Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Mifano ya dini Imeingia mpaka kwenye siasa.

Je, T. Lissu anafanana na Daudi??

T.Lissu anatabia ya Daudi??

Asante kwa Ukumbusho wa Matendo Makuu ya Mungu.

Lakini T. Lissu hawezi kuwa rais wa Tanzania.
 
Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Endelea kuota tu, hakuna cha Upinzani kilicho tayari kushika dola kwa miongo kadhaa ijayo. Hao kina Lissu, Mbowe na genge lao ni wachumia tumbo, wazandiki na mawaka wa mabeberu. Wananchi hawawezi kuhatarisha maisha ya vizazi vyao, kwa kulipa kura hilo genge la wahuni.
 
Nakwambia tena jiandae tu. Lissu ndo Raisi wako 2020-2025
Weka akiba ya maneno. Ndoto zako haziwezi timia bila mifumo. Chama cha Mbowe, kinayo mifumo sumu kwa ustawi wa Taifa la Tanzania. Endeleeni kula ruzuku na michango ya wabunge ingawa ndio ya mwisho mwisho,huku mkilewa faru John.
 
Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Wenye macho ya kinabii tumeshaona kila kitu.
 
Endelea kuota tu, hakuna cha Upinzani kilicho tayari kushika dola kwa miongo kadhaa ijayo. Hao kina Lissu, Mbowe na genge lao ni wachumia tumbo, wazandiki na mawaka wa mabeberu. Wananchi hawawezi kuhatarisha maisha ya vizazi vyao, kwa kulipa kura hilo genge la wahuni.
Hoja mfu zimeshafeli....hebu piga magoti kwanza kama Rais wako
 
Weka akiba ya maneno. Ndoto zako haziwezi timia bila mifumo. Chama cha Mbowe, kinayo mifumo sumu kwa ustawi wa Taifa la Tanzania. Endeleeni kula ruzuku na michango ya wabunge ingawa ndio ya mwisho mwisho,huku mkilewa faru John.
Mkuu kama humpendi Lissu hama nchi anakwenda kushika nchi
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu [emoji2][emoji2]

Na lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Lissu kampiga spana mtu hadi anagalagala chini anapiga magoti hovyo hovyo. Sijui waganga ndio walimdanganya.
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert [emoji3][emoji3]
Lissu kampiga spana mtu hadi anagalagala chini anapiga magoti hovyo hovyo. Sijui waganga ndio walimdanganya.
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji
Huko ubelgiji alikwenda mwenyewe? Kuna usariti kama wa kuiba trilion 1.5 kisha kumtoa kafara CAG?
 
Weka akiba ya maneno. Ndoto zako haziwezi timia bila mifumo. Chama cha Mbowe, kinayo mifumo sumu kwa ustawi wa Taifa la Tanzania. Endeleeni kula ruzuku na michango ya wabunge ingawa ndio ya mwisho mwisho,huku mkilewa faru John.
CCM endeleeni kula ruzuku na kuchota pesa Hazina kienyeji mwisho wenu pindi mkiwa chama cha upinzani mtauona, mfumo wa sumu ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani
 
Wasaliti wa Nchi mwaka huu mtajua kuwa usaliti ni laana

Tutawafundisha
Hakuna usariti kama kutafuna 10% ununuzi wa Ndege kwa cash, usariti wa kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni usariti Hatari kwa pesa za walipa kodi
 
Ila tuseme ukwel jaman, upinzani mna roho ngumu sana
 
Watu mnaoandikaga vtu kama hv..sjui hwa nawafkiriaje...sjui inakua unaandika kwa kuhadaa au unakua serious kabisa..
Hauamini ila inakwenda kutimia, kama ni mwanaccm ingia au tafuta group la WhatsApp soma comments na yale watu wanayoandika ndipo utaelewa.

Vinginevyo nikwambie tu, mfumo upo tayari kuperuzi kila kituo kupokea kura zote na hakuna mtu kuiba kura labda mnavyoandaa jeshi na vijana wa jkt kusaidia ccm, tunaona usiku hapa bagamoyo mnavyopakia vifaa vya kijeshi kupeleka Zanzibar.

Ila jambo la kuzingatia ni hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, "hata kamba ukata jiwe".
 
Ungelimalizia kusema!! Raisi mpya wa mitandaoni! Unaogopa nini kusema hivyo?

labda jamii forum, uku kwingine ndo badooo kabisa
1602187321830.png
 
Ila kuna Majina mengine yanaendana na uhalisia! Mtu anaitwa Tobo,Basi anataka Matobo yatumike pia!? Ebu atuache kwanza tuna Ugeni Kutoka Malawi,yeye aendelee kupiga Misele Kariakoo!!
Ugeni toka Malawi una uhusiano gani na madhambi ya msukuma tokea chato?
 
Back
Top Bottom