Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,092
- 886
Eti na wewe umeandika??Kitendo cha Tundu kuonyesha umma wa watanzania tuu kwamba Amstadam ndio kila kitu kwake kilitosha kabisa kummaliza kwenye sanduku la kura
Matokeo ya 28 ndio yatamuonyesha wazi kwamba yeye hana tofauti na mfanyabiashara wa nyamachoma alieamua kwenda kuuza kitimoto msikitini
Utafiti wa bashiru wa kujipendekeza huo lakini utafiti halisi endapo uchaguzi utakuwa huru na haki pasipo CCM kuvuruga kuiba kura lazima ccm wakalishwe chini maana watanzania wengi wamechoka na manyanyaso yao
Tanzania ni kisiwa cha wavumilivu wakubwa ingekuwa ni Nchi ingine mda huu kungekuwa na vitaIla tuseme ukwel jaman, upinzani mna roho ngumu sana
Tanzania ni kisiwa cha wavumilivu wakubwa ingekuwa ni Nchi ingine mda huu kungekuwa na vita
Na Magu jana kajifunga goli yan, Imagine analeta Rais wa Malawi aliyekataa kuibiwa kura ndo awe mgeni katikati ya kampeni za UchaguziWakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Rais wa malawi alikuwa akimchora tu anajua Tanzania hakuna Tume huru ya uchaguzi bali kuna Tumeccm iliyojoo makada wa ccm watupuNa Magu jana kajifunga goli yan, Imagine analeta Rais wa Malawi aliyekataa kuibiwa kura ndo awe mgeni katikati ya kampeni za Uchaguzi
Safi sana tembelea watu zungumza nao wakupe kero zao live
Eeeeeeeh, na mimi nimeandika mwaya🌞Eti na wewe umeandika??