Nchi yenye watu wenye rangi, dini au kabila tofauti inaweza kustawi?

Nchi yenye watu wenye rangi, dini au kabila tofauti inaweza kustawi?

Toa mifano ili ueleweke zaidi!

Au ungekuja na mfano kama huu

Mahali pamejaa wenyeji tupu na mahali ambapo pamechanganyika! Ni mahali gani ambapo patastawi kwa haraka?

Mungu hajawahi kuwa mjinga aisee!

Kunapokuwa na tofauti tofauti za kabila na hata dini tofauti! Kwa sababu tu wengi huwa hatuna wivu wa maendeleo na badala yake dini/kabila zimejaa vinyongo na roho ya kwa nini wao na sio sisi!

Lakini ingelikuwa kila dini /kabila zijawe na wivu wa kwa nini sisi hatusomi tukafika mbali na kwa nini palipo wao maendeleo yapo pia?

Tungelifika mbaali kwa haraka mno
Point
 
Hivi inawezekana kwa nchi yenye watu tofauti ikastawi. Maana kwa kuangalia harakaharaka naona nchi karibu zote ambazo zina usalama na zimeendelea ni zile ambazo watu wa rangi, dini na lugha moja wanakaa pamoja.

kuna exceptions chache sana. Ni kama haiwezekani kwa nchi yenye diversity kubwa kuendelea. Pia naona ni kama haiwezekani kwa demokrasia kufanya kazi kwa nchi ambayo watu wana rangi, dini na lugha tofauti.

Inawezekana kujenga taifa imara na lenye kustawi kwenye nchi ambayo ina watu wenye dini, lugha na makabila tofauti?
Inawezekana katika uongozi bora
 
Back
Top Bottom