jamaaa yuko deep sana aiseee kumbe waafrica tulikuwa nanguvu kubwa mnooo...wakati huo hajulikani muingereza wala mrusiDuh ahsante kwa darasa sikuwahi fikiria hyo kingdom ili stretch mpaka middle east hadi kuwa tishio..... Big up mkuu
Duuh kuna watu hampendi complications kabisa!Ngozi nyeusi alimaanisha kuwa amekuwa mweusi baada ya kuchafuka kwa majipu aliyopewa.
Sana tu mkuu dah mpaka leo najiuliza kipi kimetufanya tuwe dhaifjamaaa yuko deep sana aiseee kumbe waafrica tulikuwa nanguvu kubwa mnooo...wakati huo hajulikani muingereza wala mrusi
Udhaifu uliosababishwa na kukata tamaa juu ya wavamizi waliofanikiwa kuanza kuyatawala maeneo mbali mbali. Kuna ambao hawakukubali lakini walipokamatwa wale viongozi chachu na kuuliwa/ kunyongwa na kupigwa risasi mbele ya umma ile nguvu ya umoja na kujiamini ikaanza kuyeyuka na kukubaliana na hali ya kutawaliwa mpaka sasa.Sana tu mkuu dah mpaka leo najiuliza kipi kimetufanya tuwe dhaif
Hata Ethiopia imetajwa kwenye Bibilia..soma historia ya Mussa alipokibilia na mke wake alikuwa muethiopia... Na ukiangalia vizuri hata Paulo alishawahi kufika na kuhubiri Ethiopia...(nani ajuae hata Yesu huenda alifika Tanzania tena mwanza kwa wasukuma)Kwani hakuna watu weusi Ulaya!?
Kwa kifupi nchi nyingi zilizotajwa kwenye biblia ziko around mashariki ya kati.Kwa Afrika ni Misri tu na kidogo sana uhabeshi pale.
ngozi yangu ni nyeusi Ila yanitoka.... KISWAHILI HUJUI WEWE?Ngozi nyeusi alimaanisha kuwa amekuwa mweusi baada ya kuchafuka kwa majipu aliyopewa.
BOYA KWELIKWELI.We boya tu
Inamaana Wisraeli waliuwa wakaanani wote ambao ni weusi ili kuichukua kaanani?.......watu weusi tunatokana na mtoto wa nabii Nuhu aitwaye HAMU, huyu ndiye aliye zaa Kaanani na Kushi,
IraqWasalaam wana Intelligence,
Katika kitabu cha Ayubu 30: anasema "ngozi yangu ni nyeusi ila yanitoka" mstari huu unatupa picha kuwa Nabii Ayubu alikuwa ni mweusi bila shaka hata watu wa nchi hiyo aliyoishi Ayubu walikuwa ni weusi!
Swali nchi hiyo ya Usi aliyoishi Ayubu ilikuwa eneo hapa Afrika?
The Land of Uz ( Hebrew : ארץ עוץ ) is a location mentioned in the Old Testament , most prominently in the Book of Job , which begins, "There was a man in the land of Uz, whose name was Job ". [1] Scholarly consensus has not identified any actual country which corresponds to Uz.Wasalaam wana Intelligence,
Katika kitabu cha Ayubu 30: anasema "ngozi yangu ni nyeusi ila yanitoka" mstari huu unatupa picha kuwa Nabii Ayubu alikuwa ni mweusi bila shaka hata watu wa nchi hiyo aliyoishi Ayubu walikuwa ni weusi!
Swali nchi hiyo ya Usi aliyoishi Ayubu ilikuwa eneo hapa Afrika?
Yeah maana nakumbuka kuwahi kufundishwa sunday school kuwa Mussa aliandika vitabu vitano tu katika biblia na kitabu cha Ayubu hakikuwa includedhiyo nadharia ya kuwa kiliandikwa na Musa imeshapingwa na watafiti hivi karibuni
Wayahudi bado wapo uhamishoni, wamesambaa sehem mbalimbali duniani, wale waliorudi kuunda taifa la israel miaka ya 1948 hv sijui wale sio waIsraelkinachochangia sintofahamu pale middle east ni kitendo cha wayahudi kuondoka wakiwa weusi tii lakini wakarudi weupe, sasa wale wenyeji wanashangaa sana metamorphism gan walitumia kuwa weupe?
Kubali tuu yaishi Kuwa WEWE BOYAWewe Bata Mzinga uboya wangu nini hapo?