisambaa ulaya mashariki hasa Russia. pia Israel walitambuana kabila kulingana na rangi ya uzao wa kabila lao kwani walikuwa na weusi uliotofautiana,hivyo basi dunia imefichwa hii siri hata wahubiri wa dini walio wengi hawalijui hili na unaelijua ukisimama kidete lazima bwana atwae.Hamu mtoto wa pili wa Nuhu ndio baba wa weusi lakini ukitoa Negroes (Niggers au wabantu)... Hapo utagundua, watoto wa Ham (wamisri, walibya, waethiopia (kushites) na wakanaani ni weusi lkn sio Negroes (wabantu). Kuna ramani za zamani zinaonesha eneo la West Afrika liliitwa Negroland au Bantuland. Ndio maana ya haya majina ya Niger na Nigeria (walikaa niggers/negroes/bantus baada ya kuhamishwa Samaria na Yudea- Israel kwa vita kali toka kwa Assyrians na Babylonians). Sasa ni nani baba wa Negroes au wabantu? Huyu ni Shem mtoto wa Nuhu ambaye ukimfuatilia ndio utafika kwa Israel... Ndio maana kuna msemo wa Semitic (ni matamshi kosewa) yaani Shemitic na antisemitic ndio wawapingao hawa Waisrael wa kileo wajiitao wa uzao wa Shem. Wayahudi wa kileo ni nani baba yao? Ni Japhet mtoto wa Nuhu na ukimfuatilia utakutana na Ashkenazi. Hawa ndio wamekuwa wayahudi (Ashkenazi Jews) na Waisrael wa kileo lkn kimsingi wa Shem (Shemites) ndio Waisrael halisi. Pia Kiebrania na kiaramaic (lugha ya Yesu) cha zamani ni kibantu. Simon Mkirene au Simon mweusi (Simon the Negro) alimsaidia Yesu msalaba. Hii ilikuwa ni sawa na kusema "msaidie mwenzako huyo!".
Good oneTanganyika tena Kilimanjaro.