Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nakwambia tena jiandae tu. Lissu ndo Raisi wako 2020-2025utakuwa una minyooo kichwani , nakushauri achana na ndoto.za kijinga, nakwambia ukweli lissu hawezi kuwa raisi ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambia tena jiandae tu. Lissu ndo Raisi wako 2020-2025utakuwa una minyooo kichwani , nakushauri achana na ndoto.za kijinga, nakwambia ukweli lissu hawezi kuwa raisi ,
Mifano ya dini Imeingia mpaka kwenye siasa.Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Endelea kuota tu, hakuna cha Upinzani kilicho tayari kushika dola kwa miongo kadhaa ijayo. Hao kina Lissu, Mbowe na genge lao ni wachumia tumbo, wazandiki na mawaka wa mabeberu. Wananchi hawawezi kuhatarisha maisha ya vizazi vyao, kwa kulipa kura hilo genge la wahuni.Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Weka akiba ya maneno. Ndoto zako haziwezi timia bila mifumo. Chama cha Mbowe, kinayo mifumo sumu kwa ustawi wa Taifa la Tanzania. Endeleeni kula ruzuku na michango ya wabunge ingawa ndio ya mwisho mwisho,huku mkilewa faru John.Nakwambia tena jiandae tu. Lissu ndo Raisi wako 2020-2025
Wenye macho ya kinabii tumeshaona kila kitu.Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Hoja mfu zimeshafeli....hebu piga magoti kwanza kama Rais wakoEndelea kuota tu, hakuna cha Upinzani kilicho tayari kushika dola kwa miongo kadhaa ijayo. Hao kina Lissu, Mbowe na genge lao ni wachumia tumbo, wazandiki na mawaka wa mabeberu. Wananchi hawawezi kuhatarisha maisha ya vizazi vyao, kwa kulipa kura hilo genge la wahuni.
Mkuu kama humpendi Lissu hama nchi anakwenda kushika nchiWeka akiba ya maneno. Ndoto zako haziwezi timia bila mifumo. Chama cha Mbowe, kinayo mifumo sumu kwa ustawi wa Taifa la Tanzania. Endeleeni kula ruzuku na michango ya wabunge ingawa ndio ya mwisho mwisho,huku mkilewa faru John.
CCM sio nchi ww boya.Hakuna wa kuchezea boksi la kura tutawafundisha kuwa usaliti kwa Nchi ni laana
Lissu kampiga spana mtu hadi anagalagala chini anapiga magoti hovyo hovyo. Sijui waganga ndio walimdanganya.Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu [emoji2][emoji2]
Na lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Lissu kampiga spana mtu hadi anagalagala chini anapiga magoti hovyo hovyo. Sijui waganga ndio walimdanganya.
CCM sio nchi ww boya.
Huko ubelgiji alikwenda mwenyewe? Kuna usariti kama wa kuiba trilion 1.5 kisha kumtoa kafara CAG?Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji
Usariti ni kuiba trilion- 1.5 kisha kumtoa CAG kafaraWasaliti wa Nchi mwaka huu mtajua kuwa usaliti ni laana
Tutawafundisha
CCM endeleeni kula ruzuku na kuchota pesa Hazina kienyeji mwisho wenu pindi mkiwa chama cha upinzani mtauona, mfumo wa sumu ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzaniWeka akiba ya maneno. Ndoto zako haziwezi timia bila mifumo. Chama cha Mbowe, kinayo mifumo sumu kwa ustawi wa Taifa la Tanzania. Endeleeni kula ruzuku na michango ya wabunge ingawa ndio ya mwisho mwisho,huku mkilewa faru John.
Hakuna usariti kama kutafuna 10% ununuzi wa Ndege kwa cash, usariti wa kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni usariti Hatari kwa pesa za walipa kodiWasaliti wa Nchi mwaka huu mtajua kuwa usaliti ni laana
Tutawafundisha
Hauamini ila inakwenda kutimia, kama ni mwanaccm ingia au tafuta group la WhatsApp soma comments na yale watu wanayoandika ndipo utaelewa.Watu mnaoandikaga vtu kama hv..sjui hwa nawafkiriaje...sjui inakua unaandika kwa kuhadaa au unakua serious kabisa..
Ungelimalizia kusema!! Raisi mpya wa mitandaoni! Unaogopa nini kusema hivyo?
Ugeni toka Malawi una uhusiano gani na madhambi ya msukuma tokea chato?Ila kuna Majina mengine yanaendana na uhalisia! Mtu anaitwa Tobo,Basi anataka Matobo yatumike pia!? Ebu atuache kwanza tuna Ugeni Kutoka Malawi,yeye aendelee kupiga Misele Kariakoo!!