Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Sasa hivi hali nchi siyo salama, ni vizuri tukaelimishana mbinu za kujikinga na kujinusuru dhidi ya watekaji .
Ndugu zangu hawa watekaji ni wauaji, ni makatili na inaonekana serikali ya Tanzania siyo ya kuaminika katika suala hili, Kiufupi imeshindwa kusimamia usalama wa raia. Wananchi wamepiga kelele, wamelaani lakini hii hali inaendelea.
Miezi michache iliyopita, Chama cha mawakili wa TLS walitoa taarifa juu ya idadi ya watu waliotekwa tangu mwaka 2021. Hali inatisha, ni wengi wanakaribia 100.
Sasa kwenye uzi huu, naomba tupeane njia za kujikinga na Watekaji nchini.
Mimi njia ninayoiona
1. Kamwe usikubali kupelekwa katika gari usiyoijua hata ukionyeshwa bunduki. Ukionyeshwa Bunduki na kulazimishwa kupanda gari ujue hiyo bunduki ndo inaenda kukuua huko uendako. Bora upige kelele wakuue hapohapo ulipo ili angalau ndugu zako waokote mwili.
2.Usikubali kutembea mwenyewe kwenda kwenye gari, wewe lala chini, Ukisimama ni rahisi wao kukusukuma lakini ukilala chini watasumbuka kiasi fulani na raia watajaa, angalau watajua kuwa unatekwa
3. Piga kelele za Watekaji, wauaji, wanataka kuniteka ili umma ujue unatekwa
Chnagieni na mbinu nyingine:
Ndugu zangu hawa watekaji ni wauaji, ni makatili na inaonekana serikali ya Tanzania siyo ya kuaminika katika suala hili, Kiufupi imeshindwa kusimamia usalama wa raia. Wananchi wamepiga kelele, wamelaani lakini hii hali inaendelea.
Miezi michache iliyopita, Chama cha mawakili wa TLS walitoa taarifa juu ya idadi ya watu waliotekwa tangu mwaka 2021. Hali inatisha, ni wengi wanakaribia 100.
Sasa kwenye uzi huu, naomba tupeane njia za kujikinga na Watekaji nchini.
Mimi njia ninayoiona
1. Kamwe usikubali kupelekwa katika gari usiyoijua hata ukionyeshwa bunduki. Ukionyeshwa Bunduki na kulazimishwa kupanda gari ujue hiyo bunduki ndo inaenda kukuua huko uendako. Bora upige kelele wakuue hapohapo ulipo ili angalau ndugu zako waokote mwili.
2.Usikubali kutembea mwenyewe kwenda kwenye gari, wewe lala chini, Ukisimama ni rahisi wao kukusukuma lakini ukilala chini watasumbuka kiasi fulani na raia watajaa, angalau watajua kuwa unatekwa
3. Piga kelele za Watekaji, wauaji, wanataka kuniteka ili umma ujue unatekwa
Chnagieni na mbinu nyingine: