Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Na ww umeng'ang'ana na neno piga spana ili uonekane unaenda na maneno ya fashion ya mjini, kumbe ni jizee fulani lililopoteza ramani. Wala huna mvuto wa kutumia hilo neno maana linawafaa zaidi vijana.
Neno Limekuchoma kumbe, ngoja nami nilichukuwe niteembee nalo kwa Ma group ya WhatsApp likawachome na wengine huko!![emoji2][emoji3]
 
Kama ni Hashimu Rungwe itapendeza, maana hawa wengine wananichanganya tu
 
Msaliti wa Nchi hana nafasi Tanzania akatukane ubeligiji

Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Magufuli alikuwepo wakati mwaka 1998 Lisu alipoanza kupiga kelele juu ya mikataba mibovu ya madini je? huyo magufuli alifanya nini mwaka 1998 zaidi ya kupitisha mikataba mibovu?
 
Neno Limekuchoma kumbe, ngoja nami nilichukuwe niteembee nalo kwa Ma group ya WhatsApp likawachome na wengine huko!![emoji2][emoji3]

Linichome kwa kipi hilo neno analitumia kigogo huko twitter, huyu limbukeni mwenzio ndio limemnogea saa hii analitumia kila post ili aonekane na yeye ni nguli wa mitandao.
 
Nimekuelewa ndio maana huyu Sasa anaona alete Wamalawi waje wstuwekee jiwe la msingi kwenye miradi ambayo hata waziri mkuu anafaa kuweka
 
Hakuna wa kuchezea boksi la kura tutawafundisha kuwa usaliti kwa Nchi ni laana

Hiyo mbinu ya wakuu wa wilaya kuendelea kuwapa vitambulisho vya kura kwa mlango wa nyuma wenye kadi A ccmhaitawabeba. Safari hii hamtaamini macho yenu, na mkichezea tu box la kura lazima kilichotokea Kenya kitokee na hapa.
 
Hakuna wa kuiba kura, Watanzania hawataki nyie Wasaliti wa Nchi
Wewe ndiyo utatambika kukwepa aibu kwani hutaamini kuwa Tumeccm inaenda kuumbuka uchakachuaji utafeli kwa nguvu za mungu
 
Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Kazi kutaka tu wenzio wafe... Kama unaona kufa kuzuri kufa ww kwanza....
Kwenda na ndoto zako za kichawi....
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji
Nchi inasalitiwa vipi, tofautisha ugomvi binafsi na umma.jiwe alipanda miba iweje avune mahindi
 
Tanzania tulipata Uhuru toka Mwaka 1961, Sasa sijui Freedom gani unamaanisha hapa ili tukuelewe vizuri zaidi!?
Wanataka fredom ya faragha mkuu aliyosema mgombea wao
 
Mabadiliko ni kitu halisi wapumbavu nyie wa ccm hizo fikra zenu za kwamba mtatawala milele mzifute.Hivi yule mpumbavu asiyekuwa anasema mbowe hawezi shinda siku ikitokea chadema imeshinda sijui mapumbu atayaficha wapi
 
Wanataka fredom ya faragha mkuu aliyosema mgombea wao
Ila kuna Majina mengine yanaendana na uhalisia! Mtu anaitwa Tobo,Basi anataka Matobo yatumike pia!? Ebu atuache kwanza tuna Ugeni Kutoka Malawi,yeye aendelee kupiga Misele Kariakoo!!
 
Back
Top Bottom